Mwambie hakuna SAVANA......

Mwambie hakuna SAVANA......

sarikoki

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
1,194
Reaction score
721
Kama kawaida lazima nikifika nyumbani tu naenda contena kwa mangi kurefresh na kupata nondo mbili za kulalia, yes nondo........ nimeama kesto....... Mangi kama kawa lazima akupe story za kitaa...... Mangi akaanza kufunguka.....analalamika mshkaji mtaani anamzingua kwenye biashara.....jamaa kila akienda na demu anamtonya mangi kuwa demu akitaka Savana mwambie hamna.........sasa juzi jamaa kaenda na demu alafu kama kawa akamtonya Mangi....mangi akaona huu ujinga....demu kuagiza savana....mangi akapeleka...jamaa mcho yakamtoka.......amekataa kulipa deni...anasema hayakua makubaliano....demu alipiga kama tusavana tutano ivi......aisee....kumbe kuna watu wako ivyo aisee......Kina dada ukienda out na jamaa nenda mwenyewe kaunta kaangalie unakunywa nini........ wasanii ni wengi.
 
Kama kawaida lazima nikifika nyumbani tu naenda contena kwa mangi kurefresh na kupata nondo mbili za kulalia, yes nondo........ nimeama kesto....... Mangi kama kawa lazima akupe story za kitaa...... Mangi akaanza kufunguka.....analalamika mshkaji mtaani anamzingua kwenye biashara.....jamaa kila akienda na demu anamtonya mangi kuwa demu akitaka Savana mwambie hamna.........sasa juzi jamaa kaenda na demu alafu kama kawa akamtonya Mangi....mangi akaona huu ujinga....demu kuagiza savana....mangi akapeleka...jamaa mcho yakamtoka.......amekataa kulipa deni...anasema hayakua makubaliano....demu alipiga kama tusavana tutano ivi......aisee....kumbe kuna watu wako ivyo aisee......Kina dada ukienda out na jamaa nenda mwenyewe kaunta kaangalie unakunywa nini........ wasanii ni wengi.

Haya ni matatizo ya kujikweza wakati huna kitu, kwa nini aishi maisha ya kuigiza badala ya maisha yake ya asili? Kwa nini kujitwika ma mizigo yasiyo na faida?
 
Haya ni matatizo ya kujikweza wakati huna kitu, kwa nini aishi maisha ya kuigiza badala ya maisha yake ya asili? Kwa nini kujitwika ma mizigo yasiyo na faida?
Umeongea point sana mkuu..vijana wengi wa mjini wana fake sana maisha........unajifanya ukovizuri kumbe unatoa povu.....mbona kuna wa rahisi tu wengi.......sio lazima umfate anayekunywa savanna au kama vipi mwambie kabisa hela ya savanna huna.
 
Kwani savanah bei gani?.
Inaweza zidi chupa ya wine(acha zile za dodoma)?
 
he hata kama ni mie lazima nipige savannah kwa kwenda mbelee

ukipata kwa kushikilia mbona unashikilia sana,nikiwa mwenyewe ninywe

reds nikipata wa kuninulia bado ninywe reds AAAH WAPI!!!!!!!!
 
Savanna moja inachezea kwenye 3000 hivi, kwahiyo akizipiga tano 15000/= ndio imetoweka!

Hahahaha....mkuu naomba nikusahihishe.... Savana inaanzia 3500 mpaka 5000 inategemea na wapi unakunywa.....hahahhaa ni noma iseee
 
ha ha ha, akome kujishaua.

Siku hizi ndio tabia ya wadada wa mjini.......ukimpa ofa lazima uwe na milioni mfukoni na card ya ATM......atahakikisha kesho yake humpigii simu kwa gharama atakazo kupa.
 
he hata kama ni mie lazima nipige savannah kwa kwenda mbelee

ukipata kwa kushikilia mbona unashikilia sana,nikiwa mwenyewe ninywe

reds nikipata wa kuninulia bado ninywe reds AAAH WAPI!!!!!!!!

Good morning my dear patient........your not allowed to drink till you get that hole examined.....the Dr is still waiting to examine you.......Note that. Dr will remain busy through weekend.......you have to submit that form now to avoid long queue.
 
Wadada wengi ni wakomoaji. Unakuta ni mnywa Redds lakini ukiwa nae ni SAVANA, na vingine vya bei juu?

Savana 1 ni nondo 2
Ni balaa kaka...alafu huwa tusavana hatuleweshi.....mtu anaweza gonga hata 10......
 
Good morning my dear patient........your not allowed to drink till you get that hole examined.....the Dr is still waiting to examine you.......Note that. Dr will remain busy through weekend.......you have to submit that form now to avoid long queue.

you didint get my form sweetest doctor!!!!!!!!!!I submitted it yesterday>>>......

should i fill up anaother form
 
he hata kama ni mie lazima nipige savannah kwa kwenda mbelee

ukipata kwa kushikilia mbona unashikilia sana,nikiwa mwenyewe ninywe

reds nikipata wa kuninulia bado ninywe reds AAAH WAPI!!!!!!!!
ahahaaaa best nimepata pm yako...yule bazazi si alinipm anataka kitu! kalaaniwa kuliko wanawake wote yule
 
ahahaaaa best nimepata pm yako...yule bazazi si alinipm anataka kitu! kalaaniwa kuliko wanawake wote yule

we acha smile,ule ulikuwa mshangao wa siku........,ila sa hivi nishapata mkanda mzima in and out

yule laana aliyonayo hata aoge maji ya kisima haifutiki ile............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom