Mwamposa na Mashehe sijui wanasemaje kuhusu mama?

Mwamposa na Mashehe sijui wanasemaje kuhusu mama?

Acheni kuwaombea wenzenu mambo mabaya
Wacha yawakute kama walivyoumia wanafamilia waliotekwa ndugu zao,na Jungu linaenda kupasuka kila kilichokuwemo ndani ya chungu kitajulikana
Free Tundu lissu tunakusubiria uraiana
 
Naona ili anguko linaenda kuwaangukia watu, maombi ya Mwamposa hayakufanya kazi? Wako wapi mashehe watoa mapovu? Je kanisa nalo limefanya vitu vyake?
Ungeongeza na BAKWATA. Kuna vizee pale havina shughuli maalum zaidi ya kuwa chawa na omba omba.
Vinajidai kuomba dua lakini havijiombei vyenyewe
 
Back
Top Bottom