Mwampamba Amjibu Dr Slaa

Mwampamba Amjibu Dr Slaa

1. Dr slaa alihitaji hela ya kumlipa yaya wake Arusha, kwani hapa dar anaishi bila yaya? Kwani ni asiingenda nae?
2. Demu wake Josephine alihitaji hela za niñi Waikati dr.uslaa analipwa allowance za kuhudhuria Kesi na analala kitanda Kimoja na Demu wake
 
Mimi nakubaliana na wewe bwana Mohamed Mtoi inawezekana hata taratibu zikapindwa wakati fulani pale ambapo kuna dharura. Inawezekana huo mkopo aliuchukua kwa ajili ya matibabu, mazishi, au dharura nyingine za kibinaadamu.

kwa hiyo hoja za msingi ni:

1) Lengo la huo mkopo ni lipi kwa sababu chama hakiwezi kutoa mkopo kwa ajili ya kwenda kuoa!

2) Qualification criteria za hiyo mikopo ni ipi ili na wanachama wengine waende kukopa

3) Kukopa kama utaratibu umefuatwa sio ufisadi lakini ukiukwaji wa taratibu katika mambo ya fedha kama haya ndio hupelekea ufisadi kutokea.

Mkuu.
Naomba urudi usome tena hoja zangu kwa makini ukiwa umetulia na akili ikiwa sober. Hasa ile nukta ya kwanza.

1. Mwampamba mwenyewe hakusema mkopo ulikuwa wa nini wewe umetaja "kuolea" hapa umepoteza sifa ya GT maana umeamua kufanya kazi ya utabiri. (Sina hakika kama sheikh Yahya kakuachia mikoba)
Tambua kuwa anaeweza kujua faida ya mkopo ni mkopaji mwenyewe kutegemeana na malengo yake binafsi kwenye huo mkopo. Inshu hapa sio kaufanyia nini (malengo), swala la msingi, je kalipa?!

2. Qualification/criteria za mkopo huwa baina ya mkopaji na mkopeshwaji na mara nyingi huwa haziko static bali hutegemeana na makubaliano na vigezo kati ya part 1 and part 2. Kwa kuwa nilisha sema kuwa katiba za vyama vingi hazina kanuni au sheria za kukopesha/kukopeshana qualification/criteria zitakuwa kati yako na chama kwa maana ya makubaliano kati yenu maana kuto kuwa na kanuni/sheria haihalalishi kuto kukopesheka.

3. Kufuata taratibu maana yake ni nini?! Ni kuomba mkopo mkakubaliana terms and conditions za kulipa kisha ukalipa?! Kama kwenye katiba ya chama hakuna sheria/kanuni za kukopa/kukopeshana na bado kukawa na uhalali wa kukopa/kukopeshana maana hakuna sheria inayo kataza, then mkikubaliana kukopeshana kwa terms and condition mtakazo wekeana na mkazifuata hadi kulipana itakuwa ni ukame wa maono kuhoji taratibu.
 
wakuu nadhani kwa umuhimu,cheo na utendaji kazi mzuri kupita kiasi wa dr slaa anastahili kabisa kuwa na fursa ya kukopa ndani ya chama tena na favors nyingine zaidi.ni mchango mkubwa sana kwa chama na wananchi hivyo chadema ni lazima wamlinde vizuri.muda wake mwingi anautumia kufanya shughuli za chama ila kama binadamu mwingine yoyote pia dr ana familia inayomtegemea kuihudumia.chama kumkopesha ni sawa ili kumsaidia usumbufu wa kuzunguka kwenye mabenki au saccos.slaa haawezi kuongoza vyema kama atakuwa anamatatizo kwenye familia.lazima wamlipe vizuri na kumpa favors nyingine ili kuhakikisha wanaopenda kuhonga watu kama ccm hawapati nafasi ya kumrubuni.wakuu njaa ni mbaya.ni rahisi kushawishika ukiwa na njaa au shida.vyama vingi vya upinzani vinakufa kila leo sababu ya njaa za viongozi wao.viongozi wakuu wa kwenye vyama kama mwenyekiti na katibu ni muhimu wawe financially stable otherwise hawachelewi kuuza chama kwa tamaa ya pesa.mbowe na slaa hawanunuliki hivyo ccm wanapata wakati mgumu sana kuimaliza chadema.wamefanikiwa kuwanunua viongozi wa chini ambao nao wanaonekana kushindwa kutekeleza jukumu kutokana na ukuta mgumu wa mwenyekiti na katibu mkuu
 
Kimsingi mwampamba ni mnafiki kwa sababu kukopa c jambo baya katika maisha, iwapo umefuata taratibu zote. Pia fedha za chama chochote huwa zinatoka kwa taratibu zilizowekwa na chama na kuna watu wanaoruhusiwa kuidhinisha utoaji huo wa fedha. Ninapata mashaka na kijana kama kweli alikuwa na mapenzi ya kweli na chama coz kama kweli anakipenda chama angefuata taratibu nzuri za kuyasuluhisha yote yaliyompata. Plz brother kama system imekutema kaa kimya jipange upya. Ni hayo tu.
 
