Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

simba kula mtu ni habari bali mtu kula simba ni hahari ya kusisimua..
 
Congrat student well done amepata mtoto wa jinsia gani tumsaidie jina?
 
Ticha na student wake wametekeleza matokeo makubwa sasa kwa vitendo......labda alimfundisha topic ya "sexual reproduction" wakahamia "maabara/geto" kwa ajili ya elimu kwa vitendo...........

Action speaks louder than words.....huyo mwanafunzi hahitaji tena kuambiwa amefaulu......its automatic A+.
 
Sipati picha nani alianza kumtongoza mwenzie mwalimu au mwaanafunzi, ila naona mwalimu apewe jukumu la kumlea mtoto wake na mwanafunzi atakapo masomo aulizwe kama anamkubali mtoto au la maana wakati anamzalisha alikuwa na umri wa chini ya miaka 18.
 
Ni uongo hii habari
Ushahidi

HABAR ZA USIKU NDG ZANGU! nina iman weng wenu mna ham ya kupata uhalisia wa habar zlzoenea mwf. kumzalisha mwl.wake ktk shule ya nkas ambayo ndy ktuo changu.
Nitafafanua kwanza kuhusu walimu wa kike ninaofundsha nao then ntafafanua mazingira ya kuandikwa hiyo habar ilivokuwa.
MOSI; shule ya sec.nkas ipo wilaya ya nkas mkoa wa rukwa, ina kidato cha 1 had 6 ikiwa na tahasusi za hgk,hgl,pcm & pcm (wasichana na wavulana). shule ina walimu 5 wa kike km ifuatavyo:-
>madam kasanga=huyu n mama wa makamo amehamia mwez uliopita kutoka morogoro,ana watoto wakubwa mme wake ni askar magereza.
>madam mwamini=huyu n mdada mdogo tu,ana mtoto mdogo ananyonyesha n mke halali wa mtu na anaishi na mmewe,mme wake anafanya kaz LAPF.
>Madam david=huyu n mdada tumereport nae mwaka huu.hana mtoto ila n mke halali wa mtu,mmewe n mwalimu anafundisha sumbawanga manispaa.
>Madam ipungu=huyu n mdada hana mtoto ila mpaka sasa nina kadi yake anatarajia kufunga harusi mwez wa 12.
>Madam balama=huyu pia n mdada na hana mtoto.

PILI;mazingira ya hiyo hbr kuandikwa n kwamba kuna taasis inaitwa TMEP(tz men equal partinership) n taasis inajihusisha na elimu ya kuwahusisha wanaume ktk elimu ya afya,uzaz na malezi.taasis hii inafanya kaz kwenye mikoa 2 tu yaan rukwa na singida.1/10/2014 walitembelea shulen kwetu km wakala kuja kukagua maendeleo,viongozi hao wakiwa wameambatana na mwandishi wa habar (siame) alimuuliza mkuu wa shule (mr.manga) je kuna umuhm wa hii elimu kutolewa?.mkuu ktk kujb akamwambia kuna umhm sn kwan siku za nyuma ktk shule ya msingi kabwe iliyomwambao wa ziwa mwl.wa shule ya msingi alizalishwa na kijana wa kidato cha 2 hii yote ikiwa n 7bu ya kijana kukosa elimu ya malezi;lkn tangu elim hii imeanza kutolewa tumeona mimba za hovyo hovyo kwa vijana zimepungua pia ushiriki wa wanaume kwenye masuala ya malezi ya watoto umeongezeka. but tatizo la waandishi makanjanja akareport km ndo tukio n jpya na limetokea nkas akiongeza na ubunifu wa maneno ili habr yake ishike kurasa za mbele za vyombo vya habar.KIMSINGI HAKUNA UKWELI WOWOTE NA KAMA TAASISI TUNAFIKIRIA KUCHUKUA HATUA KWA KUTUHARIBIA TASWIRA KTK JAMII.

ukweli ndo huo ndg zangu.

mwl.mwaipaja,m.l (akabhofu!!!!)
nkasi high school
p.o.box 119
namanyere-nkasi
0755223321/0785323239
mwaipajam@yahoo.com
 
kwani sheria inasemaje hapo, nan katenda kosa?
 
