Mwakyembe: ATCL Kununua Ndege Mbili Mpya!

Mwakyembe: ATCL Kununua Ndege Mbili Mpya!

Habari yako mkuu Jmali,nikirudi kwenye mada mkuu mimi nadhani sisi nchi yetu ni more corrupt kuliko hao Rwanda japo ni nchi ndogo.Kingine kiashiria kiioneshacho hawo wenzetu kuwa wapo chini yetu, angalia commitment za viongozi wao kuelekea kwenye rushwa tuweke suala la mambo ya tenda pembeni tuangalie na aina nyingine za rushwa.

Africa hakuna Nchi corrupt kama TZ! Zamani walikuepo kina Mobutu, ila kwa record za Mobutu hakuwai kuiba kama viongozi wetu, anaebisha na abishe!!
 
Acha upumbavu wewe!!!!! Hatuzungumzii taratibu za kutumia jina gani hapa JF ambazo mie sijazivunja tunazungumzia unafiki wa watendaji wa Serikali ambao wanapewa 25% ya bajeti zao na kukaa kimya mpaka wanapowekwa kwenye kiti moto ndio husema sababu za kushindwa kutimiza malengo ya Wizara zao. Kama huna jipya la kuhusiana na mjadala huu basi kaa kimya badala ya kutaka kubadili mwelekeo wa uzi huu.

Watu kama wewe ndio mnaharibu mtiririko wa majadiiano hapa kwa kuleta ajenda zenu binafsi. Kamwambie huyo Waziri mpya wa habari apige marufuku wanachama wote wa JF kutumia ID zenye majina ambayo si ya kweli. Kwa hii ID nitumiayo sasa sijafanya unafiki wa aina yoyote ile.

brother naona unazunguka pale pale tu, ili mradi tu bado unatumia ID isiyo halisi, hujaukwepa unafiki. Kutokuwa mnafiki ungekosoa au kuleta comments zako kwa jina lako halisi. Vinginevyo huna moral authority kuwanyooshea vidole watu wengine ukiwatuhumu kwa unafiki.

Note: Haikuwa na ulazima wa kuanza kuniambia "Acha upumbavu" in bold. Huhitaji kutumia energy/calories nyingi kiasi hicho kwa suala la mjadala.
 
Nyie buku 7 ndiyo zenu hizo. Hamna uwezo wa kujenga hoja hivyo mnalipwa kuja kuvuruga mijadala muhimu dhidi ya hii Serikali dhalimu. Kuweka maandishi ya bold huhitaji kutumia calories zozote zile labda hii iko kwako wewe. Narudia tena hili la wanachama 99.9% kutumia ID ambazo si za kweli naona linakuumiza sana roho na kukukosesha usingizi.

Nenda kamwambie Waziri wa habari ambaye anaijua sana JF maana mpaka Bungeni ameshawahi kuitaja kwamba apige marufuku wanachama wote kutumia ID ambazo si za kweli. Hapo utasuuzika roho yako na kuanza kupata tena usingizi. Ndio nasema ni upumbavu kwani mara nyingi wewe ni mmoja wa wale ambao hawana hoja zaidi ya kutaka kuvuruga mijadala dhidi ya Serikali hii dhalimu.

Usisahau kupita Lumumba kesho saa tatu asubuhi kuchukua bakshishi yako ya jitihada zako za kuvuruga mwelekeo wa mjadala. Sina ubrother wa aina yoyote ule na wale wote ambo ni watetezi wa Serikali dhalimu.

brother naona unazunguka pale pale tu, ili mradi tu bado unatumia ID isiyo halisi, hujaukwepa unafiki. Kutokuwa mnafiki ungekosoa au kuleta comments zako kwa jina lako halisi. Vinginevyo huna moral authority kuwanyooshea vidole watu wengine ukiwatuhumu kwa unafiki.

Note: Haikuwa na ulazima wa kuanza kuniambia "Acha upumbavu" in bold. Huhitaji kutumia energy/calories nyingi kiasi hicho kwa suala la mjadala.
 
Ugonjwa mkubwa wa serikali hii ni pale inapo jidanganya kuwa haiumwi wakati tunaiona inatembelea magongo. Wananchi hatuhitaji miradi hewa.. tunahitaji kuona tunatoka pale tulipo tunaenda mbele... hata kama ni hatua ndogo..

Swala Air Tanzania ni la kihuni kabisa, kwani hata wakisema raia tuchangishane tuiendeshe naamini baada ya muda mfupi anga litatutambua pia.

Sijaona waziri mwenye macho yanayo ona mbali zaidi ya kufanya mambo kwa woga na hofu.., Tunatakiwa tupate plan ya miaka kumi ijayo, na kila mwaka tujue tunafanya kitu gani...
 
Nyie buku 7 ndiyo zenu hizo. Hamna uwezo wa kujenga hoja hivyo mnalipwa kuja kuvuruga mijadala muhimu dhidi ya hii Serikali dhalimu. Kuweka maandishi ya bold huhitaji kutumia calories zozote zile labda hii iko kwako wewe. Narudia tena hili la wanachama 99.9% kutumia ID ambazo si za kweli naona linakuumiza sana roho na kukukosesha usingizi.

Nenda kamwambie Waziri wa habari ambaye anaijua sana JF maana mpaka Bungeni ameshawahi kuitaja kwamba apige marufuku wanachama wote kutumia ID ambazo si za kweli. Hapo utasuuzika roho yako na kuanza kupata tena usingizi. Ndio nasema ni upumbavu kwani mara nyingi wewe ni mmoja wa wale ambao hawana hoja zaidi ya kutaka kuvuruga mijadala dhidi ya Serikali hii dhalimu.

