Mam'kwe nakuja kukujibu tu afu narudi chumbani.
Me niko Ndani nina Machicha ya nazi + Pumba mbichi mwili mzima.
Sasa unaposema niko Babati na Arushaone unajua unanitafutia ubaya kwa Kungwi na Somo wangu gfsonwin bila kuwasahau akina snowhite na cacico na wenzake wenye majukumu ya kuniweka vi-Mbakati chini ya tumbo, na ki-gedahri Kiunoni?
Hvi kumbe hata vikongwe huwa wanafanyiwa vitchen party? Jamani mi najua kuwa Madame B ana miaka 70+. Imekaaje hyo? Hayo ni matumiz mabaya ya hyo shughuli
mi nafikiri Kaunga hapa inabidi ahusike,tena ufanye kumpigia simu aufanye mwepesi kidogo bila kusahau wakati wa kunywa mwali mwalikwa wetu anuize kabisa huku akitupia punje za tende na aumiminie asali !ili aonjwappp awe ladha ya wa asali ya nyuki wadogo!
halula!
umemwona haw ara yako Bishanga anavyomwaga razi?
mimi nilijua tu hakuna bi harusi hapa,we bi harusi anajua kuliko makungwi wake sasa kuna nini hapo?Kungwi bibi harusi nina hamu ya kutoka nje,
naruhusiwa?
Aisee.....!
Unakaribishwa.
naomba tenda ya kufungua na kugawa vinywaji vyoootee.
Nawasilisha.
Kila idara ina watu.
Kwanza nyie hamruhusiwi,taonana SendOff.