Mwalimu huyu anambeep Rais Magufuli?

Mwalimu huyu anambeep Rais Magufuli?

Muanzisha mada hapo kuna mawili, aidha uliimtokea huyo bi dada akakupiga chini ama jamaa unaedai ni mwalimu alikuja kutoa ofa kubwa zaidi baada ya wewe kumnunulia dada kabia kamoja sasa kulipiza kisasi unaona umpe jamaa ualimu na dada poa wa watu uanafunzi.
 
Huyu mleta mada ni mjinga sura yake mbaya imefanya akataliwe analeta siasa uchwara hapa.
 
Lakini mtoa mada angeleta picha ya waziri si mgefurahia sana na ma like kibao?
 
Mbona wote wa kubwa mwanazafunzi ni yupi sasa.Wazungu wanakamsemo wanasema mind your own business.Mi sioni kitu kinacho mtambulisha huyo ni teacher nitaamini mpaka pale Afisa Elimu atakapo thibitisha kwa sababu sasa hivi imeibuka mambo ya kuchomeana.
 
Wanaume wa ukweli hatufanyi hivyo ndugu, tunarekebishana kwa upendo kama unaona mwenzio anakosea.
 
Ungewaambia tu kuwa ganzi ya kupasulia majipu imeisha kwa hiyo aondoke eneo hilo, ila kumuweka hapa umemsababishia zahama na kilio cha huyu mnyonge anayesubiria uhakiki ili apate hela utakibeba
 
Back
Top Bottom