MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,088
- 35,430
Duh huyu jamaa mfukunyuku anataka kumchanganya Mwaktembe ili unafiki wake uanikwe.
Lazima Lowassa awekwe ndani
Duh huyu jamaa mfukunyuku anataka kumchanganya Mwaktembe ili unafiki wake uanikwe.
Mwakyembe ameagiza mabehewa feki ya treni trl akapiga pesa akanunua kiwanja bahari beach tsh. bilioni moja ... huyu ni fisadi mzuri tu
Utasubiri sana Lowassa kushitakiwa
Mwambie Huyo boss wako Mwakyembe kwanza ajifungulie kessi mwenyewe za kuiba Pesa za Ukarabati wa Reli ya Dsm- Tanga, Dsm- moshi, Dsm-kigoma na mwanza, ununuzi wa mabehewa mabovu, Treni ya daladala jijini Dsm , zile 10 percent ujenzi uwanja wa Dsm Airport na viwanja vingine vya ndege, wizi bandarini nk, Mwakyembe ni bonge la mwizi hata hiyo wizara kapewa kama fadhila kwa kazi aliyofanya Kipindi cha kampeni kwa kufanikisha kumrubuni DR Slaa na Lipumba hadi wakakubali kununuliwa na Membe kwa Dola million 2 slaa na lipumba dola million 1.5 pesa ambazo zilitoka kwenye Handaki zilikofichwa billion za marehemu Gadafi ambazo pia zimemsaidi kupiga Goli la mkono jimboni kwake kutokana na hali ilivyokuwa Mwakyembe asingeweza kuwa mbunge tena bali uchakachuaji ndiyo umemrejesha kuwa mbunge.
Mwakyembe ni mwizi kuliko mwizi yeyote Tanzania sasa kamwazima Membe ule Utitiri wa waganga wa kienyeji toka Gambia, Mongolia na Nchi zingine upo kwake ukitekeleza kamati za Ufundi ili upepo wa bandarini na shirika la Reli na ile kesi ya kupinga matokeo yake ya Ubunge zipite mbali.
Hapo sasa, ila zaidi ni huyu mtoa mada anang'anganiza hii mada hadi kwa maombi na chondechonde nyiiiingi utadhani anajua nje ndani ya hii issue ya Richmond.
Mwakyembe kashika wizara ya sheria ambako kuna wanasheria wa serikali na waendesha mashtaka nguli waliobobea katika fani za sheria na wenye weledi mkubwa.
Mwakyembe wafurahishe na uwatendee haki watanzania,Kutana na wanasheria wako wizarani hapo mburuzeni Lowassa MAHAKAMANI kesi ya RICHMOND na angalieni na maeneo mengine aliyotupiga watanzania kwa kutuibia.
Chonde chonde Mwakyembe tusaidie watanzania.Wanasheria msaidieni Mwakyembe.Naamini wanasheria watakaoikalia vizuri hiyo kesi si ajabu wakaja kuwa marais baada ya Magufuli kumaliza awamu zake.
Alishasema mwenye ushaid apeleke mahakan sasa anasubir nini
Nenden tuone mbivu na mbichi
Naommba kesi ifunguliwe
#motochini , unafIR(ΦωΦ😉@.. upo..
Watu wengine bwana.na Mwakyembe TRL na TPA,mbona husemi abururuzwe mahakamani.Hizo ni chuki binafsi.
Mwakyembe Anapaswa kuangalia namna ya kupanua wigo wa ajira Tanzania katika mahakama zote ili Vijana wetu wanaomaliza Law school wapate ajira.
Tuanze Na Fisadi kiongozi mkuu Lowassa kwanza
Hivi miaka yooote hiyo kwanini hamumshitaki mumpeleke mahakamani au ndiyo mmebakia kutumiwa tu na baba zenu kama kina kondakta na Nepi
Hakuna adhabu tosha kama mtu kuishi ukijua kuwa Watanzania wote na dunia kwa ujumla wanajua kuwa wewe ni fisadi.
Tumuache Lowassa na hiyo adhabu.