Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Nzasa aonywa kwa kumwalika Amber Rutty kama mgeni shuleni

Yani hawakumbuki yaliyo mkuta chalamila kufanya vitu pasipo tumia ukina wa kufikiri

Sasa sijui ndiyo atawajengea ukuta huyo ili wasipigwe na mayai viza au vipi !?
 
Amber Rutty alikwisha hukumiwa na mahakama na kutumikia adhabu yake. Kuendelea kumuhukumu kwa makosa ambayo alisha adhibiwa nayo ni kumblack mail na kuingilia haki zake zilizopo kisheria.
 
Tuwe Na ubinadamu bc kosa ni mavazi au kumwalika ambaruti?
kuliwa marinda hazarani na bado unaenda kwenye mualiko wa kijamii na nguo isiyokustiri vzr.

kwa staili hiyo watu wenye watoto wao hapo shuleni watakuaminije juu ya watoto wao?
 
📍TAARIFA KWA UMMA


KANUSHO KUTOKA MANISPAA YA TEMEKE

IMG_20210827_193029_540.jpg
 
Jambo zuri sana.
Watoto hawajifunzi sana nini wanaambiwa kufanya ila wanajifunza sana katika vile watu wakubwa wanafanya.

Watoto huwa inspired na watu wazima. Sasa kama amekua mtu wa mfano wa kuletwa mbele ya watoto basi watoto watamtazama kama mtu wa mfano, sasa hatujui watoto watajifunza nini kwake.
 
Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umeeleza kuchukizwa kwake na kitendo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nzasa kumualika Amber Rutty kama Mgeni rasmi na kuongea na Wanafunzi.

Pia soma > Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua


Uongozi wa Manispaa ya Temeke umesema haya

“Kumekua na taarifa zinazosambaa kupitia kipande cha video mitandaoni zikimuonesha Mtu mmoja akitembelea Shule ya Msingi Nzasa iliyopo Temeke, akiwa amevaa mavazi yaliyo kinyume na maadili ya Kitanzania”

“Tunapenda kutoa taarifa kwamba uongozi wa Manispaa ya Temeke umechukizwa na ugeni huo, umemuonya Mkuu wa Shule kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma kutokana na kitendo kilichotokea na Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza”


ila wangemualika wema isingekuwa kosa
 
Wanavyomfanyia huyu bi dada sio fair,mbon akina Kim Kardashian,Gwajima wanafanya mambo ya kijamii japo wana majanga yao mitandaoni,mnawapa attention watoto waanze kufuatilia hizo mambo za umber ruty huenda walikuwa hawajui lolote kabla..

wamefanya ishu kuwa kubwa kuliko ilivyotakiwa.Hao watoto kesho yao anaijua Mungu.Mbon Gwajima amepewa hadi ubunge na uno lake lipo mitandaoni,amber ruty anakula watu kwani?
 
Kuna watu umaarufu wao umetokana na video za ngono kuna Paris na Kim.

Ila bongo ni utata kidogo.

Kama tunakubali kwamba Amber Ruty hastahili kua pale kwasababu ya video hii inamaanisha wavujisha videos wengine hawastahili pia.

Menina, Harmonize, Mrisho Ngasa, Mary, Gwajima n.k. hawa pia hawatakiwi mbele ya watoto.

Isiishie kwenye videos tu. Wale wanaoimba juu ya kulana ndogo na kuimba kumegana day in day out nao pia hawatakiwi
 
Back
Top Bottom