sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Sasa kama robo yake kashindwa mbili ataiweza. Kwa sasa tunajivunia kukopa kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo vya shule huku tukijilinganisha na wamarekani.Mwambieni kabisa afanye kazi Mara Mbili ya JPM ndipo kidoogo ataeleweka.
Mama hajatuambia pia alivyokutana na vyoo vya covid 19 marekani.