Frediluu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 1,075
- 266
Anafaida gani Na Utanzania wake kwa watanzania zaidi ya kuwaibia?ndio maana Analaana Na Ataendelea kukatwa tu
Huo ni mtazamo wako eroo Motochini ila kwetu LOWASSA ana bonge la HESHIMA KULIKO huyo mliyempitisha kimazigabwe. Kwanza ngoja nikampe kamanda LEMA big up kubwa kwa kumpiga chini muuza unga wa unga limited wakati mboga ni kiduchu Kilombero. yeeeeeeeere karibu Arachuga errrrrooooooooooooo