Mwambieni Rais Samia Suluhu Hassan

Mwambieni kabisa afanye kazi Mara Mbili ya JPM ndipo kidoogo ataeleweka.
Sasa kama robo yake kashindwa mbili ataiweza. Kwa sasa tunajivunia kukopa kwa ajili ya kujenga matundu ya vyoo vya shule huku tukijilinganisha na wamarekani.

Mama hajatuambia pia alivyokutana na vyoo vya covid 19 marekani.
 
Alifanya kazi gani huyo mtu

Maana miradi yote ya Flyover ni awamu ya JK na Mwendokasi

Yeye alibuni kitu gani kipya?

Amekopa mpaka tumebaki vuuu........ ziiii
Huyu huyu JK ambaye alikuwa payrol ya wafanyakazi wa serikali ilikuwa kwa bakhresa au unamzungumzia JK yupi? Huyu aliyekuwa anakopa exim bank mishahara ya kulipa wafanyakazi.
 
Wakati JK anaondoka hiyo miradi ilikuwa imefikia hatua gani?
JK aliacha terminal 3 ikiwa imesimama na mkandarasi akiwa ameshalipwa pesa yote ya mkopo..huo ndio mradi aliyoacha, mengineyo yalikuwa kwenye makaratasi tu kama nyerere alivyoacha dodoma capital na stieglers kwenye makaratasi.
 
Ukienda hospitali za serikali leo ndiyo utaona tofauti kubwa iliyopo kati ya sasa na 17.3.2021 backward
Au tembelea insta akaunti uone tofauti ya miradi ya afya 17.03.21 backward na baada ya 17.03.21 ahead.
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Umkumbushe samua pia zike biluoni 71 zilizopelekwa mwanza kutoka bandari dar ziko chatoooooo
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Nikajua umeandika vya maana kumbe takataka.
 
Vyeti feki mnapata tabu sana
Sisi wafanyakazi tuwe vyeti feki au tuwe hewa tunamshukuru Sana Samia

Screenshot_20220504-154408.png




Screenshot_20220503-211709.png


Screenshot_20220503-211745.png
 
SGR, NYERERE HYDROPOWER, NJI WA DODOMA NK
Sgr inatumika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu?

Nyerere hydropawa inazalisha umeme au aliishia kuweka Jiwe la msingi?

Dodoma- imefanya nini? Mji si ilikuwepo na wewe umezaliwa umeukuta au kuna jipya?
 
Au tembelea insta akaunti uone tofauti ya miradi ya afya 17.03.21 backward na baada ya 17.03.21 ahead.
Miradi ya afya ni jambo moja na ubora wa huduma za afya ni jambo jingine
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Nchi inaendeshwa vizuri kabisa na mama, wewe unakuja na sumu ya eti "kushindwa". Nini alichoshinwa Mama Samia Suluhu Kukiendesha?

Mama kwa mwaka wake mmoja tu kapiga hatua amabyo Magufuli hajapatapo kabsa kuiifanya kabisa mwaka wake mmoja.

Wacheni kujazana ujinga, tunafahamu chuki zetu ni Uislam tu, hakuna zaidi.
 
Tofauti ipi hiyo ikiwa chanjo tuu za watoto hazikuwepo ukiachilia mbali condom 😁😁
Mgonjwa anapokelewa lakini urasimu wa kumhudumia mpaka uwavute watu pembeni nadhani umenielewa na kama huna kitambi au suti hata huyo wa kumvuta unaweza usimwone
 
JPM alikuwa chapa kazi wengi tulimkubali lakini naye hakuwa malaika kuna watu waliumia sana chini ya utawala wake na demokrasi ilianza kuwa ya ovyo sana na vitendo vingi vya utekaji,mauaji yasiyojulikana, maisha ya hofu na wizi wa kura vilikuwa vingi sana, sijui kama alihusika lakini vilitokea chini ya utawala wake
Kazi kama zipi alizochapa ambazo wewe zilikutoa kwenye umaskini?

Huyo ndio alizalisha maelfu ya maskini kwa kuitwa machinga na hakuwa anaajiri👇

Screenshot_20220326-214754.png
 
Mgonjwa anapokelewa lakini urasimu wa kumhudumia mpaka uwavute watu pembeni nadhani umenielewa na kama huna kitambi au suti hata huyo wa kumvuta unaweza usimwone
Uwavute wakina nani hiyo pembeni? Tangu lini hospital kuna huduma za bure?

Miaka yote iko hivyo sio tuu huko hospital ila hadi Polisi,mahakamani nk..

Huna pesa Kaa kwenye foleni.Kwanza wenye pesa hawaendi hospital za umma unless ni kwenye specialised treatment..

Pili kama hospital za umma ni mbaya kwa kiasi hicho kwa nini watu waende kurundikana huko? Si waende private sasa kwa sababu kule mpaka uwavute watu pembeni? 😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom