Mwambieni Rais Samia Suluhu Hassan

Ni Kweli JPM alikua Mwamba sana
Ila kuna watu walitumia upenyo huo kuumiza watu ndio hao akina Makonda....Sabaya wakina Malongo
 
Samia ndie Raisi Mtanzania asilia hata kwa tabia ya upole na kiswahili fasaha tulitawaliwa na jinamizi la Kihutu ambalo kiswahili pia lilikuwa halijui.
Ni vizuri mkienda kwa ground msikie maoni ya wengi wanasemaje !!
 
Hakuna mazishi yaliyoshirikisha Watz wengi kama yale. Hatua ya mwisho inatakiwa iwe private watu, wachache familia kujiachia kuombeleza bila camera, video.
Mbona Ntwara kwa Nkapa haikutakiwa iwe private kwa familia tu?
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Wewe acha maneno mengi. Acha Rais adunge sindano ikiuma tulia
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
JAMANI IFIKE MAHALA MAMBO YALIYOPITA HASA KUHUSU MAREHEMU PANDE ZOTE MUYAACHE TUANZE MAPYA,YANI IMEKUWA KAMA WATU WANAMFANYA MAREHEMU YU HAI NA WANATAKA KULINGANISHA NA ALIYE HAI.NASHAURI PANDE ZOTE KUTULIA KUANZA UPYA.
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Dunia hadaa ulimwengu shujaa. Magufuli halinganishwi na yeyote yule nchii hizi za Africa. Magu the Great
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Tatizo ni CCM.
 
Pengine tuna exaggerate mambo, hivi ni jambo gani extraordinary alilolifanya JPM likamzidi JK Nyerere, Mwinyi, Ben (tena huyu alitengeneza nchi kitaasisi amefanya makubwa), Kikwete naye barabara na elimu ya juu pasi kusahau ajira alifanya makubwa sana.

Sasa ni Legacy ipi haswaaaaaaa ambayo kila kukicha ni ufitinishaji? Hatukatai JPM alifanya kazi yake vizuri Mungu amemuita mbele za HAKI basi maisha mengine yaendelee, na sio kuwalinganisha viongozi kwa lengo la kuwabeza. Kila kiongozi ni bora kwa wakati wake kulingana na mahitaji ya nchi kwa wakati husika.
Umenena kweli ! Lakini pia tuendelee kupongeza panapostahili na wavumilie kukosolewa pale wanapokosea !! Isiwe MTU anapokosoa anaonekana ni adui na kuanza kutumiwa watu wa kumdhuru au kumnyanyasa !! Wengine hatuna vyama Bali tumezaliwa tukiwa na mioyo isiopenda kuona dhulma ikitendeka Nchini na duniani kote !! Maana yake ni kwamba tukiiona hiyo dhulma au mambo yanaenda ndivyo sivyo lazima tutasema tu !! Tuvumiliane tutafika tu !!!
 
Umenena kweli ! Lakini pia tuendelee kupongeza panapostahili na wavumilie kukosolewa pale wanapokosea !! Isiwe MTU anapokosoa anaonekana ni adui na kuanza kutumiwa watu wa kumdhuru au kumnyanyasa !! Wengine hatuna vyama Bali tumezaliwa tukiwa na mioyo isiopenda kuona dhulma ikitendeka Nchini na duniani kote !! Maana yake ni kwamba tukiiona hiyo dhulma au mambo yanaenda ndivyo sivyo lazima tutasema tu !! Tuvumiliane tutafika tu !!!
Tatizo la nchi yetu ni mifumo mibovu
 
Ni vizuri mkienda kwa ground msikie maoni ya wengi wanasemaje !!
Wengi wamelewa propaganda za Polepole kuwa Punguwani alikuwa anawapenda Wamachinga, wakati alikuwa anawahadaa tu angekuwa anawapenda angeliambia Bunge lake ambalo lilishakuwa Rubber stamp kutunga sheria itayofanya Wamachinga wafanye biashara popote pale.
 
Wengi wamelewa propaganda za Polepole kuwa Punguwani alikuwa anawapenda Wamachinga, wakati alikuwa anawahadaa tu angekuwa anawapenda angeliambia Bunge lake ambalo lilishakuwa Rubber stamp kutunga sheria itayofanya Wamachinga wafanye biashara popote pale.
Sasa hapo ndipo pa kujikita katika kutafuta solution ya Hao walioleweshwa propaganda ili waondokane na hiyo propaganda ambayo walikuwa wanafaidika nayo !! Sio kwa maneno ya kumlaumu MTU yeyote Bali iwe kwa vitendo !! Waone kwamba angalau sasa wamepata mbadala wa yale mabaya waliyoaminishwa na wanafaidika na huo mbadala !!
 
Sasa hapo ndipo pa kujikita katika kutafuta solution ya Hao walioleweshwa propaganda ili waondokane na hiyo propaganda ambayo walikuwa wanafaidika nayo !! Sio kwa maneno ya kumlaumu MTU yeyote Bali iwe kwa vitendo !! Waone kwamba angalau sasa wamepata mbadala wa yale mabaya waliyoaminishwa na wanafaidika na huo mbadala !!
Propaganda za CCM tokea zamani ni kuwaaminisha watu kuwa iko siku watawanyang'anya walionacho na kuwapa wasionacho.

Sasa Mwendazake pia alikuwa akiwahadaa kwa hili huwezi ukashinda mchana kutwa,unacheza bao halafu uje ukabiziwe mali za Mo enterprise.

Halafu pia kumbuka Samia amezungukwa na Mafisi.
 
JPM alikuwa chapa kazi wengi tulimkubali lakini naye hakuwa malaika kuna watu waliumia sana chini ya utawala wake na demokrasi ilianza kuwa ya ovyo sana na vitendo vingi vya utekaji,mauaji yasiyojulikana, maisha ya hofu na wizi wa kura vilikuwa vingi sana, sijui kama alihusika lakini vilitokea chini ya utawala wake

Hakuwa malaika, mtakatifu. Alikuwa na mapungufu yake kama wewe, mimi na binadamu yoyote.

Kwa sasa demokrasia imeimarika? watu hawaishi kwa hofu, utekaji hautokei, wizi wa kura hautatokea, panya road, ugumu wa maisha, ajira, mfumuko wa bei, wauza unga, usalama binafsi, ufisadi, mikopo na uwiano wa hovyo ZNZ and Tanganyika upo kwenye hali gani?
 
JAMANI IFIKE MAHALA MAMBO YALIYOPITA HASA KUHUSU MAREHEMU PANDE ZOTE MUYAACHE TUANZE MAPYA,YANI IMEKUWA KAMA WATU WANAMFANYA MAREHEMU YU HAI NA WANATAKA KULINGANISHA NA ALIYE HAI.NASHAURI PANDE ZOTE KUTULIA KUANZA UPYA.

Walio hai wangefanya vizuri zaidi ya marehemu kila nyanja. Matokeo yao yangewasemea. Wangeungwa mkono na wengi.

Agenda yao kuu ni kumchafua marehemu angalia maneno walioanzisha kama Sukuma Gang, Mwendazake hali umeme, kilimo mbolea, ajira, biashara(machinga), nidhamu, serikalini, mfumuko wa bei, usalama.

Ni kutokana na kushindwa kufanya kazi zao, kutimiza majukumu yao, wameelekeza nguvu zao kwenye propoganda.
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom