kuliwa marinda hazarani na bado unaenda kwenye mualiko wa kijamii na nguo isiyokustiri vzr.Tuwe Na ubinadamu bc kosa ni mavazi au kumwalika ambaruti?
Uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke umeeleza kuchukizwa kwake na kitendo cha Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nzasa kumualika Amber Rutty kama Mgeni rasmi na kuongea na Wanafunzi.
Pia soma > Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua
Uongozi wa Manispaa ya Temeke umesema haya
“Kumekua na taarifa zinazosambaa kupitia kipande cha video mitandaoni zikimuonesha Mtu mmoja akitembelea Shule ya Msingi Nzasa iliyopo Temeke, akiwa amevaa mavazi yaliyo kinyume na maadili ya Kitanzania”
“Tunapenda kutoa taarifa kwamba uongozi wa Manispaa ya Temeke umechukizwa na ugeni huo, umemuonya Mkuu wa Shule kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma kutokana na kitendo kilichotokea na Uongozi unaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza”
Nadhani ni wao kwamba si sehemu ya ugenu huo, na hawahusiki na ugeni huo na hawakubaliani na kilichofanyika ila ni maamuzi ya mwalimu wa Shule husika.Asa hapo mmekanusha nn, kwamba hakukuwa na huyo mgeni au, akili zenu wote sawa tu na huyo mgeni mwenyewe
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
😂😂alienda kuhamasisha nini amber rutty
kuliwa marinda hazarani na bado unaenda kwenye mualiko wa kijamii na nguo isiyokustiri vzr.
kwa staili hiyo watu wenye watoto wao hapo shuleni watakuaminije juu ya watoto wao?
Hawa viongozi,
Watu wamekuwa waoga mno.