Mwakyembe unaua bandari yetu

Mwakyembe unaua bandari yetu

Robato

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2012
Posts
383
Reaction score
233
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
 
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Kwani ukiomba kibali wizarani kuna tatizo gani?Kwani ofisini kwako hakuna maboss ambao hutoa amri?Kama unawatusi wafanyakazi wa wizara ni mbumbumbu je hapo ofisini kwako bandarini kupoje?
Ni hayo tu.
 
acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.


muathirika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!mtajua tu
 
Weraweraa wezi hawajifichi,tutaona mengi sana before 2013
 
fuata taratibu mkuu,kama mlizoea kukwiba hukujua kuna mwisho?wakati ameteuliwa mlisema hawawezi sasa kawaweka kwny target yake mnalia,mwisho wa mwaka malengo yametoweka kilichobaki mwapga mayowe,fanyani kazi kama haiwalipi njooni kitaani mtafute shughuli nyngne,na bado mkuu bado nawe zamu yako kutimuliwa!
 
Afadhali mdau umejitokeza utusaidie, kwa hapa naona unawakilisha wenzako 'mnaolilia' kufanya kazi, sasa mbona kama mnatuangusha na huo ufanyaji kazi wenyewe?

Hebu tusaidieni wa-TZ wenzenu nasi tuwaeleweni na mwisho wa siku tuongee lugha moja. Kwani tatizo ni nini? Mbona kama hatuoni kile tunachotamani kiwe? Jamani, mpaka Kagame anaitamani bandari yetu aiendeshe! Hivi opportunity ya kuhudumia nchi zote land locked zinazotuzunguka haiwanyimi usingizi? Bandari peke yake si ingeweza kututoa jamani?
 
Kwani kuomba kibali inachukua muda gani. Siku hizi kuna emails, simu na fax (Kwa Tanzania). Bandari na TRA mnajifanya Mungu watu. Mtu kutoa mzigo bandarini inakuwa ni taabu sana kwa sababu ya uzembe na wizi wenu.
 
kazi gani mlikuwa mnafanya?au ya kupoteza 40ft kila siku ndio kazi unayotaka muachiwe mfanye,Kishanuka jipangeni upya. mlipewa uhuru wa kufanya kazi mkashindwa acha wizara iwasaidie sasa. polee sana
 
Safi sana Mwakyembe, wamezoea kutuibia, ukileta gari ukilipata likiwa zima ni bahati. Kula vichwa woote, weka mpyaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
wewe ni boya...tena kinabo,sasa umeng'ang'anizwa kufanya kazi?ukiona mambo magumu mirija yako ya wizi imekatika,achakazi iliwajue utujue tunao kugongea mkeo..ukurutu kweli ww
 
Haya hao ndio Watz...... kama ulikuwa hujui.......

Sahau kuhusu maendeleo kwenye taifa hili la majuha!
 
Acha watu tufanye kazi, kama lengo lako ni mapato fuata kanuni na taratibu dhibiti mapato, sasa hata kuingiza meli tuombe ruhusa wizarani? Bandari iko wazi meli zimejaa nje, mpaka mbumbumbu fulani wizarani atoe amri ndo tufanye kazi. Watu wanamshangilia huyu mtaka msifa, subirini mtakuja kuona.
Nia ya Dr. Mwakyembe ni nzuri japo kunaweza kukawa na intention nyingine nyuma yake maana hii ni tz.
Cha msingi hapa ni kuwa hakuna mtu anayeweza kubadilisha hali ya mambo kutokea kwenye mlolongo wa commands za ccm kwa maana msingi wa utawala na taratibu za chama hiki ni fitna na unafiki. Na kwa kiasi cha fitina zilizoko huko (refer mzee Akilimali anavyosema kuwa ni bora Yanga ife/ifutwe kuliko kuongozwa na 'fulani'), watu wako tayari kufa kuliko ku adopt mfumo wa kisasa na wa maendeleo.
Iache tu Tanzania iendelee na mambo yake ya 'backwardness' na uchawi mpaka Mungu akiamua vinginevyo!

 
Dr. Mwakyembe, wembe ni ule ule hadi hawa jamaa wa bandarini washike adabu! Nimeagiza magari mara tatu, yaliyonikuta ni makubwa hapo bandarini. Dr. Mwakyembe kaona mapungufu hayo, wasiotaka mabadiliko waache kazi ili bandari itoe huduma za uhakika. Upuuzi mkubwa kumlaumu waziri anayerekebisha mambo.

Dr. Mwakyembe, KANYAGA TWENDE!
 
Back
Top Bottom