Soka Ndio Maisha Yangu
Senior Member
- Nov 27, 2024
- 110
- 377
Kwanza Mahakama inamheshimu sana Lissu maana angekuwa mtu Kama mm kwa yale maneno yasiyo na staha mahakamani wengine tungeshakula behind the bars miezi sita kwa contempt of court lakini anachukuliwa poa
Mahakama imemaliza kesi Lissu ameshakabidhiwa magerza, nyie mnataka kupiga stori naye wap na wap, mahakama ikishaahirisha kesi mshtakiwa ni mali ya magereza, kila cku anaambiwa aheshimu mahakama na vyombo vyake yeye anajifanya nunda
Ss juzi kesi imeahirishwa wewe bado unapiga stori na watu, magereza wana taratibu zao
Mwambieni Lissu awe na adabu na magereza otherwise magereza watampitia Kama kimbunga
Msiijarib serikal jaman, watu nunda kama Lissu watashika adabu tu maana amekuwa akiropoka t ss hv
Mahakama imemaliza kesi Lissu ameshakabidhiwa magerza, nyie mnataka kupiga stori naye wap na wap, mahakama ikishaahirisha kesi mshtakiwa ni mali ya magereza, kila cku anaambiwa aheshimu mahakama na vyombo vyake yeye anajifanya nunda
Ss juzi kesi imeahirishwa wewe bado unapiga stori na watu, magereza wana taratibu zao
Mwambieni Lissu awe na adabu na magereza otherwise magereza watampitia Kama kimbunga
Msiijarib serikal jaman, watu nunda kama Lissu watashika adabu tu maana amekuwa akiropoka t ss hv