Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,818
- 225,604
Kama hujawahi kwenda kusali Kawe Kwa Mwamposa na kutoa hiyo sadaka ya kujimaliza basi wewe ndio utulie na uache ujuaji uchwara, na uache kupotosha umma.Tulia. Hujawahi kumsikia akitoa ufafanuzi. Ina maana huu ufafanuzi aliotoa amejichanganya mwenyewe? Wewe ni nani hadi uupinge ufafanuzi wa Mwamposa? Acha ujuaji uchwara mkuu.