Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

mpuuzi tu huyo anajinyonga kisha katishwa tena na kijana tu tena aende motoni kabisa
 
Haiingii akilini.ajitoe roho kirahisi hivyo.? Sidhani ila katika tafiti zao wampime na vvu.
 
Uko sahihi laki si pesa.Mimi sio mhehe bwana shemeji nawe unanitia aibu.
Ngoja nitakuja kukusalimia Songea huko.
Kumbe laki si pesa anaishi Songea? Sasa yale mambo ya kujifanya eti yeye mkazi wa Dar mara Arusha itamsaidia nini? Kama anaishi Mfaranyaki si yote maisha!
Kingine ambacho kimegundulika ni kuwa laki si pesa hayupo kwenye pay roll ya buk7 ila anafanya kazi hiyo kwa kujitolea kwa vile huko Songea hajui amuone nani.
 
Last edited by a moderator:
Kumbe laki si pesa anaishi Songea? Sasa yale mambo ya kujifanya eti yeye mkazi wa Dar mara Arusha itamsaidia nini? Kama anaishi Mfaranyaki si yote maisha!
Kingine ambacho kimegundulika ni kuwa laki si pesa hayupo kwenye pay roll ya buk7 ila anafanya kazi hiyo kwa kujitolea kwa vile huko Songea hajui amuone nani.

Hahahahaa kumbe ulikua hulijui hilo?Inamaana hujawahi kuyaona majigambo ya laki si pesa na huko kwao Songea? Mwenyewe anakuambia kuzuri posta hapaoni ndani.
Kuhusu buku 7 sijui maana haya mambo yenu ya siasa siyajui sana.
 
Last edited by a moderator:
Mwalimu wa Shule ya amsingi Isangwa Wilaya ya Kalolo na mkoa wa Iringa amejinyonga chumbani kwake usiku wa kuamkia leo.


Cha kusikitisha leo ndo ilikua kikao cha mwisho cha harusi yake na mmoja wa mwana kamati ameniambia hadi sasa hawajajua chanzo cha marehemu kuamua kuchukua uamuzi huo.

Picha za tukio:

attachment.php



attachment.php

Sina undani wa hii taarifa ila niedit panapobidi,hakuna ISANGWA bali ISAGWA na hakuna KALOLO bali KILOLO
 
Mhhhhhhhhhhhhhhh!!!!
1. Huna cha kupoteza kama ungetaja jina la hako kanachokutisha. .
2. Hiyo kamba ni so cruel kwa suicide...Hebu police wafanye uchunguzi wa kina hapo. Something is not right somewhere
 
Yaani kuchoka kutishia kupigwa ndio kumsababishe ajinyonge khaa!!!

Kwa nini marehemu asingelitoa taarifa polisi kwa habari ya huyo aliyemtishia...?

Halafu hivi polisi ya Tanzania huwa inafanyaje upelelezi wake?

Huenda huyu bwana kauawa na hata hicho kikaratasi kimeandikwa na mtu mwingine tu ili kupoteza ushahidi...

Mkuu kwa hilo maswali ni mengi kuliko majibu, police wetu hamna kitu ni bora liende.

tutafutane mkuu tumepotezana hapahapa dar
 
Yaani kuchoka kutishia kupigwa ndio kumsababishe ajinyonge khaa!!!

Kwa nini marehemu asingelitoa taarifa polisi kwa habari ya huyo aliyemtishia...?

Halafu hivi polisi ya Tanzania huwa inafanyaje upelelezi wake?
Huenda huyu bwana kauawa na hata hicho kikaratasi kimeandikwa na mtu mwingine tu ili kupoteza ushahidi...
ndungu yangu siku hizi hakuna polisi tena
 
Hawa jamaa, ni kama laana fulani toka kwa Babu yao MKWAWA, inaenda kizazi hadi kizazi, cha msingi wamrudie Mungu waokoke ili waepukane na hiyo laana.
 
Back
Top Bottom