Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
halafu mkipigwa goli 8 mnalalamika.
8 kidunchu hivo,mie nikinywa savanah zako,hata ukifunga magoli 10 sawa tu
halafu mkipigwa goli 8 mnalalamika.
leo jioni/usiku.........
Kama kawaida lazima nikifika nyumbani tu naenda contena kwa mangi kurefresh na kupata nondo mbili za kulalia, yes nondo........ nimeama kesto....... Mangi kama kawa lazima akupe story za kitaa...... Mangi akaanza kufunguka.....analalamika mshkaji mtaani anamzingua kwenye biashara.....jamaa kila akienda na demu anamtonya mangi kuwa demu akitaka Savana mwambie hamna.........sasa juzi jamaa kaenda na demu alafu kama kawa akamtonya Mangi....mangi akaona huu ujinga....demu kuagiza savana....mangi akapeleka...jamaa mcho yakamtoka.......amekataa kulipa deni...anasema hayakua makubaliano....demu alipiga kama tusavana tutano ivi......aisee....kumbe kuna watu wako ivyo aisee......Kina dada ukienda out na jamaa nenda mwenyewe kaunta kaangalie unakunywa nini........ wasanii ni wengi.
leo si mimi....au?
namba yako iko hewani!!!!!!!!
isiwe kama siku ile umenochomesha mahindi wee sitaki tena ijirudie
umeshachelewa.......,
na mtindo wako wa hakuna savannah ntauweza wapi!!!!!!!!
dora asakuta same kunywa ushindwe mwenyewe
unapendelea mitaa gani kwa leo?
nitafute kwenye Airtel , zantel sipatikwani kwa sasa.
huku mikocheni,kuna vi pub havina makelele
ntakupigia jioni basi
yaaani!anasagaaaaaa na kukoboa nafaka au......ahahaaaa best nimepata pm yako...yule bazazi si alinipm anataka kitu! kalaaniwa kuliko wanawake wote yule
Kama kawaida lazima nikifika nyumbani tu naenda contena kwa mangi kurefresh na kupata nondo mbili za kulalia, yes nondo........ nimeama kesto....... Mangi kama kawa lazima akupe story za kitaa...... Mangi akaanza kufunguka.....analalamika mshkaji mtaani anamzingua kwenye biashara.....jamaa kila akienda na demu anamtonya mangi kuwa demu akitaka Savana mwambie hamna.........sasa juzi jamaa kaenda na demu alafu kama kawa akamtonya Mangi....mangi akaona huu ujinga....demu kuagiza savana....mangi akapeleka...jamaa mcho yakamtoka.......amekataa kulipa deni...anasema hayakua makubaliano....demu alipiga kama tusavana tutano ivi......aisee....kumbe kuna watu wako ivyo aisee......Kina dada ukienda out na jamaa nenda mwenyewe kaunta kaangalie unakunywa nini........ wasanii ni wengi.
ntakupigia jioni basi
lini umehamia kwenye Amarula?
umeacha kuchanganya Zanzi na pombe kali?
Umeongea point sana mkuu..vijana wengi wa mjini wana fake sana maisha........unajifanya ukovizuri kumbe unatoa povu.....mbona kuna wa rahisi tu wengi.......sio lazima umfate anayekunywa savanna au kama vipi mwambie kabisa hela ya savanna huna.
Nikiwa mwenyewe napendelea kiroba jogoo cha 700/= nikitolewa na mtu najifanya sikijui kabisa kiroba nahamia kwa amarula.