haha na shangaa eti anatamani angekuwa bint yangu mie naona watu wazima wawili mhSasa hapo mwanafunzi wa kidato cha tatu ni yupi? Aliesimama au aliekaa?? Maana wote wanaonekana kuwa ni watu wazima
hahahah namshangaa sasa kwanza yy alikuwa anafanyaje hapo bar saa hizoHuo muda wa kukaa mpaka na kuanza kupiga picha ungeutumia kuuza japo karanga si ungekuwa umeingiza chochote, wabongo bhana!
hahaha nashangaa wakati muda wa kazi halafu kaandika kwa uchungu ama kweli nyani haoni kunduleunafanya nini hapo Bar sasa muda huu??
hahahahaha huyu mleta post ma=gumashMe naona mizee miwili, sasa huyo mwalimu wako alikua ameshakutanguliza gesti na huo mvinyo????
Atasubiri sanahaha na shangaa eti anatamani angekuwa bint yangu mie naona watu wazima wawili mh
Wewe ndie unayebeepYupo bar na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu, Kibo pub - Igunga , anafundisha nguvu
moja sec - Igunga.
Tangu saa 5 asubuh wanakula mvinyo
View attachment 370768View attachment 370769View attachment 370770
Wewe boya kama maboya mengineWe unaona sahihi mwalimu kukaa na wanafunzi wake wa kike bar mda huu, siku ya kazi , wanapiga mvinyo