Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Mwalimu wa Shule ya amsingi Isangwa Wilaya ya Kalolo na mkoa wa Iringa amejinyonga chumbani kwake usiku wa kuamkia leo.


Cha kusikitisha leo ndo ilikua kikao cha mwisho cha harusi yake na mmoja wa mwana kamati ameniambia hadi sasa hawajajua chanzo cha marehemu kuamua kuchukua uamuzi huo.

Picha za tukio:

attachment.php



attachment.php
 

Attachments

  • Iringa.jpg
    Iringa.jpg
    32.2 KB · Views: 25,652
  • Barua.jpg
    Barua.jpg
    28.7 KB · Views: 20,924
Yaani kuchoka kutishia kupigwa ndio kumsababishe ajinyonge khaa!!!

Kwa nini marehemu asingelitoa taarifa polisi kwa habari ya huyo aliyemtishia...?

Halafu hivi polisi ya Tanzania huwa inafanyaje upelelezi wake?

Huenda huyu bwana kauawa na hata hicho kikaratasi kimeandikwa na mtu mwingine tu ili kupoteza ushahidi...
 
rip

hiyo barua ina utata/kutishiwa kupigwa!
kweli walimu wetu wana stress sn.
 
Wataalamu walinganishe mwandiko wa huyu mwalimu inawezakuwa yupo mhusika wa jambo hiki. Ujumbe hautoshelezi iwe sababu YA kuutoa uhai wake.
 
RIP Mwalimu...anakutishia kukupiga kwa kosa lipi? Ungeacha jina la huyo kijana kama kweli ni wewe uliyeandika huu ujumbe ungerahisisha sana uchunguzi.
 
​daaahhh hzi hasira za Mkwawa nadhani zilishaisha siku nyiiingi
 
RIP Mwalimu...anakutishia kukupiga kwa kosa lipi? Ungeacha jina la huyo kijana kama kweli ni wewe uliyeandika huu ujumbe ungerahisisha sana uchunguzi.

Ni kweli.Hata mimi niliwaza hivihivi.
 
Mwalimu anafundisha Iringa, kuna uhakika gani kama nae ni mhehe? Bora mleta habari angeweka jina ndio tungejua ni kabila gani kuliko kubuni.

Kumbe Nifah mhehe ngoja niache kuwa nakurushia madongo usije jinyonga bureeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!1
 
Yaani kuchoka kutishia kupigwa ndio kumsababishe ajinyonge khaa!!!

Kwa nini marehemu asingelitoa taarifa polisi kwa habari ya huyo aliyemtishia...?

Halafu hivi polisi ya Tanzania huwa inafanyaje upelelezi wake?

Huenda huyu bwana kauawa na hata hicho kikaratasi kimeandikwa na mtu mwingine tu ili kupoteza ushahidi...

Wana enzi chifu wao Mkwawa
 
Back
Top Bottom