Haswaaa, huyu jamaa anafeli wapi? Issue ya RICHMOND nayo alifeli?Huyu Mwakyembe naona majukumu yamemuelemea hadi majukumu yanamshinda. Mfano alishindwa kama waziri mwenye dhamana kwenda kuipa nguvu Stars Afcon na kuiacha jukumu hilo kufanywa na Mkuu wa mkoa. Leo Kabudi kumsemea kuwa Azory alitoweka na kufa anajifanya hajasikia. Utawala huu naona rais kama wasaidizi wake vipimo vya viatu vyao haviendani na kasi
Halafu walikuwa darasa moja!Hawa walimu wa UDSM wana nini?
Halafu walikuwa darasa moja!
Tena kapiga bonge la jishuti!
Phd holders wapuuzi
Toka lini watu wa majalalani wakafaulu, just thinking loud.Kabudi anafeli sana sijui uzee
Toka lini watu wa majalalani wakafaulu, just thinking loud.
Aliliwasilisha lini mambo ya ndani? Na hiyo ripoti kuhusu kupotea kwa Mtanzania mwenzetu Azory Gwanda aliambiwa itakuwa tayari baada ya muda gani?
Vipi kuhusu kupotea kwa Ben Saanane na kutekwa na kuteswa kwa Watanzania wenzetu wengine Lugola na uhamiaji mbona wako kimya!? Serikali yote mbona iko kimya pamoja na muda mrefu kupita!?
Tunaimani na kabudi ccm iache chenga,watajulikana tu wasiojulikana hakuna namnaJuly 11, 2019
Bonn, Germany
Waziri Harrison Mwakyembe mwenye dhamana ya kusimamia habari Tanzania katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani DW, ametofautiana na kauli ya waziri wa mambo ya nje ya Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi.
Harrison Mwakyembe amesema hawezi kusema kwa uhakika kilichomtokea mwandishi wa habari aliyetoweka ktk mazingira ya utatanishi na kuongeza aliwasiliana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi ili walichukulie kwa uzito suala hilo.
Mh. Harrison Mwakyembe akaongeza kuwa suala hilo kwa vile aliwasiliana na kuliwakilisha kwa vyombo vya usalama, anasubiri ripoti kamili toka vyombo hivyo.
Wakati huohuo wanaharakati wameanza kuichagiza serikali ya Tanzania kutoa ripoti kamili kuhusu yaliyomkuta mwanahabari huyo aliyetoweka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Palamagamba Kabudi, kuthibitisha kifo cha mwandishi wa habari huyo Bw. Azory Gwanda.
AFCON ccm hawakumwona niniTena kapiga bonge la jishuti!
Miaka miwili bado tu anasubiri ripotiJuly 11, 2019
Bonn, Germany
Waziri Harrison Mwakyembe mwenye dhamana ya kusimamia habari Tanzania katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani DW, ametofautiana na kauli ya waziri wa mambo ya nje ya Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi.
Harrison Mwakyembe amesema hawezi kusema kwa uhakika kilichomtokea mwandishi wa habari aliyetoweka ktk mazingira ya utatanishi na kuongeza aliwasiliana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi ili walichukulie kwa uzito suala hilo.
Mh. Harrison Mwakyembe akaongeza kuwa suala hilo kwa vile aliwasiliana na kuliwakilisha kwa vyombo vya usalama, anasubiri ripoti kamili toka vyombo hivyo.
Wakati huohuo wanaharakati wameanza kuichagiza serikali ya Tanzania kutoa ripoti kamili kuhusu yaliyomkuta mwanahabari huyo aliyetoweka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje Prof. Palamagamba Kabudi, kuthibitisha kifo cha mwandishi wa habari huyo Bw. Azory Gwanda.
kwa vile aliwasiliana na kuliwakilisha kwa vyombo vya usalama,
Kwa hili boko unadhani ni halali kuitwa Pumbaaavu?Mzee wa kukodoa macho katoa boko
Kaka damu ya mtu haipotei bure hawa malofa watakuja kutajana TuTumuamini Kabudi tu, ndo karopoka ukweli. Mwakyembe analeta hekaya za abunwasi lakini anajua kila kitu
AnastahiliKwa hili boko unadhani ni halali kuitwa Pumbaaavu?