Mwampamba Amjibu Dr Slaa

Mwampamba Amjibu Dr Slaa

wakuu kwani kuna ibara au kanuni yoyotte ndani ya katiba ya chadema inayozuia kiongozi kukopa ndani ya chama?kama hamna sheria yenya kuruhusu au kuzuia kionmgozi kukopa ndani ya chama inaimaana basi dr hakuvunja sheria .kama hamna sheria ya kuzuia kukopa dr amevunjaje sheria ambayo haipo?hawa vijana njaa zao sasa zimezidi bana.hawana hata aibu kujaribu kulumbana na level ya juu kama dr slaa?ndo maana slaa anawaita sisiminzi
 
Mimi nakubaliana na wewe bwana Mohamed Mtoi inawezekana hata taratibu zikapindwa wakati fulani pale ambapo kuna dharura. Inawezekana huo mkopo aliuchukua kwa ajili ya matibabu, mazishi, au dharura nyingine za kibinaadamu.

kwa hiyo hoja za msingi ni:

1) Lengo la huo mkopo ni lipi kwa sababu chama hakiwezi kutoa mkopo kwa ajili ya kwenda kuoa!

2) Qualification criteria za hiyo mikopo ni ipi ili na wanachama wengine waende kukopa

3) Kukopa kama utaratibu umefuatwa sio ufisadi lakini ukiukwaji wa taratibu katika mambo ya fedha kama haya ndio hupelekea ufisadi kutokea.

Haya yote na mapungufu mengine yote yangetakiwa kuonekana na kukemewa na auditor wa vyama vya siasa, ambaye ni msajili wa vyama vya siasa.
Sasa msajili vipi ?? mbona yuko kimya kabisa ?? na badala yake 'makelele' yanapigwa JF pekee ??
Ina maana vijana wa JF wanamfundisha kazi John Tendwa ?? Au Tendwa siku hizi 'kahamia' Chadema ??
Ukiangalia kwa makini kabisa utaona 'makelele' yote hapa JF hayana mashiko, maana msajili yuko kimya !!
Akina Ritz, Mwampamba, Shonza, na wengineo, pelekeni haraka sana 'tuhuma' zote za 'ufisadi' kwa Tendwa.
 
Mimi nakubaliana na wewe bwana Mohamed Mtoi inawezekana hata taratibu zikapindwa wakati fulani pale ambapo kuna dharura. Inawezekana huo mkopo aliuchukua kwa ajili ya matibabu, mazishi, au dharura nyingine za kibinaadamu.

kwa hiyo hoja za msingi ni:

1) Lengo la huo mkopo ni lipi kwa sababu chama hakiwezi kutoa mkopo kwa ajili ya kwenda kuoa!

2) Qualification criteria za hiyo mikopo ni ipi ili na wanachama wengine waende kukopa

3) Kukopa kama utaratibu umefuatwa sio ufisadi lakini ukiukwaji wa taratibu katika mambo ya fedha kama haya ndio hupelekea ufisadi kutokea.
deal limebuma huna pakushika masalia wameanguka puu
katiba ya chama gani ambayo inavipengele vya kukopesha watu
wewe kipofu uliyechanganyika kwa bumuliwa na kubutuliwa na cobra pamoja na kujidai ni mwanafunzi wa PHD kama naibu katibu mkuu hayo hukuyaona mpaka chauma ilivyoshindwa kusajiliwa ndio unajitokeza kupitia wachanjwa chale za matakoni
vipi umeongea na maji marefu hadithi zako kama zako
kijana unazeeka unaonekana kama uko kwenye fiftees kwa nini kuenekeza siasa za ufitini na kukomoa lakini unajikomoa mwenyewe wanasaikolojia wanasema anayeumia ni yule mfitini
Ulikuwa kifua mbela na staha ulikuwa nayo kabla ya kutumika kama tambala bovu umeshasema hakuna vita inayokushinda lakini toka uanze hakuna hata mission mja ulishinda
ndio maana huwa unategemea vyeo vya kupewa
 
