josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,241
- 1,031
Haswaaa, huyu jamaa anafeli wapi? Issue ya RICHMOND nayo alifeli?Huyu Mwakyembe naona majukumu yamemuelemea hadi majukumu yanamshinda. Mfano alishindwa kama waziri mwenye dhamana kwenda kuipa nguvu Stars Afcon na kuiacha jukumu hilo kufanywa na Mkuu wa mkoa. Leo Kabudi kumsemea kuwa Azory alitoweka na kufa anajifanya hajasikia. Utawala huu naona rais kama wasaidizi wake vipimo vya viatu vyao haviendani na kasi