Mwakyembe, mburuze mahakamani Lowassa kesi ya Richmond

Mwakyembe, mburuze mahakamani Lowassa kesi ya Richmond

Asisahau kuwa Ni Mwakyembe aliyempa uwanja wa relwe aliyekuwa mgombea wa ubunge wa Arusha mjini Bw. Monaban akauzungushia uzio hadi sasa.

Mwakyembe kapiga pesa nyingi sana hana pa kujificha kila mtu anamjua ni mpigaji tu.
 
Unapo nitajia jina Lowassa zsidi ya Mara 1 nijisikia kutapika, Ni BABA YAKO WEWE

Umekariri Akili za Nape hadi umejitoa fahamu zoote ! Mwenzako alikuwa Adui wa Lowasa kwa sababu alikuwa analipwa na Membe kwa dola zikitoka kwenye Handaki zilikofichwa pesa za marehemu Gadafi.lakini moyoni anamkubali Lowasa kiaina.
 
Tulieni, acheni upuuzi wenu, Tz inahitaji na inao watu makini, waadilifu na wenye machungu na nchi km Dk. Mwakyembe, hvyo ninyi mnaompinga kutokana na kuwalinda mafisadi wenu papa kwa maslahi yenu na kutumia nguvu kubwa kumchafua Dk. mwakyembe kwa sbb ya maslahi ya kuwalinda wahuni wenu mkome na muache mara moja,muacheni Mwakyembe tegemeo letu watanzania kwa uadilifu wake, hana dosari, aguswi popote na mabehewa yenu, Bandari na ndo maana JPM kamwona na kumpa nafasi nyeti awashughulikie wezi na mafisadi hvyo acheni hofu zenu za kushughulikiwa. Mtakoma mwaka huu.
 
Mwakyembe ameagiza mabehewa feki ya treni trl akapiga pesa akanunua kiwanja bahari beach tsh. bilioni moja ... huyu ni fisadi mzuri tu

Acha uongo ukawii kusema hata alipokuwa waziri wa uchukuzi aliruhusu makontena kupita terribly and horribly!?.
 
Hivi kale kaugonjwa kaliko mpeleka India kuvalishwa kofia kup, AMESHAPONA?
 
Easier said than done. Nyumba ya msonge imesimama kwa nguzo ya katikati unaamini kuta za udongo zisizo na fito paa litakuangukia.
 
Umekariri Akili za Nape hadi umejitoa fahamu zoote ! Mwenzako alikuwa Adui wa Lowasa kwa sababu alikuwa analipwa na Membe kwa dola zikitoka kwenye Handaki zilikofichwa pesa za marehemu Gadafi.lakini moyoni anamkubali Lowasa kiaina.

MI HAKIKA NADHANI AKILI ZA mOTOCHINI ZIKO kichama zaidi na si kizalendo. Anafuata nyayo za Simba DUME LOWASSA UTADHANI KAAHIDIWA UBUNGE WA VITI MAALUM ccm. Yule ni shujaa tu piga ua garagaza, siyo huyo aliyewekwa kimagumashi na sasa anatafutA kiki kwa kuwaaminisha watanzania na mambo ya mpito. Soon verry soon and time will tell.
 
Wewe Escrow Lowasa kakuubia nini? Si umeambiwa Richmond ni ya Kikwete.

Hakika nazidi kupata pich kua motochini ana ruzuku kwenye chama ndo maana haoni hasara kuropoka bila kujiridhisha kwanza na kauli zake za kitoto, Ushahidi upo ila nashangaa anang'ang'aniiiiiza tu mambo. Si aende mahakamani kua wa kwanza kumfungulia Komando wetu Lowassa mashtaka??????????????? anashoboka sana bana.
 
Lowassa nilazima maana ndio Jizi mkuu

Mi nadhani Baba Lowassa atakua alimbania ndugu au best yako ulaji ndo maana unabwabwaja sana maneno ya kangani. Hebu toa hoja endelevi na yenye mantiki na siyo kuleta maneno ya chuki na ya kukariri wewe motochini.
 
