Forget about your ex Preta...sign me in, you not gonna regret it. Am damn loaded with Sangara/Sato money. Kama hutaweza kidhi mahitaji yako hapa Mwanza, basi ntakupeleka Paris!.
JF kubwa @Ivuga......sijui hata ni nani aliyepeleka fitna.....nimeachwa hivi hivi....
asante Yegomasika.......lakini moyo wangu ushavunjika vipande vipande.....sina hamu ya kupenda tena.....
Pole sana da Preta.. Nani aliyekuibia mtu wako? Mtaje twende kumzodoa
...My bebii Preta..cjakuacha bana..ila naniii aliniudhi sana...mimi penda wewe sana..hata dada Cantalisia anajua. Mwali bado niko na Preta mayb yeye ndio anipige kibuti
... Yegomasika..ni ushauri gani huo unampa my bebiii..mie niko naye huyo...Forget about your ex Preta...sign me in, you not gonna regret it. Am damn loaded with Sangara/Sato money. Kama hutaweza kidhi mahitaji yako hapa Mwanza, basi ntakupeleka Paris!.
Preta,kweli hata mie najua namna kaka yangu mtu chake anavokupenda na kamwe hajakuacha,...My bebii Preta..cjakuacha bana..ila naniii aliniudhi sana...mimi penda wewe sana..hata dada Cantalisia anajua. Mwali bado niko na Preta mayb yeye ndio anipige kibuti
... Yegomasika..ni ushauri gani huo unampa my bebiii..mie niko naye huyo...
...hata mimi naiona muda huu....ila cwezi kumuacha Preta hata ije Tsunami
...hakuna kitu@Judgement..sie hatujaachana...No one like Preta...
we Cantalisia ni kwamba hujui tu....akitaka nimsamehe anipeleke holiday Honolulu....
Nimezipenda sana, Asante Saint Ivuga.
Twende zetu out mpenzi, I am ready...
Wifi yangu Preta mbona hayo madogo sana kwa kaka yangu mtu chake!!!,we Cantalisia ni kwamba hujui tu....akitaka nimsamehe anipeleke holiday Honolulu....
Chezeiya my broda mtu chake hahahah ahhahhaha!..na hivi sasa nafanya booking ili twende kwanza Germany kuchek Fainali ya Uefa Champion League...Chelsea na Bayern Munich....then tunaingia huko Hawii na Honolulu. Preta. Cantalisia..@ Saint Ivuga..
Mwali it is time you start confiding in your auntie too, when did you get back to him? Si uliniambia vimeisha? Dah! Mie confused kabisa. lol
But Uncle??!! Wewe mwenyewe si ndie ulisema umesha pokea mahari?Hata mimi am totally flabbergasted love...what the hell is going on?
nataamani na mm ningepata mvulana kama huyu ila sina bahati mie sijui kwanini..........life is not fair kwakweli....luck u mwali
happy to know......ila nisijetolewa ngeu tu bure humu ndani mana lol!nimekupenda na nipo single ujue
Usiogope Cute, Ivuga is single kabisaaaaa.happy to know......ila nisijetolewa ngeu tu bure humu ndani mana lol!
happy to hear...(me kidding)Usiogope Cute, Ivuga is single kabisaaaaa.