Nibora kutumwa Na Mzazi wako kuliko we we Unae mfulia kaptula Mbowe kwa ujila Wa kiroba
Nyie ndiyo walewale wachekeshaji wa jf
Nibora kutumwa Na Mzazi wako kuliko we we Unae mfulia kaptula Mbowe kwa ujila Wa kiroba
Mwakyembe alizunguka Tanzania kutuaninisha lowasa ni fisadi na kesi inasubiri muda tu itafunguliwa, watu waliamini na hawakumchagua lowasa, sasa ni wakati muafaka kabisa 1. Mwakyembe ampeleke lowasa mahakamani kama alivyotuaminisha majukwaani. 2. Au akiri hadharani kwamba ile ilikuwa ni propaganda ya kutafuta kura tu na awaombe radhi watanzania na lowasa pia. 3. Dr. Slaa naye aje na zilo karatasi zake akatoe ushahidi mahakamani la sivyo naye aitishe press ya waandishi atuambie kashfa zinaonekana kwenye campaign tu.
Yeye nani?
Mbona hata Mwakyembe anayo Kesi ya kujibu.
Aanze kwanza ya Lowassa
Yesu akasema: mtu ambaye hajawahi kufanya kosa lolote katika maisha yake na awe wa kwanza kumpiga mawe mtu huyu
Ni mtanzania anayejielewa, kakomaa na amasimango, hata mwende mbele mrudi nymua atabaki yeye kama yeye. Ukweli utakuweka huru mkuu, japo si vibaya kutetea upande uliopo.
Mmiliki wa Richmond ni Kikwete