sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,281
- 7,953
Pole sna mwalimu. Nadhan utazisahau sana route za bugurun-posta, tmk-mwenge, kariakoo-masaki, tmk-kivukon etc etc!
Kwani angekuwa amepangiwa makambako hizo route angezikuta?
Pole sna mwalimu. Nadhan utazisahau sana route za bugurun-posta, tmk-mwenge, kariakoo-masaki, tmk-kivukon etc etc!
ahsante,ila cjapangiwa shule!
ungejua watu wanahonga pesa nyingi ili wahamishiwe moshi usinge shoboka hivo kwanza hakuna baridi unayo ifikiri
Habari walimu,karibuni wilaya mpya ya chemba zamani kondoa kwa wale ajira mpya tuwasiliane mi ni mwl mzoefu ntakuelekeza chaka zote za huku
Napafahamu same ni jangwa,ila kazita sipafahamu
Ntawaelekeza mkuu usijali,farkwa hujafika?