Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Mwalimu wa Shule ya amsingi Isangwa Wilaya ya Kalolo na mkoa wa Iringa amejinyonga chumbani kwake usiku wa kuamkia leo.
Cha kusikitisha leo ndo ilikua kikao cha mwisho cha harusi yake na mmoja wa mwana kamati ameniambia hadi sasa hawajajua chanzo cha marehemu kuamua kuchukua uamuzi huo.
Picha za tukio:
Cha kusikitisha leo ndo ilikua kikao cha mwisho cha harusi yake na mmoja wa mwana kamati ameniambia hadi sasa hawajajua chanzo cha marehemu kuamua kuchukua uamuzi huo.
Picha za tukio: