Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Siku chache zilizopita waziri wa
sheria na katiba Dr. Harrison
Mwakyembe alisema ni makosa
msanii wa mbeya (sugu)
ambaye hakumaliza shule
kumtilia shaka au kumkosoa
mtu mwenye elimu ya juu ya
PHD.
Kauli hii ya mwakyembe
imenifanya kutafakari,kufanya
reseach na kutafiti kwa kina
kama ni kweli mtu wa elimu ya
chni hawezi kumkosoa,kumtilia
shaka au kumsahihisha mtu
mwenye elimu ya juu.
Kauli ya mheshimiwa
mwakyembe ilijaa dharau na
kebehi zidi ya mbunge
mwenzake mheshimiwa Joseph
Mbilinyi.Mheshimiwa
mwakyembe alimaanisha kana
kwamba ukiwa na PHD basi
unajua kila kitu na huwezi
kukosolewa ama kutiliwa shaka
na mtu mwenye elimu ya chini
kitu ambacho hakina ukweli
wowote na nitatolea mifano
kadhaa.
MFANO wa 1.Rais mstaafu
Jakaya Mrisho Kikwete alimfuta
kazi Sospeter Muhongo ambaye
ni profesa mwenye elimu
kubwa kuliko mwakyembe na
badala yake akamuweka George
Simbachawene mwenye elimu
ndogo kuliko
mwakyembe.kikwete hapa
hakuangalia elimu bali aliangalia
uzoefu,nidhamu na uwajibikaji.
MFANO.wa 2..Rais mtaafu
kikwete alimufuta kazi Ana
Tibaijuka ambaye ni profesa
elimu kubwa kuliko ya
mwakyembe na badala yake
akamuweka william lukuvi
mwenye elimu ya chini kuliko
mwakyembe.
MFANO WA 3..Rais wa sasa John
Magufuli alimteuwa kassimu
majaliwa kuwa waziri mkuu na
kumuacha harrison
mwakyembe mwenye elimu ya
juu kuliko majaliwa ,,,Kitu
alichozingatia rais magufuli ni
uwezo wa mtu,uwajibikaji na
uzoefu.
Kama mheshimiwa mwakyembe
anaona ni makosa kukosolewa
na kusahihishwa na mtu
ambaye elimu yake iko chini
kuliko yake basi anapaswa
kupinga waziri mkuu
mheshimiwa majaliwa ambaye
ni boss wake asimsimamie wala
kumkosoa ikiwezekana ajiuzuru
kulinda PHD yake.
Nilichogundua katika utafiti
wangu nimegundua PHD ya
mwakyembe haina utofauti na
PHD ya Dk Rutengwe aliyekuwa
mkuu wa mkoa wa morogoro
na alivyofutwa kazi na
mheshimiwa rais magufuli
dr.Rutwenge alisema hana pa
kwenda pamoja na kwamba
ana elimu ya PHD.
Dk Rutengwe alipofutwa kazi
alilia na kuomba msamaha kwa
rais magufuli kuwa hana kwa
kwenda na atakufa njaa kwa
kuwa amefutwa kazi pamoja na
kwamba Dk Rutengwe ni
msomi wa shahada ya uzamili
yani PHD kama mwakyembe
lakini aliona hana kwa kwenda
wakati huo vyuo na mataasisi
kibao yanatafuta wafanyakazi
wenye elimu kama yake
Kama mheshimiwa mwakyembe
ameshindwa kutatua kero ya za
barabara za muda mrefu
jimboni kwake kyera ususani
kyela mjini,ipinda,matena n.k
kwa zaidi ya miaka 11
aliyoongoza kwa nini PHD yake
isiwe sawa na ya Dk Rutengwe?
Je kati ya joseph mbilinyi na
mwakyembe yupi ni mzigo
jimboni kwake?Yupi ni mbunge
hewa jimboni kwake?Je
unaweza kufananisha utendaji
wa kazi wa mwakyembe
jimboni kwake kyela na utendaji
wa joseph mbilinyi (sugu)
jimboni kwake mbeya mjini?
Mwambieni mwakyembe watu
wenye PHD huwa sio
wakurupukaji na waropokaji
kama yeye mara nyingi watu wa
PHD ni watu wa kutafakari na
kutafiti kabla ya kutoa hoja bila
shaka PHD ya mwakyembe
itakuwa ya uganga wa kienyeji.
 
Siku chache zilizopita waziri wa
sheria na katiba Dr. Harrison
Mwakyembe alisema ni makosa
msanii wa mbeya (sugu)
ambaye hakumaliza shule
kumtilia shaka au kumkosoa
mtu mwenye elimu ya juu ya
PHD.
Kauli hii ya mwakyembe
imenifanya kutafakari,kufanya
reseach na kutafiti kwa kina
kama ni kweli mtu wa elimu ya
chni hawezi kumkosoa,kumtilia
shaka au kumsahihisha mtu
mwenye elimu ya juu.
Kauli ya mheshimiwa
mwakyembe ilijaa dharau na
kebehi zidi ya mbunge
mwenzake mheshimiwa Joseph
Mbilinyi.Mheshimiwa
mwakyembe alimaanisha kana
kwamba ukiwa na PHD basi
unajua kila kitu na huwezi
kukosolewa ama kutiliwa shaka
na mtu mwenye elimu ya chini
kitu ambacho hakina ukweli
wowote na nitatolea mifano
kadhaa.
MFANO wa 1.Rais mstaafu
Jakaya Mrisho Kikwete alimfuta
kazi Sospeter Muhongo ambaye
ni profesa mwenye elimu
kubwa kuliko mwakyembe na
badala yake akamuweka George
Simbachawene mwenye elimu
ndogo kuliko
mwakyembe.kikwete hapa
hakuangalia elimu bali aliangalia
uzoefu,nidhamu na uwajibikaji.
MFANO.wa 2..Rais mtaafu
kikwete alimufuta kazi Ana
Tibaijuka ambaye ni profesa
elimu kubwa kuliko ya
mwakyembe na badala yake
akamuweka william lukuvi
mwenye elimu ya chini kuliko
mwakyembe.
MFANO WA 3..Rais wa sasa John
Magufuli alimteuwa kassimu
majaliwa kuwa waziri mkuu na
kumuacha harrison
mwakyembe mwenye elimu ya
juu kuliko majaliwa ,,,Kitu
alichozingatia rais magufuli ni
uwezo wa mtu,uwajibikaji na
uzoefu.
Kama mheshimiwa mwakyembe
anaona ni makosa kukosolewa
na kusahihishwa na mtu
ambaye elimu yake iko chini
kuliko yake basi anapaswa
kupinga waziri mkuu
mheshimiwa majaliwa ambaye
ni boss wake asimsimamie wala
kumkosoa ikiwezekana ajiuzuru
kulinda PHD yake.
Nilichogundua katika utafiti
wangu nimegundua PHD ya
mwakyembe haina utofauti na
PHD ya Dk Rutengwe aliyekuwa
mkuu wa mkoa wa morogoro
na alivyofutwa kazi na
mheshimiwa rais magufuli
dr.Rutwenge alisema hana pa
kwenda pamoja na kwamba
ana elimu ya PHD.
Dk Rutengwe alipofutwa kazi
alilia na kuomba msamaha kwa
rais magufuli kuwa hana kwa
kwenda na atakufa njaa kwa
kuwa amefutwa kazi pamoja na
kwamba Dk Rutengwe ni
msomi wa shahada ya uzamili
yani PHD kama mwakyembe
lakini aliona hana kwa kwenda
wakati huo vyuo na mataasisi
kibao yanatafuta wafanyakazi
wenye elimu kama yake
Kama mheshimiwa mwakyembe
ameshindwa kutatua kero ya za
barabara za muda mrefu
jimboni kwake kyera ususani
kyela mjini,ipinda,matena n.k
kwa zaidi ya miaka 11
aliyoongoza kwa nini PHD yake
isiwe sawa na ya Dk Rutengwe?
Je kati ya joseph mbilinyi na
mwakyembe yupi ni mzigo
jimboni kwake?Yupi ni mbunge
hewa jimboni kwake?Je
unaweza kufananisha utendaji
wa kazi wa mwakyembe
jimboni kwake kyela na utendaji
wa joseph mbilinyi (sugu)
jimboni kwake mbeya mjini?
Mwambieni mwakyembe watu
wenye PHD huwa sio
wakurupukaji na waropokaji
kama yeye mara nyingi watu wa
PHD ni watu wa kutafakari na
kutafiti kabla ya kutoa hoja bila
shaka PHD ya mwakyembe
itakuwa ya uganga wa kienyeji.
Mwakyembe ana PHD hewa kama wafanyakazi hewa, kichwani mwake ana Elimu ya darasa la nne yaana anazidiwa na profesa maji marefu, vyeti vyake vingi ni vya kugushi gushi tu hata utendaji wake wa kazi hutegemea sana wasaidizi wake yaani katibu mkuu na wengineo.
 
Kila mtu mtu anayejiita Msomi hapa Tanganyika huwa na siri yake moyoni jinsi alivyojisomea mpaka kumiliki vyeti, 70%!ya wanaojiita wasomi huwa si wasomi halisi wengi wamesoma kijanja janja, kuiba mitihani, kupiga chabo, kununua majawabu, rushwa ya ngono na Mbinu mbalimbali za kuhakikisha kuwa wamemiliki vyeti bila kuzingatia kama wamepata Taaluma kichwani, Wasomi magumashi hujitahidi kusoma English kwa bidii kubwa ili wafiche mapungufu huwa wanaamini kuwa wakijua Kingereza wataaminika ni Wasomi wa Ukweli kutokana na baadhi ya Watanzania kuamini mtu anayejua English ni msomi wakati wazaliwa wa London wote wanajua English japo wapo ambao hawakwenda shule kabsa. Taaluma ipo kwa Lugha nyingi, kifaransa, kichina, kijerumani, Ki-Spain nk wapo Wasomi olijino wa China nk ni naprofesa lakini hawajui Kingereza hata Rais wa China alikuja TZ kuweka sahihi mikataba 17 hakuongea English. Kwa kweli PHD ya Mwakymbe ni Feki kama mabehewa feki aliyonunua.
 
Kuna watu wanadhani kila darasa analoongeza, BASI ANAMKARIBIA MUNGU KWA AKILI NA MAARIFA..
Hao hao huwa wanaamini katika ubinadamu kwamba hakuna mkamilofu... kwa maelezo ya Mwakyembe ni kwamba anayeweza kuona makosa ya mwenye PHD basi lazima awe mwenye PHD au zaidi kama ipo..

Hii dhani imeharibu wengi kwa kukosa inputs zavwaliokwenda shule...

Hivi, mwenye PHD ya specialisation fulani anajuwa ya specialisation nuingine..??
 
Mmmh kweli mmekasirika,akiona huko atapata mawazo
 
KAKA NENDA SHULE TU...HUWEZI KU-IGNORE UMUHIMU WA ELIMU/WASOMI KTK JAMII...

WENYE ELIMU ZA HAPA NA PALE HAWAWEZI KUTUVUSHA NA HILO TUMELIONA HATA NDANI YA CHADEMA BAADA YA WATU WENYE ELIMU YA HAPA NA PALE KUBADILISHA GIA ANGANI NA CHAMA KUSHINDWA URAIS...
 
Hiyo PHD yake ameisadia nini Tanzania?? kwa kutumia hiyo PHD yake amefanya nini kuibadirisha kyela na mbeya au analingia tu hayo makaratasi.
PHD sio tatizo, tatizo ni uhusiano wa PHD na yaliyo kichwani yanauwiano? Kuna PHD aina mbili duniani 1. PHD uliyoipata baada ya kazi rahisi ya kukariri toka shule ya msingi mpaka PHD.
2. PHD uliyoipata baada ya kuelewa toka msingi mpaka PHD.
Ukiona una PHD halafu hakuna mahali ambapo PHD yako inaisaidia jamii ujuwe wewe umekariri tu na PHD yako inaweza kufanya kazi tanzania tu tena kwa kuwa mwanasiasa.
 
Siku chache zilizopita waziri wa
sheria na katiba Dr. Harrison
Mwakyembe alisema ni makosa
msanii wa mbeya (sugu)
ambaye hakumaliza shule
kumtilia shaka au kumkosoa
mtu mwenye elimu ya juu ya
PHD.
Kauli hii ya mwakyembe
imenifanya kutafakari,kufanya
reseach na kutafiti kwa kina
kama ni kweli mtu wa elimu ya
chni hawezi kumkosoa,kumtilia
shaka au kumsahihisha mtu
mwenye elimu ya juu.
Kauli ya mheshimiwa
mwakyembe ilijaa dharau na
kebehi zidi ya mbunge
mwenzake mheshimiwa Joseph
Mbilinyi.Mheshimiwa
mwakyembe alimaanisha kana
kwamba ukiwa na PHD basi
unajua kila kitu na huwezi
kukosolewa ama kutiliwa shaka
na mtu mwenye elimu ya chini
kitu ambacho hakina ukweli
wowote na nitatolea mifano
kadhaa.
MFANO wa 1.Rais mstaafu
Jakaya Mrisho Kikwete alimfuta
kazi Sospeter Muhongo ambaye
ni profesa mwenye elimu
kubwa kuliko mwakyembe na
badala yake akamuweka George
Simbachawene mwenye elimu
ndogo kuliko
mwakyembe.kikwete hapa
hakuangalia elimu bali aliangalia
uzoefu,nidhamu na uwajibikaji.
MFANO.wa 2..Rais mtaafu
kikwete alimufuta kazi Ana
Tibaijuka ambaye ni profesa
elimu kubwa kuliko ya
mwakyembe na badala yake
akamuweka william lukuvi
mwenye elimu ya chini kuliko
mwakyembe.
MFANO WA 3..Rais wa sasa John
Magufuli alimteuwa kassimu
majaliwa kuwa waziri mkuu na
kumuacha harrison
mwakyembe mwenye elimu ya
juu kuliko majaliwa ,,,Kitu
alichozingatia rais magufuli ni
uwezo wa mtu,uwajibikaji na
uzoefu.
Kama mheshimiwa mwakyembe
anaona ni makosa kukosolewa
na kusahihishwa na mtu
ambaye elimu yake iko chini
kuliko yake basi anapaswa
kupinga waziri mkuu
mheshimiwa majaliwa ambaye
ni boss wake asimsimamie wala
kumkosoa ikiwezekana ajiuzuru
kulinda PHD yake.
Nilichogundua katika utafiti
wangu nimegundua PHD ya
mwakyembe haina utofauti na
PHD ya Dk Rutengwe aliyekuwa
mkuu wa mkoa wa morogoro
na alivyofutwa kazi na
mheshimiwa rais magufuli
dr.Rutwenge alisema hana pa
kwenda pamoja na kwamba
ana elimu ya PHD.
Dk Rutengwe alipofutwa kazi
alilia na kuomba msamaha kwa
rais magufuli kuwa hana kwa
kwenda na atakufa njaa kwa
kuwa amefutwa kazi pamoja na
kwamba Dk Rutengwe ni
msomi wa shahada ya uzamili
yani PHD kama mwakyembe
lakini aliona hana kwa kwenda
wakati huo vyuo na mataasisi
kibao yanatafuta wafanyakazi
wenye elimu kama yake
Kama mheshimiwa mwakyembe
ameshindwa kutatua kero ya za
barabara za muda mrefu
jimboni kwake kyera ususani
kyela mjini,ipinda,matena n.k
kwa zaidi ya miaka 11
aliyoongoza kwa nini PHD yake
isiwe sawa na ya Dk Rutengwe?
Je kati ya joseph mbilinyi na
mwakyembe yupi ni mzigo
jimboni kwake?Yupi ni mbunge
hewa jimboni kwake?Je
unaweza kufananisha utendaji
wa kazi wa mwakyembe
jimboni kwake kyela na utendaji
wa joseph mbilinyi (sugu)
jimboni kwake mbeya mjini?
Mwambieni mwakyembe watu
wenye PHD huwa sio
wakurupukaji na waropokaji
kama yeye mara nyingi watu wa
PHD ni watu wa kutafakari na
kutafiti kabla ya kutoa hoja bila
shaka PHD ya mwakyembe
itakuwa ya uganga wa kienyeji.

Kua mbunge Kuongoza jiji la mbeya ni sawa na cheo cha mkuu wa mkoa mby. Na kua mbunge wilaya ya kyela ni sawa na kua mkuu wa wilaya ya kyela. Ndo ajue udk apeleke kufundisha wanafunzi sio uku site.
 
Kumbe kwa vile serikali imejazwa maprofesa na madokta ndio maana hawataki kukosolewa,ni imani mbaya sana!
 
Mwakyembe aache dharau, kwanza sijaona mchango wowote wa hao wajiitao wasomi wa PhD hasa walioko bungeni, wamekuwa wanafiki wakubwa pale maslahi ya nchi yanapochezewa kwa maslahi ya kisiasa ya mabwana wakubwa wao
 
CCM HAKUNA WASOMI KUNGEKUWA NA WASOMI BASI NCHI YETU INGEKUWA MBALI SANA
 
Elimu za bongo kutwa kujisifia huku mkishindwa kutatua hata kero ndogo za wananchi wewe Mwakyembe na PHD yako umefainyia nini jamii....
 
KAKA NENDA SHULE TU...HUWEZI KU-IGNORE UMUHIMU WA ELIMU/WASOMI KTK JAMII...

WENYE ELIMU ZA HAPA NA PALE HAWAWEZI KUTUVUSHA NA HILO TUMELIONA HATA NDANI YA CHADEMA BAADA YA WATU WENYE ELIMU YA HAPA NA PALE KUBADILISHA GIA ANGANI NA CHAMA KUSHINDWA URAIS...
Nilianza tufikiri unahoja, kumbe udongo
 
KAKA NENDA SHULE TU...HUWEZI KU-IGNORE UMUHIMU WA ELIMU/WASOMI KTK JAMII...

WENYE ELIMU ZA HAPA NA PALE HAWAWEZI KUTUVUSHA NA HILO TUMELIONA HATA NDANI YA CHADEMA BAADA YA WATU WENYE ELIMU YA HAPA NA PALE KUBADILISHA GIA ANGANI NA CHAMA KUSHINDWA URAIS...
Lusinde je
 
Elimu na maendeleo ni sawa na Pete na Kidole.

Sisi tunashikilia siasa zaidi ya ukweli. Huwa nashangaa sana mtu ameegesha kadigrii tena ka vodafasta kama tunavyoona sasa anasimama na kukenua meno kujifanya anajua.

Dunia inasisitiza elimu si kukosa elimu.

Alikuwa sahihi kabisa.
 
Mbona nape na kinana wanamwita profesa magembe ni waziri mzigo sisi hatujasema kitu
 
Alikuwa PHD holder akiwa mkufunzi chuoni, ila kama aliona ukufunzi haumlipi na kuamua kuingia kwenye siasa inayolipa basi atambue CV yake aliifungia kwenye makabrasha yake na kwamba siasa haihitaji PHD na hakuna ushahidi wa nchi zilizowahi kuongozwa na Maprofesa kuwa exceptional katika masuala ya kiuchumi,kijamii, na kidiplomasia...Kwa hiyo hapa Mwakyembe alikengeuka tu!
 
Naomba kutofautiana na wewe mkuu, Mwakyembe hana Ph.D kama unavyomnadi hapa.
Mwakyembe alishajuvua Ph.D yake kipindi cha bunge la katiba pale alipolikana andiko lake lililompatia hiyo Ph.D.
 
Back
Top Bottom