Mwambieni Rais Samia Suluhu Hassan

Umenena kweli ! Lakini pia tuendelee kupongeza panapostahili na wavumilie kukosolewa pale wanapokosea !! Isiwe MTU anapokosoa anaonekana ni adui na kuanza kutumiwa watu wa kumdhuru au kumnyanyasa !! Wengine hatuna vyama Bali tumezaliwa tukiwa na mioyo isiopenda kuona dhulma ikitendeka Nchini na duniani kote !! Maana yake ni kwamba tukiiona hiyo dhulma au mambo yanaenda ndivyo sivyo lazima tutasema tu !! Tuvumiliane tutafika tu !!!
Watz wengi hawana vyama, ni wavumilivu sana.

Viongozi wanajua hivyo wanawatumia kwa manufaa yao.
 
Halafu na akina J.K.Nyerere, Kwame Nkrumah, Nnamdi Azikiwe, Sekou Toure, Samora Machel, Nelson Mandela, na wengineo wengi wataitwa nani?
Wataitwa mashujaa vilevile kwani shujaa wanaweza kuwa wengi Kama hivyo.
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Vimilia tu bwana sukuma gang.
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Ukimya kivip?kwaio Kila siku unataka amzungumzie huyo dikteta magu,mwacheni mama atawale mpaka 2030
 
Katika muendelezo wa Samia kushindwa kuiongoza nchi yetu kwa uwezo wake akina zitto wanamshauri kuwa ili afanikiwe ni kuhakikisha legacy ya Magufuli inafutika kabisa. Na kwa akili yake anadhani hilo linawezekana! Its never kuifuta image ya Magufuli Tanzania madam president wanakudanganya! Magufuli ni hero wa Karne.

Samia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jemedari Magufuli anajifanya kufumba macho yani kama haoni vile namna akina zitto na baadhi ya wanaCCM wenzake wanavyokesha kwenye mitandao kumdhihaki aliyempendelea kumteua awe makamu wa Rais. Hata siku moja Samia ameshindwa kufungua mdomo wake kulaani na kukemea udhalimu huu kwa aliyekuwa Rais wa Taifa letu aliyeweka rehani maisha yake kwa ajili ya nchi yetu.

Mlio karibu na Samia mwambieni what goes around comes around, yeye anadhani akikaa kimya wakati magufuli anadhihakiwa akiwa mapumziko yake ya milele yeye atakuwa salama baada ya kumalizi muda wake au kutangulia naye mbele za haki. Mwambieni asijidanganye kamwe.

Mbaya zaidi wapambe wa Samia wanamjaza kwenye kumi na nane kwa kumlinganisha kiutendaji na Magufuli, daaaaah come on guys! Kweli hii dunia ina watu waliokosa hata chembe ya haya! Samia muigiza muvi mnamlinganisha na Magufuli The Reformer! Mungu atawachoma Jehanamu trust me.

Mkumbusheni samia kuwa anajua fika huyu Magufuli anayeacha adhihakiwe ndiye aliyefanya kwa nguvu zote hadi viti anavyokalia pale Ikulu ya Chamwino vinunuliwe baada ya kuzuia ufisadi na rushwa iliyokithiri ya watu kwenda kusainiana mikataba ya rasilimali zetu kwenye vyumba vya hoteli.

Mkumbusheni Samia yafuatayo labda atanzinduka tafadhali;

1. Ile Ikulu ya Chamwino anayokaa kwa raha zote ilikuaga ni set up ya baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na iliwashinda marais wote baada ya Nyerere na walikuwa hata hawakai hapo walikimbilia Dar. Lakini chuma JPM aliwatumia vijana wa Taifa letu JKT wakaijenga usiku na mchana kwa jasho na damu na uchungu kwa Taifa lao.

2. Msiogope mkumbusheni samia atoke usingizini kuwa zile ndege anazopanda kila siku kupigia misele na kwenda kuigizia muvi ambazo akina zitto wameanza kumshauri asizipande ili kuifuta legacy ya JPM aliyezinunua tena kwa mbinde akiwa anapingwa kila kona na haohao ni Magufuli. Mshitueni mama enu kuwa hadi Kikwete anatoka madarakani Taifa halikuwa na ndege hata moja.

3. Muamsheni samia atoke usingizini na mmwambie huyu Magufuli anayefumbia macho kudhihakiwa kwake akiwa kajipumzikia ndiye aliyeanzisha miradi yote ya kimkakati ambayo kuna kila dalili ya yeye kushindwa kuiendeleza na badala yake ameanzisha mradi wa kuigiza muvi.

Mwambieni Samia ukimya wake ndiyo unaotupa mashaka juu ya kifo cha Rais wetu na ndiyo maana watanzania tunataka

THOROUGH, CREDIBLE AND TRANSPARENT INVESTIGATION juu ya kifo cha ghafla cha Magufuli wetu.

R. I. P JPM
Sasa wewe na wenzako walinda hiyo "legacy" ya mauaji, wizi, ujambazi na kupora wafanyabiashara mali zao si mpo?

Kwanini mnalazimisha kumwingiza Mama yetu kwenye mambo yenu ya kishenzi?
 
Wala hakuna haja ya kutambiana majibu ya haya yote tutayajua baada ya 25 na hapo ndipo tutaweka mzani Kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake
 
Back
Top Bottom