HABAR ZA USIKU NDG ZANGU! nina iman weng wenu mna ham ya kupata uhalisia wa habar zlzoenea mwf. kumzalisha mwl.wake ktk shule ya nkas ambayo ndy ktuo changu.
Nitafafanua kwanza kuhusu walimu wa kike ninaofundsha nao then ntafafanua mazingira ya kuandikwa hiyo habar ilivokuwa.
MOSI; shule ya sec.nkas ipo wilaya ya nkas mkoa wa rukwa, ina kidato cha 1 had 6 ikiwa na tahasusi za hgk,hgl,pcm & pcm (wasichana na wavulana). shule ina walimu 5 wa kike km ifuatavyo:-
>madam kasanga=huyu n mama wa makamo amehamia mwez uliopita kutoka morogoro,ana watoto wakubwa mme wake ni askar magereza.
>madam mwamini=huyu n mdada mdogo tu,ana mtoto mdogo ananyonyesha n mke halali wa mtu na anaishi na mmewe,mme wake anafanya kaz LAPF.
>Madam david=huyu n mdada tumereport nae mwaka huu.hana mtoto ila n mke halali wa mtu,mmewe n mwalimu anafundisha sumbawanga manispaa.
>Madam ipungu=huyu n mdada hana mtoto ila mpaka sasa nina kadi yake anatarajia kufunga harusi mwez wa 12.
>Madam balama=huyu pia n mdada na hana mtoto.

PILI;mazingira ya hiyo hbr kuandikwa n kwamba kuna taasis inaitwa TMEP(tz men equal partinership) n taasis inajihusisha na elimu ya kuwahusisha wanaume ktk elimu ya afya,uzaz na malezi.taasis hii inafanya kaz kwenye mikoa 2 tu yaan rukwa na singida.1/10/2014 walitembelea shulen kwetu km wakala kuja kukagua maendeleo,viongozi hao wakiwa wameambatana na mwandishi wa habar (siame) alimuuliza mkuu wa shule (mr.manga) je kuna umuhm wa hii elimu kutolewa?.mkuu ktk kujb akamwambia kuna umhm sn kwan siku za nyuma ktk shule ya msingi kabwe iliyomwambao wa ziwa mwl.wa shule ya msingi alizalishwa na kijana wa kidato cha 2 hii yote ikiwa n 7bu ya kijana kukosa elimu ya malezi;lkn tangu elim hii imeanza kutolewa tumeona mimba za hovyo hovyo kwa vijana zimepungua pia ushiriki wa wanaume kwenye masuala ya malezi ya watoto umeongezeka. but tatizo la waandishi makanjanja akareport km ndo tukio n jpya na limetokea nkas akiongeza na ubunifu wa maneno ili habr yake ishike kurasa za mbele za vyombo vya habar.KIMSINGI HAKUNA UKWELI WOWOTE NA KAMA TAASISI TUNAFIKIRIA KUCHUKUA HATUA KWA KUTUHARIBIA TASWIRA KTK JAMII.

ukweli ndo huo ndg zangu.

mwl.mwaipaja,m.l (akabhofu!!!!)
nkasi high school
p.o.box 119
namanyere-nkasi
0755223321/0785323239
mwaipajam@yahoo.com
 
Angekua mwalimu wa kiume kamjaza mimba mwanafunzi mngesema kabaka, uyo mwalimu pia anastahili kupewa kesi ya ulaghai na ubakaji!
 
Mwalimu wa sekondari ana miaka 25???? Yeye Kamaliza lini kusoma?

Utafiti, inawezekana kabisa. Siku hizi watoto wanamaliza form four na miaka kuanzia 16 mpk 20. Ongeza miaka 2 ya A' level na 2 ya diploma ya ualim wa sec.
 
ila nashindwa kuelewa jambo!!!! dogo ndo alitia vocal au mwalimu!? dah!? raha sana
 
Back
Top Bottom