gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
- Thread starter
- #41
bibi weeee hebu acha umwali kigego unataka tuitwe misungo siye wakti ni mafundi tulotukuka kwenye hii fani
mwali mwalikwa bibi weee!hebu chuntama huko nakuitia farkhina aje akutie piko halafua aje kabisa na kashata za kungu
na uji wa kungu sijui nani atampikia huyu hebu kungwi mpe mtu kazi hii haraka muda unaenda atiii.