Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

Kumbe Nifah mhehe ngoja niache kuwa nakurushia madongo usije jinyonga bureeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!1

Hilo jina nifah nikajua labda mwarabu au chotara flani hivi. kumbe mhehe? aiseee
 
RIP Mwalimu...anakutishia kukupiga kwa kosa lipi? Ungeacha jina la huyo kijana kama kweli ni wewe uliyeandika huu ujumbe ungerahisisha sana uchunguzi.

Amekusikia mkuu,atakujibu punde
 
Haaaaaa.ticha unatishiwa na mwanaume mwenzio unachukua maamuzi ya ajabu namna hii!!!!!!

tichaaa,ticha jaman
 
Sishangai sana. 7bu yote hayo yalishanenwa kwenye maandiko matakatifu.
 
Ticha umeaibisha Taaluma! Inaonekama Ualimu ni Taaluma ya full Stress!
 
Inawezekana hiyo barua imeandikwa na mtu mwingine kufuta ushahidi,sababu gani hiyo ya mtu kujiua.
 
Mwalimu kila siku anapiga watoto huko shuleni, yy kutishiwa tu kuwa atapigwa ameamua kujinyonga....je angepigwa kabisa cjui ingekuwaje???
 
Kama angekuwa ni yeye angechanika jina kwakua anaenda kufa lakin haya toa jina la mhusika na wasiwasi na hali yenyewe
 
Yaani kuchoka kutishia kupigwa ndio kumsababishe ajinyonge khaa!!!

Kwa nini marehemu asingelitoa taarifa polisi kwa habari ya huyo aliyemtishia...?

Halafu hivi polisi ya Tanzania huwa inafanyaje upelelezi wake?

Huenda huyu bwana kauawa na hata hicho kikaratasi kimeandikwa na mtu mwingine tu ili kupoteza ushahidi...

Kwa jinsi hiyo picha nzima ilivyo hapo, siamini sana kama amejinyonga, aisee mtu aandike ujumbe kwa namna hiyo tu, may be lakini hapana.
 
Back
Top Bottom