Mbona wote ni watoto,na hilo ni jambo la kawaida kabisa kwa vijijini au kwa vile vyombo vya habali vipo Dar tu.Gazeti la udaku bwana! Hiyo ndo mmeona habali kubwa sana,badala muandike hata ufisadi,kuuawa kwa tembo wetu,ukosefu wa madawa hospital,wanafunzi wanakaa sakafuni,mfano shule ya msingi gongoni iliyopo Tabora mjini jirani na Bank ya CRDB,jimboni kwa mpiga makofi bungeni bwana RAGE.