wakuu kwani kuna ibara au kanuni yoyotte ndani ya katiba ya chadema inayozuia kiongozi kukopa ndani ya chama?kama hamna sheria yenya kuruhusu au kuzuia kionmgozi kukopa ndani ya chama inaimaana basi dr hakuvunja sheria .kama hamna sheria ya kuzuia kukopa dr amevunjaje sheria ambayo haipo?hawa vijana njaa zao sasa zimezidi bana.hawana hata aibu kujaribu kulumbana na level ya juu kama dr slaa?ndo maana slaa anawaita sisiminzi
 
Kalaniwa huyu kijana! Nadhani CCM watawauwa vijana wote waliowatuma na kushindwa kazi ili kuficha siri, isije siku moja wakaanza tena kuropoka walivyotumwa. Maana mi sioni hoja. Mimi kunakipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni binafsi tulikuwa tunakopeshwa kama motivation ya kuendelea kufanya kazi kwenye kampuni na nilichukua mil 12, nikamaliza kulipa nikaongeza tena mil 8 kumalizia kujenga nyumba yangu, sembuse huyu Dr Slaa. Hoja zake huyu kijana zimejaa majungu na ninadhani wazee wa mtandao wa CCM watawamaliza wapumzike mapema.

Unasema kweli wajiulize imempunguzia nini dr ratiba yake ya kazi inaenda kama kawaida wao wakiwa wanajiuma uma vijana mamia kwa mamilioni wanajiandaa kukomboa nchi mwache aendelee kura ugali mtoto wa kubebwa huyo
 
Hapa ishu sio masalia wala nini. CHADEMA inapaswa kutoa majibu ya kisomi kama tunavyoamini kuwa ni chama makini.

Kuna wale ambao wamekuwa mahiri ku quote vifungu vya katiba kama akina Ben Saanane, Shardcole na Molemo. Hebu saidieni umma ni utaratibu upi wa CDM unaruhusu kukopa ndani ya CHADEMA?

Ikigundulika kama taratibu zilifuatwa, hapatokuwa na isuue na hawa wanaoitwa masalia watapuuzwa. Kushindwa kufanya hivyo, ni kuthibitisha kwamba huo ni ufisadi kama ulivyo ufisadi mwingine.

ww ni mwanachama wa CDM? Kama sio achana na issue za hao masalia mliowatuma . Mjadili kuhusu baba wa Nepi ni nani? kama mnataka siasa za maji taka sio ruzuku ya CDM.
 
Bahati mbaya sana kwa kijana kama huyu kukubali kutumiwa, na sasa siasa itamshinda mapema. Kila mtu anafahamu CDM inatafutwa kila dakika na wanaotumiwa ni wale waliondani ya CDM ambao njaa zinawasumbua kama huyu kijana. Lakini kila mnapogundulika ndo hivyo tena mnafukuzwa na kazi yenu ndiyo imeisha!

Mjenzi wa CDM yupo ndani ya CDM,kadhalika mbomoaji wa CDM yumo ndani ya CHADEMA.UJUMBE:CHADEMA shughulikia,fukuza na watakaopatikana na makosa waadhibiwe.SHIKAMOO GREAT AND DELICIOUS POLITICAL PARTY-CHADEMA.
 
Mwampamba kweli wewe ni kijana makini majibu yako ni kisu kwa Dr Slaa na wafuasi wake wote.
CDM ni chama kilichosajiriwa kihalali kwa mujibu wa katiba ya Tanzania inayosimamiwa na serikali ya CCM. Mahesabu yote ya vyama vyenye usajiri, lazima yawe audited. Kama kuna ubadhirifu au matumizi yasiyoidhinishwa kwa mujibu wa sheria, wahusika lazima wachukuliwe hatua za kisheria. Sasa tuhumu zilizotolewa na huyo kijana, kama zina ukweli ndani yake, naunga mkono hoja ya Mh Mnyika "JK ni Dhaifuna serikali yake pia ni Dhaifu" sababu wahusika bado wapo nje.
 
Mwampamba kweli wewe ni kijana makini majibu yako ni kisu kwa Dr Slaa na wafuasi wake wote.

Mkuu, Mwampamba ameandika kama mtu aliyechanganyikiwa akili. Nadhani huyu jamaa ana ugonjwa wa akili. Lakini cha ajabu unamsifia!
Mkuu usisifie kila kitu hata kama ni cha kipuuzi, unajiangusha sana.

Ingawa tunakujua we ni gamba lakini huna ulazima wa kushabikia uwenda wazimu. Sana sana kama ma spy walioshindwa kwa kufanya kazi zao za kispy kizembe na hatimaye kugundukuka na Chadema wanastahili adhabu kali
 
Huu ni ukosefu wa shukrani,hekima,adabu na staha.Kijana kama Mwampamba anawezaje kumwita Dr.Slaa 'mzinifu'? Semeni hoja za kujenga jamani...si majungu na matusi tu

labda yeye hajawahi kuzini,lakini anatakiwa atambue lugha ya kuzungumza na mtu aliyesawa na mzazi wake sio hizo lugha za kejeli na dharau kama anazungumza na vijana wenzie anaovuta nao bangi huko mtaani.
 
Kwa haya tutaendelea kukuona maadam tupo. Pengine utafanikiwa sana kisiasa ama kinyume chake. "lakini ukweli utabaki huna nidhamu"
 
ww ni mwanachama wa CDM? Kama sio achana na issue za hao masalia mliowatuma . Mjadili kuhusu baba wa Nepi ni nani? kama mnataka siasa za maji taka sio ruzuku ya CDM.

MAGAMBA KWAO CCM kama wapo CDM wamekuja tembea wakichoka watarudi kwao.huku hakuwafai
 
Mtela Mwampamba nakushauri mrudi leka dutigite kwa mganga wake drogba a.k.a prezoo a.k.a hata panya haponi na muweke mikakati yenu sawa then muendeleeze CHAUMA kwa nguvu za kiapo cha mganga mtafanikiwa.

Achaneni na chadema wanaokopeshana hela bora nyie wenye chauma ambacho kitakuwa na nguvu za kichawi kutoka kigoma kwa mkuu Nyepesi
 
Last edited by a moderator:
wakuu kwani kuna ibara au kanuni yoyotte ndani ya katiba ya chadema inayozuia kiongozi kukopa ndani ya chama?kama hamna sheria yenya kuruhusu au kuzuia kionmgozi kukopa ndani ya chama inaimaana basi dr hakuvunja sheria .kama hamna sheria ya kuzuia kukopa dr amevunjaje sheria ambayo haipo?hawa vijana njaa zao sasa zimezidi bana.hawana hata aibu kujaribu kulumbana na level ya juu kama dr slaa?ndo maana slaa anawaita sisiminzi

hata mimi nilikua nataka nionyeshwe hicho kifungu/ibara/kanuni inayozuia mwanachama au kiongozi kukopa km hakuna dr hajafunza kufungu chochote tumuache aendelee na ujenzi wa chama chetu kwa amani
 
Tatizo siyo kumsikiliza Mwampamba tatizo kwa nini Dr Slaa akope pesa za ruzuku katibu ya Chadema inasemaje.
​Amekopa kwa sababu ni mwajiriwa wa CHADEMA!
 
Hulu jamaa nilimdharau sana kwa jinsi ambavyo anaandika upuuzi, utadhani hakwenda shule, pia hana adabu kabisa.
 
Tatizo siyo kumsikiliza Mwampamba tatizo kwa nini Dr Slaa akope pesa za ruzuku katibu ya Chadema inasemaje.
​Amekopa kwa sababu ni mwajiriwa wa CHADEMA!
 
Back
Top Bottom