Mkuu Ritz for sure ulikuwa na close coordination na post ukahakikisha unakuwa wa kwanza kurusha post!!! Ha ha ha!! Dr, Slaa atawalaza macho na mwisho wa siku ni mshindi tu mtu wangu!! Mnapiga kila upande but watanzania tumemshikilia kwa kuwa tunafahamu mchezo wenu mchafu!! Mwenzako Nape anachanwa live humu kumbe ni HARAMU na baba mwenyewe ni wa kubandikiwa na familia imeshamkataa!!! Khaa!! SSM viongozi wenu bwana!! Mara mafisadi, mara majambazi wa nyara za serikali na vitalu vyake haramu. By the way, mwenzake mmoja kakamatwa huko Manyara na gari ya JW!! Kumbe wizi wa nyara umeanzia mbali kabisa!! Halafu eti mnamfanya kiongozi!! Na mpiga vuvuzela ni haramu!! Na mfalme wao dhaifu!! Hamuiwezi CDM!! Hata mkitaka kuipasua vipande mara moja intelligenzia inawafichua!! Wapokeeni sasa kina Shonza na huyu mlilia hapa na vimilion 20 mbona mafisadi wenu ni mabilioni tu na hamuwasemi!!! SSM nyie mna auditing kweli!!! Hakuna maana pesa yenu yote ni emergence kwa kununua wapiga kura tu!!! Ha ha!! Long live CDM!!! Sina Chama ila ni mpiga kura safi wa kiongozi safi bila kufungamana na the so called Chama!!

u always have some wonderful words of wisdom
 
Kumbe alikopa na wala hakukwapua! Sasa kinacho wawasha ni nini! kama sio kudhihrshia umma kuwa wao ni watumwa wa ccm na mafisadi wao.
 
Hawa vijana wa masalia wanapima maji ya bahari kwa kidole.

Nawapa ushauri wa bure,

1. Hakuna kazi ngumu hapa duniani kama kazi ya kuisafisha ccm, kwa hiyo safari yenu bado ni ndefu, msitafute short cut kwa Slaa.

2. Kama kuna technical mistake ambayo ccm wamefanya, basi ni kudhani kwamba cdm au vyama vya upinzani ni vyama vya msimu, kwahiyo ccm ni unbeatable. That was a huge mistake. Nachoweza kuwaambia ccm pamoja na masalia ni kwamba "its already too late", cdm ndo hiyoooo, cuf nao wanapiga mguu pande mguu sawa. Mi siyo mtabiri, ila at this rate ccm will not survive.


Masali endeleeni kupoteza muda wenu kujibizana na Slaa!!
 
Utajitahidi kubishana na kuandaa vimajibu kwa muda flani humu mitandaoni baadae atapotea! Hilo pepo la usaliti likisha kuacha utajionea aibu mwenyewe! Wewe huna hadhi ya kujibishana na Dr. Slaa! Mchango wa Dr. Slaa kwenye siasa za nchi hii si wa kubezwa na kidudu mtu kama wewe Mwampamba! Yaani Mwampamba unamtukana, unamdhalilisha mgombea urais wa CHADEMA aliyerejesha matumaini ya watanzania, unamsaliti kwa vipande thelathini vya fedha? Hakika kama yuda isikariote adhabu yako unaijua!
 
Tatizo siyo kumsikiliza Mwampamba tatizo kwa nini Dr Slaa akope pesa za ruzuku katibu ya Chadema inasemaje.

labda useme pia kuhusu kosa la waliomkopesha. Maana kwa style unayochangia ni kama unasumbuliwa na mtu aliyekopa tu, na wale waliomkopesha hawana matatizo. Sijui, maana hata hoja yenyewe ya sijui Mwampamba, ni kama inaibuka kutoka kwenye wimbi la hasira, jazba,chuki, that is why anaweka na matusi humo humo. Mbona mchangiaji mmoja kasema vyema tu hapo mwanzo, kama ni ukiukwaji wa kanuni, si kuna vyombo husika ndani ya chama na hata nje ya chama ? kwanini dogo asipeleke malalamiko yake huko ? Jamii forums imekuwa chumba cha majungu, matusi, kuchafuana, kumalizia hasira, nk ?
 
Endelea kuwadharau vijana wa vijiweni lakini kumbuka hao ndiyo wapiga kura.

Kwa hali tuindeayo sidhani kama watakuwa wapiga kura wenu. Zaidi watapokea hizo pesa mnazowapa wakati wa campaign na kura hawatawapa.
 
Mtela kama una hoja jaribu kuwa na staha, huwezi kutukana kiasi hicho kwa mtu anaye kuzidi umri alafu ukaachwa tu uendelee dogo nakwambia hivi utapata laana ambayo hukuitegemea, nimeamini ya kuwa kweli ulipogombea umbunge mbozi mashariki na vijana wengi wakakuunga mkono , hukuwa na nia hiyo ila ulikuwa na malengo fulani ( Hasa ya kutumika)

Huyu dogo maisha yake hapa duniani ni mafupi! Sisi wakristo maandiko matakatifu yanatuambia kuwa waheshimu baba na mama yako ili upate kheri na miaka mingi duniani, tafsiri hapa baba na mama si lazima wawe biological, watu ambao wamekulea wamekupa support wanaqualify kuwa wazazi wako na ukiwakosea unakosa kheri na siku zako zinapungua duniani!
 
