Mwambie hakuna SAVANA......

Mwambie hakuna SAVANA......

Me gharama yangu ndogo tu redbull na mzinga wa nusu mzinga wa konyagi ila nikipata wa kuninunulia amarula na konyagi yng taratibu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Karibu sana...naeda Kigamboni leo mchana huu.....naenda kunywa kule beach..
 
Kila siku si unaona wanavyoalalmika huku ndani....ooh halipi bill ...oooh mwanaume suruali....... hata ikitokea mwanamke anataka alipe.....atakimbilia bill ndogo.....utasikia..wacha tu mimi nitalipa chakula..wakati yeye ana penasol box la tatu au savanna ya nane....

Jamani let a spade be a spade and a hoe be a hoe, kutaka usawa kwenye mambo mengine ndo kunawavunjia heshima watu. Mi naona kama ni out imeandaliwa au mualiko umetoka kwa mwanamke wacha agharamie otherwise mwanaume a insist kulipa as a head or a top or leader (its nature kuwa mwanaume ni head/leader).
Sasa wanaume wanapoanza kulalama kuwa wanawake nao walipe bill na wakilipa bill mnasema wanachagua bill ndogo na ile kubwa wanamuachia mwanaume jamani mbona kulalama? mnajua madhara ya mwanamke ku take over men's responsibility?
Ukikuta mwanamke anafanya majukumu ya mwanaume na hatetereki na mwanaume yuko tuu kakaa basi ujue iko shida na hapo ndo mwnamke anaanza kumdharau mwanaume na heshima hupungua hasa unapomletea za kuleta.
Kama mwanaume pesa yako ndogo mwambie mwanamke mfuko unatutosha viroba viwili na mishkaki miwili aelewe na sio kuanza kulalama kuwa anakukomoa au kukupiga mzinga.
 
Kigamboni mbali, sina direction kwa sasa nahisi nitaenda jangwani beach

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Jamani let a spade be a spade and a hoe be a hoe, kutaka usawa kwenye mambo mengine ndo kunawavunjia heshima watu. Mi naona kama ni out imeandaliwa au mualiko umetoka kwa mwanamke wacha agharamie otherwise mwanaume a insist kulipa as a head or a top or leader (its nature kuwa mwanaume ni head/leader).
Sasa wanaume wanapoanza kulalama kuwa wanawake nao walipe bill na wakilipa bill mnasema wanachagua bill ndogo na ile kubwa wanamuachia mwanaume jamani mbona kulalama? mnajua madhara ya mwanamke ku take over men's responsibility?
Ukikuta mwanamke anafanya majukumu ya mwanaume na hatetereki na mwanaume yuko tuu kakaa basi ujue iko shida na hapo ndo mwnamke anaanza kumdharau mwanaume na heshima hupungua hasa unapomletea za kuleta.
Kama mwanaume pesa yako ndogo mwambie mwanamke mfuko unatutosha viroba viwili na mishkaki miwili aelewe na sio kuanza kulalama kuwa anakukomoa au kukupiga mzinga.

Umesema vizuri sana......kuna masister duu nawaona hata hapa ofisini mkitoka out mwanaume akitaka kulipa anarukia bill .....anaitizama alafu anachagua yenye amount ndogo.....huwa mimi nasemaga kama unalipa lipa yote.....sio wanatafuta usawa alafu wanakua wachungu........
 
Kumbe ungeagiza maji yako mkubwa ya Kilimanjaro......unaenda ukiwa umeshiba kabisa ...wewe ni gem tu...alafu baada ya gem ndo unamkaba sasa.....

Baada ya game umkabe????ushafanywa alafu ndo udai pesa wapi na wapi????
 
Kigamboni mbali, sina direction kwa sasa nahisi nitaenda jangwani beach

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

He!! huko kibla alma........maskani ziko pande hizo..,....naenda kuhu ili ninywe kwa raha zangu........siku mojamoja naendaga mbali na home ili nikafanye vituko kidogo.......sasa huko mara shemeji anaingia ananikuta nacheza ngwasuma kama mzee mzima ni noma.
 
Baada ya game umkabe????ushafanywa alafu ndo udai pesa wapi na wapi????

Hahahahhaha...........sasa nani atakubali kununua mbuzi ndani ya gunia...... basi walau iingie kwanza ndio ukabiziwe mzigo.
 
he hata kama ni mie lazima nipige savannah kwa kwenda mbelee

ukipata kwa kushikilia mbona unashikilia sana,nikiwa mwenyewe ninywe

reds nikipata wa kuninulia bado ninywe reds AAAH WAPI!!!!!!!!

halafu mkipigwa goli 8 mnalalamika.
 
Hahahaha. Umenikumbusha mbali kigamboni kuna club moja hivi inaitwa kakara ilikuwa kitambo 2010 kama sijakosea nimemiss kulewea kigamboni

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sarikoki - huyo mshkaji anaishi maisha ya sinema. Mwanaume unayejiamini unatoka kutokana na uwezo wako. Kama huna kitu siku hiyo si ulale tu au tafuta kitu kingine kisicho na gharama. Kujitutumua wakati huna kitu ni utoto. Halafu ujue hawa wanawake ni wepesi kugundua kuwa mwanaume ana-act, sema huwa wanajifanya wajinga to pamper your ego. Tena mshkaji wako ana bahati demu kanywa hizo Savannah tano tu, wengine angeita "mashosti" zake kama wanne hivi na kuanza ku-order mojitos or a whole bottle of expensive wine. Hapo sasa! What's the fcukin' point of pomp when u know u aint got shyte? Ishi kwa uwezo wako wakati huo kamwe hutapata msongo wa mawazo kutoka kwa hawa wa-Hawa. And if u can't do better than hooking up with gold-digging booze-guzzling hoodrats then the problem is with you and your standards. Raise the bar dude, find classy chicks mbona wapo wengi tu. It ain't a thang.
 
Hahahaha. Umenikumbusha mbali kigamboni kuna club moja hivi inaitwa kakara ilikuwa kitambo 2010 kama sijakosea nimemiss kulewea kigamboni

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Hehehe nimeshaendaga pale........sasa kumbe kulikua na wanafunzi wanasherehe yao....mzee mzima kujichanganya nikakutana na vibinti balaa........ nikaulizwa niko mwaka wa ngapi.... nikasema ndio namalizia first degree....nikaulizwa field nikasema kumbe bwana katota kanachukua hiyohiyo na kako kanamalizia first degree.....akaniuliza mbona sikuonagi kwani uko class ya ipi.........kidogo nijirushe kwenye kule chini ...tulikua tumekaa kwa juu ivi..... ila nikajifanya napokeasimu mbio...sijarudi ten......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom