mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Kwa hiyo CDM walikuwa wanaamini Richmond ni uonevu ? Huu unafiki unapatikana Tz tu.Nadhani unachanganya madesa, Chadema walimtuhumu Lowassa before Richmond SAGA na Richmond ilipokuja ni kama ili finalize the excise