Aanze Na mwizi mkuu Lowassa

Mwizi mkuu ni huyo unayejaribi kutuaminisha ndivyosivyo ila Kwa BABA YETU LOWASSA acha kabisa. Anvumilia sana mengi na Mungu azidi KUMPA MAISHA MAREFU COMMANDO wetu LOWASSA.
 
unapo nitajia jina lowassa zsidi ya mara 1 nijisikia kutapika, ni baba yako wewe

naweza kukutajia hata mara 100000000000000000000000000000000000000000000000 motochini, maana namkubali mara hizohizo nlizokutajia. Mimi si mshabiki ila ukweli ndo unaniweka huru. We si unataka angalau upewe hata ubalozi wa nyumba kumi kumi!!!!!!!!! Keep going
 
Hivi huyu lowassa amewafanyia nini kizuri wananchi hadi wanampenda hivi ? Nashindwa kabisa kuelewa
 
Mwakyembe kashika wizara ya sheria ambako kuna wanasheria wa serikali na waendesha mashtaka nguli waliobobea katika fani za sheria na wenye weledi mkubwa.

Mwakyembe wafurahishe na uwatendee haki watanzania,Kutana na wanasheria wako wizarani hapo mburuzeni Lowassa MAHAKAMANI kesi ya RICHMOND na angalieni na maeneo mengine aliyotupiga watanzania kwa kutuibia.

Chonde chonde Mwakyembe tusaidie watanzania.Wanasheria msaidieni Mwakyembe.Naamini wanasheria watakaoikalia vizuri hiyo kesi si ajabu wakaja kuwa marais baada ya Magufuli kumaliza awamu zake.

Sijui Hidaya labda nimekosea Jina lako anyway mwanzisha Uzi, sijafahamu ulikuwa Na umri gani Na Elimu gani kipindi kile 2008 Mheshimiwa Sana Former PM Edward Ngoyai Lowassa Kwa hiyari yake mwenyewe alipoamua kujiuzulu uwaziri mkuu on Richmond Secandal pale bungeni.
Sio kama mawaziri we2 wa Leo wanao ngan'ngania mpaka 2uandamame regardless wamekumbwa Na scandal kubwa namna gani.2umeona Escrow.EPA.operations 2komeza.nk

Kesho yake mara Baada ya Mh.Lowassa kujiuzulu Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Na Amiri Jeshi Mkuu by zen Ndg J M K alihojiwa Na waandishi wa Habari Na kuuwambia uma Na dunia Kwa ujumla kwamba waziri wake mkuu "HAHUSIKI NA WIZI WA AINA yoyote" Bali kilicho 2okea ni "AJALI YA KISIASA" 2 AND CAN HAPPEN 2 ANYONE in Politics as collective responsibility" sasa we Hidaya hizo chonde chonde unapingana Na Rais wako? We unajua sana kuliko yeye?

Huyu m2 uanyesema afunguliwe Kesi awekwe ndani ili Mwakyembe awafurahishe watanzania ni watanzania wapi Hao wanaofurahishwa? Je Hidaya anafahamu Kuwa kwa mujibu wa jaji babu lubuva huyo Ndg ameaminiwa Na watanzania Over 6 mil. Nje ya wale mil.kumi Na-v waliopiga kura. Minus 8 mil. Iliyosemekama hawakumchagua? Swali; Hidaya wapi unaweza kuzi2unza hasira za Hao watanzania mil.6 waliomuamini kuumpa nchi awaongoze? Au ukimya umekuduwaza akili? Use your common sense kabla hujaandika ama kuanzisha Uzi.
 
Hakuna degree isiyo kuwa na ajira kinachosumbua n miundo mbinu mibovu ambayo unakutwa imewekwa na government...... Kama school of law hainaajira basi ifutwe!!!!!!!
 
Back
Top Bottom