ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,749
Watz wengi hawana vyama, ni wavumilivu sana.Umenena kweli ! Lakini pia tuendelee kupongeza panapostahili na wavumilie kukosolewa pale wanapokosea !! Isiwe MTU anapokosoa anaonekana ni adui na kuanza kutumiwa watu wa kumdhuru au kumnyanyasa !! Wengine hatuna vyama Bali tumezaliwa tukiwa na mioyo isiopenda kuona dhulma ikitendeka Nchini na duniani kote !! Maana yake ni kwamba tukiiona hiyo dhulma au mambo yanaenda ndivyo sivyo lazima tutasema tu !! Tuvumiliane tutafika tu !!!
Viongozi wanajua hivyo wanawatumia kwa manufaa yao.