Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

Unaweza kukuta huyo wa miaka 17 amezeeka kinoma,
 
Hiyo ndio tz bana, ukiambiwa elimu inashuka kwa kasi waziri ana mind, mwalimu ku du na dent form 2. Hiyo ni zaidi ya noma anyway ngoja tujaribu but tume fail tayari.
 
Huyo mwanafunzi wa miaka 17 ataweza kulea mtoto mchanga pamoja na kumnyonyesha?

Hahahaha! mkuu ukifata utaratibu huu basi hata wanaume wanaotia wanafunzi mimba under 18 wasingefungwa jela maana mtoto atalelewa na nani?
 
Experience the difference! ni kama swala kumkimbiza chui sasa'
 
Ila hta mi kuna mwalimu aliwahi kunipenda akanambia kabisaaaaaa nikiwa kidato cha II but nilimkwepaaaa

walimu badiliken bhana mnajidhalilisha

halafu wengine wana ngoma wanataka kuwaharibia watoto tu
 
mshahara hautoshi...dogo amekuwa anamlipia kodi, VOCHA, shipusi...na outing bila kusahau mavazi .....akifika university atawazalisha mAPROFEsor
 
Sidhani kama mtu mzima na akili zako unaweza shabikia huu ujinga jamani!na vile vile si Dhabi kama kuwa na mtoto Katika umri mdogo ni ufahali!hapo bwana dogo kashingi kwenye matatizo tayari na kama huku na hatua zozote zitakazo chukuliwa baada ya muda mfupi ujao utasikia wamepata mtoto wa pili then huyo dogo naye ataacha should!
 
heshima kwenu wanajamvi. mwanafunzi wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 17 amzalisha mwalimu wake mwenye umri wa miaka 25 huko rukwa.

Mwalimu wa sekondari ana miaka 25???? Yeye Kamaliza lini kusoma?
 
Back
Top Bottom