Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

jamani mapenzi hayana macho..mwalimu alipenda jamani
 
Huyo mwalimu ana kesi ya ubakaji itakayomlazimu kuijibu km sheria itachukua mkondo wake.
 
cjaelewa huyo mwanafunz ni nurse au? mi ninavyojua nurse ndo kazi yake kuzalisha
 
Mwalimu wa sekondari ana miaka 25???? Yeye Kamaliza lini kusoma?

Unashangaa nini? Wanafunzi si wanaingia chuo na miaka 19, wengine na miaka 17 kwa waliowahi. So tuseme aliingia na 19 au 20. Degree anamaliza na 23max. Hapo kafundisha shule miaka miwili hapo
 
Amevunja maadili ya ualimu na apewe adhabu yake
 
Huyo mwalimu ana kesi ya ubakaji itakayomlazimu kuijibu km sheria itachukua mkondo wake.

kiutaalam mwamaume habakwi, sababu ili mwanaume afanye hili tendo lazima uume usimame, na uume hauwez kusimama kama hajaamua kufanya hivyo.
 
Kwa mwalimu wa kike kuzalishwa na mwanafunzi wake hakuna nongwa, lakini sasa, kwa mwalimu wa kiume amzalishe mwanafunzi wake kike, kama hajafungwa.
 
huyo mwanafunzi🚶alikuwa mkunga😜😜😜😜�����
 
kiutaalam mwamaume habakwi, sababu ili mwanaume afanye hili tendo lazima uume usimame, na uume hauwez kusimama kama hajaamua kufanya hivyo.
Kiutaalamu upi?
Mtoto wa miaka 17 siyo mwanaume.
Kumlaghai mtoto wa miaka 17 angonoke na wewe mwaj waukweli ni kosa kisheria (Huyo ni minor)
 
Last edited by a moderator:
Hii habari haina ukweli wowote mkuu,b'cause baadhi ya waandishi wetu siku hizi wanapotosha(mislead information)sana habari ili kuuza magazeti/ habari yao.Na hii inakiuka sana media ethics,hivyo some people huondoa imani yao kwa hivyo vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom