Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

images23.jpg
 
Hii ni HABARI YA KUSISIMUA yaani teacher kachapwa chini na dent halafu kavimba juu na mwisho wa siku kazaa.

Amuoe sasa....
 
sheria inasema je kuhusu mwanamke kubaka mtoto wa kiume?
 
Akajilengeshe kwa wenye rika lake na si watoto wadogo ambao hawana uwezo wa kujitunza wenyewe achilia mbali kutunza kiumbe kingine hapa duniani.

kwani mwalimu si anaomshahara
 
safi sana dogo, nakumbuka o-level nlikuwa msumbufu sana, alikuwko ticha wetu wa kiingereza alikuwa mzuri sana, tatizo alikuwa ananichukia sana kwa ukorofi wangu wa kuvaa mara suruwali njiwa, mara shati ya kubana, mara docas kubwa, mara mkanda mpana enzi hizo tabu tupu, basi yeye kila akinikuta na kosa ananitandika bakora, na kesho ananikuta na jingine ni fimbo tu, bahati nzuri au mbaya kwenye somo lake nilikuwa namwekea A pamoja na chuki zake, mwisho wa siku tulikuja kuwa marafiki nikawa naenda kwake usiku wa prep ananipiga kipindi, mwisho wa siku akaamua kunitunuku...loh tichaaa, siku nyingi sana sijamwona!
 
Huyu ticha nae inaonekana hajambo kwa kugawa papuchi, hapo utashangaa walimu wote wa kiume amewapa na mwalimu mkuu ndio huwa anapunguzia mshahara hapo. utashangaa dogo anafukuzwa shule ticha anabakia kazini
 
Back
Top Bottom