Mbona inaonekana wewe ndio mlevi? Mbona huyo binti hatumuoni pichani?We unaona sahihi mwalimu kukaa na wanafunzi wake wa kike bar mda huu, siku ya kazi , wanapiga mvinyo
Ukiskia habari za uchochezi ndio hizi mwanafunzi anaweza kuwa na muonekano huo acheni kutumia mitandao vibaya nilishawai kusema humu jf wamejaa wachawi mchawi sio paka ashike tunguli ila humu khaa mijitu imezidi jamani watu wanawaza wengine wafukuzwe kazi ili tu mfurahie nahio ndio sifa ya wachawi kuharibuAnambeep kivipi?
kwani ww unataka akae na mtoto wa kiume au ??We unaona sahihi mwalimu kukaa na wanafunzi wake wa kike bar mda huu, siku ya kazi , wanapiga mvinyo
Uko sahihi, tuanze na yeyewewe unafanyaje hapo bar sa 5? na mlishaambiwa msilewe saa za kazi