Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,967
- 12,951
Mtu alishazoea kuudanganya Umma ni vigumu sana Kuaminika!
Kwamba Richmond ni uongo ?Mtu alishazoea kuudanganya Umma ni vigumu sana Kuaminika!
Kwahyo unakataa hakuingia na konyagi huku kalewa? We nani sasa kazi kutetea na kubisha vitu ambavyo vimetokea, mbona hakuna mbunge yoyote aliyemuona aliyekanusha kuwa haikuwa konyagi? Some times tuweni positiveHakuna lolote hapo,hivi huyo NAsari hana akili akaingia na chupa Bungeni??Mwakyembe naona dawa inampeleka ndiko siko
Nani mwingine zaidi ya mwenye ushahidi wa ishu yenyewe na kasema mwenyewe waliamua tu kumwacha Lowasa.....Kwa nini asiirudishe ishu bungeni ijadiriwe kwa kina?Ngoja nione kama kuna Nyumbu mwenye nguvu ya kurudisha tena ishu ya Richmond Bungeni......balaaaaa kubwa
Lowasa alikuwa na haki ya kujitetea mbele ya bunge, badala ya kujitetea akaamua kujiuzuru, hicho ndicho anachomaanisha Dr Mwakyembe.mtanzania1989: Umesikia alichokisema Mwakyembe? Hivi anaposema Lowassa kabla ya kuhojiwa yeye akakimbilia kujiuzuru wewe unaelewaje?
Wale wanaoamini Lowasa ameonewa, amechafuliwa jina,Nani mwingine zaidi ya mwenye ushahidi wa ishu yenyewe na kasema mwenyewe waliamua tu kumwacha Lowasa.....Kwa nini asiirudishe ishu bungeni ijadiriwe kwa kina?
Anataka nani airudishe bungeni wakati yeye alilipwa pesa nyingi tu na serikali kushughulikia ishu hiyo na haikuleta toja iliyotakikana...
Kwahyo unakataa hakuingia na konyagi huku kalewa? We nani sasa kazi kutetea na kubisha vitu ambavyo vimetokea, mbona hakuna mbunge yoyote aliyemuona aliyekanusha kuwa haikuwa konyagi? Some times tuweni positive
Lowasa hakuonewa hata kidogo,mh Mwakyembe alipata ushahidi toka source 75,alikuwa waziri wa katiba na sheria, imeanzishwa mahakama ya mafisadi na msomi wa sheria mh Mwakyembe akiwa waziri,kwa nini alipata kigugumizi cha kusweka mahakani ahukumiwe na afungwe?Gullam Bhai aliyeibua hoja ni Nassari, kuwa Lowasa Alionewa, basi alete ushahidi na suala la Richmond lifuatiliwe kwa umakini na asiye na dhambi asafishwe na alipwe fidia ya kuharibiwa Jina.
Mwakembe amezungumza kwa kujiamini, NA vyama vya upinzani viliunga mkono ripoti ya mkwembe NA kwa kujiamini waliiweka kwenye tovuti Yao NA kumtaja Lowasa kama Fisadi No 1. Sasa kipi kilichobadilika, yaani imewachukua miaka 7 kujua alionewa???
Mi hadi niambiwe alikua na alcohol % ngapi kwenye damu yake ndio nitaamini kama kweli dogo janja ameanza ku save water, vinginevyo nahisi upo mchezo umechezwa.Kwa hiyo chupa ya Konyaga amewekewa na hawara wake au ?
Bado kidogo utaona maajabu mkuu, watasema TISS ndio walimpa hiyo konyaji kwa lazima. na kama walipongeza Kitwanga alipotumbuliwa kwa sababu ya Pombe, basi tunaamini hata kwa hili watamkemea Nasari maana lake in kubwa kuliko LA Kitwanga. Najua ujasili huo hawana maana wote ni wapiga bapa waliokubuu. OvaKwa hiyo chupa ya Konyaga amewekewa na hawara wake au ?
Nadhani unachanganya madesa, Chadema walimtuhumu Lowassa before Richmond SAGA na Richmond ilipokuja ni kama ili finalize the excise
Ripoti ya Mwakyembe ndio iloyomfanya aone aibu ajiudhuru. Acha longolongo toeni Nyagi/bapa bungeniSasa kilichomshinda kumshughulikia that time ni kipi!!?
Yaani, ilitakiwa tuanzae na yeye Mwakyembe kwa kushindwa kufanya kazi yake sawasawa!! Rais ameshasikia .... kama yuko serious basi amuondoe huyu mtu kwenye hayo madaraka. Kama alishindwa kulishughulikia Richmind miaka 10 iliyopita na leo anaadmit tutawezaje kumuamini kuwa anafanya kazi zake sawasawa!! Ten years down the line atakuja kutwambia tuyalete mambo ya Bashite na Nape Bungeni kuyajadili!
Tatizo alietoa maelezo ya Nassari kulewa ni Mwakyembe ambaye hata hatumwamini. Hii ndo shida kuzuia bunge live,tulitakiwa tumwone amelewa lakini kwa hapa ni kama platform aliachiwa Mwakyembe aitawale. Tukimsikia Nassari ndo tutajua ukweli, kwa historia inayojulikana kwa wengi ni kuwa Nassari hatumii pombe lakini lolote laweza kutokea maana kunywa au kutokunywa ni maamzi yake lakini ni vizuri tupate kwanza ukweli toka kwa watu wengine na sio kwa Mwakyembe.Swala la ulevi kwa wabunge wetu limekuwa tatizo sugu. Hii ni aibu kwa Taifa kuwa na wabunge wasiotambua wajibu wao kwa wananchi. Kuingia Bungeni akiwa amelewa muda wa kazi ni dharau kwa wana arumeru mashariki ambao wamemwamini na kumpa jukumu la kuwawakilisha bungeni. Sioni kama ni sahihi kwa wabunge wa aina hii , wasioheshimu wajibu wao kurudi tena bungeni bunge lijalo.
Mh. Spika tunakuomba uwe unaweka waangalizi kwa wabunge kabla ya kuingia bungeni, ili kuepusha aibu kama hii, na kuligeuza bunge letu kijiwe cha wahuni.
Kwamba Richmond ni uongo ?
Kwamba Nasari hajakutwa amelewa akiwa chupa ya Konyagi bungeni ?
Kwamba Mdee havuti bange kabla ya kuingia bungeni ?
Acheni unafiki vijana, nchi hii inashangaza sana kuona vijana ndio wanaongoza kwa unafiki na unyumbxx, tena wengine wasomi kabisa.