Mwambie hakuna SAVANA......

Mwambie hakuna SAVANA......

mi ni amarula tu tena sitaki ya kupimiwa nataka chupa mezani nijipimie mwenyewe.

Afadhali amarula......najua huwezi maliza zaidi ya moja....lakini savanna hata 15 watu wanakunywa....
 
we acha smile,ule ulikuwa mshangao wa siku........,ila sa hivi nishapata mkanda mzima in and out

yule laana aliyonayo hata aoge maji ya kisima haifutiki ile............

:tape:....aisee...msameheni bure...
 
Savana ni kinga ya ukimwi, wanasema madem wa mjini. Eti wakiinywa huko shimoni kunamwagwa utelezi kama KY.

Mi nimesikia tu, sina uhakika

hizo savana huwa zinauzwa shs ngapi kwani kiasi cha huyu kaka kusumbuka hivi?
 
ooooh kay......key word: Savannah

Upo mein freund? mie mwenyewe mpenzi mkubwa wa ciders na Savanna ni kati ya nizipendazo ukiacha Irish Magners cider na Stella Artois Cidre..sema kupatikana bongo kwa manati ukiacha Savanna!!
mambo ya kunywa juice na soda yanaishia high school jamani, au siyo?!! happy weekend Kaizer
 
Last edited by a moderator:
hizo savana huwa zinauzwa shs ngapi kwani kiasi cha huyu kaka kusumbuka hivi?

sehemu nyingi nilizokunywa ni kuanzia shs. 5000/- mimi nadhani huyo dada anapenda taste ya hicho kinywaji siyo kumkomoa jamaa ila jamaa anaenda na mahesabu. job true true!!
 
Haya ni matatizo ya kujikweza wakati huna kitu, kwa nini aishi maisha ya kuigiza badala ya maisha yake ya asili? Kwa nini kujitwika ma mizigo yasiyo na faida?

Kwani unapoenda starehe na mdada ni lazima ulipe mwanaume? tuache dharau jamani
 
Upo mein freund? mie mwenyewe mpenzi mkubwa wa ciders na Savanna ni kati ya nizipendazo ukiacha Irish Magners cider na Stella Artois Cidre..sema kupatikana bongo kwa manati ukiacha Savanna!!
mambo ya kunywa juice na soda yanaishia high school jamani, au siyo?!! happy weekend Kaizer

Nipo sana BelindaJacob......apo tupo wote kwenye huisi....hebu njoo PM kwanza tutete
 
Last edited by a moderator:
Alafu akitolewa bila pesa analalamika ooooh kanifanya bure......kumbe unaiga tembo!!!!

Wengine mashauz yao yanawafanya mtu amkomeshe.Savannah nane na michemsho dadekiiiiii!!!!!!!!!!
 
Kwani unapoenda starehe na mdada ni lazima ulipe mwanaume? tuache dharau jamani
its required. la sivyo utaitwa mwanaume suruali, lofa. mwanamke akiamua 'kukuvua nguo' anaweza kukuharibia kweli
 
hayaaaaaa! mademu wanaohitaji savana nitatoa ofa weekend hii nafasi ni chache wahini mapemaaaaa! tena nitagawa 20
 
Alafu akitolewa bila pesa analalamika ooooh kanifanya bure......kumbe unaiga tembo!!!!

Wengine mashauz yao yanawafanya mtu amkomeshe.Savannah nane na michemsho dadekiiiiii!!!!!!!!!!

Kumbe ungeagiza maji yako mkubwa ya Kilimanjaro......unaenda ukiwa umeshiba kabisa ...wewe ni gem tu...alafu baada ya gem ndo unamkaba sasa.....
 
its required. la sivyo utaitwa mwanaume suruali, lofa. mwanamke akiamua 'kukuvua nguo' anaweza kukuharibia kweli

Kila siku si unaona wanavyoalalmika huku ndani....ooh halipi bill ...oooh mwanaume suruali....... hata ikitokea mwanamke anataka alipe.....atakimbilia bill ndogo.....utasikia..wacha tu mimi nitalipa chakula..wakati yeye ana penasol box la tatu au savanna ya nane....
 
Me gharama yangu ndogo tu redbull na mzinga wa nusu mzinga wa konyagi ila nikipata wa kuninunulia amarula na konyagi yng taratibu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom