chad manyota
Member
- Nov 24, 2023
- 11
- 3
Kaangalie mwendokasi ya mbagala kama imekamilika
Uchawa nchi hii hautakuja kuisha
Uchawa nchi hii hautakuja kuisha
No lisu No Chadema No LGBTQNo Reforms No Elections
Tutakuepo ,zama hubadilika , naomba Mungu wa mwamposa amwambie ukweliMtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwezesha kujenga kanisa lake eneo la Kawe Dar es Salaam, huku akimpongeza kwa kuendeleza miradi ya maendeleo iliyoachwa na Hayati Rais John Magufuli.
Soma pia: RC Chalamila asema Rais Samia ameruhusu kanisa la Mwamposa kuwepo Kawe
Ameyasema hayo katika mahojiano na mwanahabari Salama Jabir katika kanisa hilo.
Video:
View attachment 3361922
Soma