Mwakyembe azungumzia Kauli ya Kabudi kuwa Azory Gwanda amefariki

Haswaaa, huyu jamaa anafeli wapi? Issue ya RICHMOND nayo alifeli?
 


!
!
Kabudi Anafahamu Kilichomtokea Azory. Na Ameshakisema.
Sasa Haya Mengine Ni Kumfurahisha Mkuu Tu Kila Mmoja Anakuja Na Maelezo Yake. Ni Huyu Huyu Mwakyembe Alinukuliwa Akisema Kama Mtu Kaondoka Mwenyewe Wamfanyaje
 
Tunaimani na kabudi ccm iache chenga,watajulikana tu wasiojulikana hakuna namna
 
Miaka miwili bado tu anasubiri ripoti
 
Wangemuhoji kwa Kingereza naye angeteleza tu kama mwenzake ....... Hata Kabudi kwenye interview ya Kiswahili kwa jambo lile lile alihandle vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…