Jibu hoja ya msingi katiba ya cha inasemaje kuhusu pesa za chama.

Mkuu Ritz Katiba inasema hivi nanukuu "Ni vyema yule mtoto wa kigogo aliye kamatwa na unga akarudishwa china ili akanyongwe kuliko hasira za wachina kupozwa na gesi yetu"
 
Dah! Huyu ndo Mwampamba ninaye mjua! au ni mwingine!?. Kweli njaa mbaya, Silinde angekua mnafki na msaliti kama wewe angefika hapo alipo? Fisadi mkubwa. Bora hichi kirusi kiligundulika mapema. Huna madhara ropoka yote.
 
Mkuu.
Naomba urudi usome tena hoja zangu kwa makini ukiwa umetulia na akili ikiwa sober. Hasa ile nukta ya kwanza.

1. Mwampamba mwenyewe hakusema mkopo ulikuwa wa nini wewe umetaja "kuolea" hapa umepoteza sifa ya GT maana umeamua kufanya kazi ya utabiri. (Sina hakika kama sheikh Yahya kakuachia mikoba)
Tambua kuwa anaeweza kujua faida ya mkopo ni mkopaji mwenyewe kutegemeana na malengo yake binafsi kwenye huo mkopo. Inshu hapa sio kaufanyia nini (malengo), swala la msingi, je kalipa?!

2. Qualification/criteria za mkopo huwa baina ya mkopaji na mkopeshwaji na mara nyingi huwa haziko static bali hutegemeana na makubaliano na vigezo kati ya part 1 and part 2. Kwa kuwa nilisha sema kuwa katiba za vyama vingi hazina kanuni au sheria za kukopesha/kukopeshana qualification/criteria zitakuwa kati yako na chama kwa maana ya makubaliano kati yenu maana kuto kuwa na kanuni/sheria haihalalishi kuto kukopesheka.

3. Kufuata taratibu maana yake ni nini?! Ni kuomba mkopo mkakubaliana terms and conditions za kulipa kisha ukalipa?! Kama kwenye katiba ya chama hakuna sheria/kanuni za kukopa/kukopeshana na bado kukawa na uhalali wa kukopa/kukopeshana maana hakuna sheria inayo kataza, then mkikubaliana kukopeshana kwa terms and condition mtakazo wekeana na mkazifuata hadi kulipana itakuwa ni ukame wa maono kuhoji taratibu.
Ni busara kwa independent parties kutolea maelezo juu ya huu mkopo wa DR Slaa. Inawezekana alitumia undue influence kuupata. Ni muhimu ili kujua ukweli wake katika mapambano dhidi ya ufisadi. 'Ni rahisi kujisifu kuwa unasimamia maadili lakiniikawa vigumu kuyatekeleza kivitendo'
 
MWAMPAMBA Am nat a politician Ila ngoja nikushauri, you are too young in politics as well as ki'umri... Then hasira za mbu hazichani neti... Hivi unafikiri kwa hoja zako zenye kejeli kama zile za kumtusi Dr. SLAA mtu ambae kiumri angeweza kuwa mzazi wako Zinakufanya ujengeke kiasiasa??

Me nilikuwa sijawahi kukuona ila nimekuona Juzi EATV, yani bado mdogo sana, haipendezi kumuita yule mzee ni mzinifu..!!! LABDA ungekua umemzidi academically.

Halafu kuwa makini sana na vyombo vya habari, hizo 32,000 siyo kitu ktk more than 40million..!!!

Ukimya unamanufaa sana.. Suma Mnazaleti kaimba kuwa "Ujana unamaana ila ukizidi sana ni upuuzi"
 
all in all, mwisho wa ubaya ni aibu! Lets wait n see coz time reveals the truth!
 
ushauri kwa hao wasaliti, this is the time to lay low, maana back to back attacks mnazomshambulia slaa, zinaonekana zinafeli sana na outcome mnampa chati maradufu maana majority wana-sympathize nae, he might not be a perfect leader but he dared in so many scenarios to whistleblow serious matters of the nation, by so doing risking his life, what have mwampamba na shonza done to even have guts to open their big loud mouths! disgrace!


tamaa imewaponza, vijana wanafkiria ulaji na utukufu wa kuitwa waheshmiwa na kuendeshwa kwenye magari yenye thamani ya standard one storey building, wanaona wamekua sidelined na chama, kwhyo bora kuharibu.stupidity!


mnavyolalamika saizi ndo mnaonesha mnatumika kama pedi, kama nyinyi mna nia nzuri na watanzania na mliyajua haya siku zote, mlikua wapi kuyasema hadi muyaseme sasa? hypocracy!


you should have said then or forever keep your peace.wisdom!


crying babies! damn!
 
Back
Top Bottom