Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,351
- 13,142
Navyo fahamu mimi sheria mnambana teacher. Moja kufanya mapenzi na mwanafunzi. Mbili kufanya mapenzi na mtoto ambaye yupo chini ya miaka 18 hata kama alikubali yeye mwenyewe sheria inamuona ni mtoto. Wengi hawajui sheria ndio maana makosa yanatokea kila siku. Kama anampenda mtoto wake bora akimbie maana sheria haitamuacha