Usisahau kupita Lumumba kesho saa tatu asubuhi kuchukua bakshishi yako ya jitihada zako za kuvuruga mwelekeo wa mjadala. Sina ubrother wa aina yoyote ule na wale wote ambo ni watetezi wa Serikali dhalimu.


brother usipanic, ni mjadala tu. Hujajibu hoja ya msingi, kama bado unaendelea kutumia fake ID kuwashambulia wengine kuwa ni wanafiki, basi fikiria tena upya dhana ya unafiki. Kuhusu hao 99.9% nimekujibu huko juu. Issue ya Waziri wa Habari sio hoja yangu kwa sasa.
 
Hujitambui wewe mtetezi wa mafisadi. Hili la watu kutumia ID zenye majina ambayo si ya kweli naona linakutafuna sana na ndio maana mara nyingi tu hupenda kulizungumza ndio nikakwambia nenda kwa Mkamia ukamwambie asiruhusu wanachama hapa watumie majina bandia, halafu unaruka futi 10,000!!!! JF imeruhusu wanachama wake kutumia hizi ID na Serikali inalijua hili kwa miaka mingi sasa na haijatia neno wewe kama nani hadi uje kuhoji watu kutumia ID ambazo wamiliki wameziruhusu?

Ndio ni unafiki tena mkubwa sana pale Waziri anakaa kimya bila kutia neno huku Wizara yake ikiwa imepewa 20% ya bajeti waliyoomba. Kisha kujitetea pale ambapo miradi mbali mbali ya maendeleo inakwama. Kwanini Waziri kama huyu badala ya kusubiri kuwekwa kiti moto, asiwaite Wabunge au kwenda kwenye media kuelezea matatizo yaliyoisibu Wizara yake ya kushindwa kutimiza miradi mbali mbali ya maendeleo.

Kajifunze upya maana ya neno unafiki badala ya kukurupuka. Mpaka hapo taratibu za JF zitakapobadilishwa na kutoruhusu kutumia ID za majina bandia, 99.9% hawajafanya unafiki wa aina yoyote ile.


brother usipanic, ni mjadala tu. Hujajibu hoja ya msingi, kama bado unaendelea kutumia fake ID kuwashambulia wengine kuwa ni wanafiki, basi fikiria tena upya dhana ya unafiki. Kuhusu hao 99.9% nimekujibu huko juu. Issue ya Waziri wa Habari sio hoja yangu kwa sasa.
 
Ndugu zangu tuwe wakweli daima wala tusiwe na mtazamu hasi wakati wote. Kama ulimsikiliza vizuri Dr. Mwakwembe kila mradi alioutaja ambao upo katika utekelezaji alionyesha timeframe yake. Pia, miradi mingi ya kufufua engine za treni na mabehewa imefanyika jambo ambalo halikuwepo kabla yake. Sasa kwa nini tusiwe na imani naye wakati anawasilisha mipango ya baadaye. Je, awali ulishasikia hata mazungumzo ya shirika la ndege lenyewe, si lilikufa kabisa. Msiwe wapinzani wenye mawazo hasi kwa kila jambo, na huo sasa siyo upinzani bali ni kasoro za fikra zenu mlizonazo.
 
Mwaka huu wa kuelekea uchaguzi mwakani tutashuhudia kauli nyingi sana. Zote hizo ni kampeni ya kupata kura tu
Tutasikia mengi sana maana na leo nimesikia mkuu wa wilaya ya Misenyi amesema umeme utafika wilaya nzima kasoro vijiji vitatu katika wilaya nzima
 
Ndugu zangu tuwe wakweli daima wala tusiwe na mtazamu hasi wakati wote. Kama ulimsikiliza vizuri Dr. Mwakwembe kila mradi alioutaja ambao upo katika utekelezaji alionyesha timeframe yake. Pia, miradi mingi ya kufufua engine za treni na mabehewa imefanyika jambo ambalo halikuwepo kabla yake. Sasa kwa nini tusiwe na imani naye wakati anawasilisha mipango ya baadaye. Je, awali ulishasikia hata mazungumzo ya shirika la ndege lenyewe, si lilikufa kabisa. Msiwe wapinzani wenye mawazo hasi kwa kila jambo, na huo sasa siyo upinzani bali ni kasoro za fikra zenu mlizonazo.
Unafikiri ni upinzani mkuu, siku zote katika maisha kama siku za nyuma hukujenga trust kwa watu hata siku ikitokea una mpango wa kufanya kitu cha maana watu wanaguna hivyo hata hao wanaopinga ni sehemu ya kusaidia kitu kitokee maana kitakachofanyika ni kuhakikisha watu waamini. Ni sawa na biashara kama ulipoteza wateja siku za nyuma kuwarudisha unahitaji kuja mpango mkakati mpya
 
Hivi kabla ya mwaka kwisha huwezi kuibana wizara ya fedha kama kasma yako haijafika na mwaka unaisha?

Tatizo ni kwamba hilo zoezi la bajeti kupitishwa na bunge kila mwaka limekuwa ni kwa mazoea tu lakini halina maana yeyote kwani wizara hazipatiwi fedha jinsi zinavyopitishwa na bunge na mhalifu mkuu wa kutibua bajeti za hizi wizara is none other than mkwereee kwani yeye hana nidhamu ya matumizi ya fedha ; ana panga safari mara miguu yake inapowasha na hazina hawana ubavu wa kumkatalia hivyo hukomba fedha za wizara nyingine na kumpatia ili atimize Uvasco Dagama wake!!!
 
Nilizima tv baada ya kuanza hizi story

Mi niliendelea kidogo, swali likaulizwa mbona kwenye orodha ya matumizi ya wizara hizo ndege mbili hazipo? Sijui kama alijibu maana na mimi niliamua kuondoka nikatibie watanzania wenzangu leo shift ya mchana.
 
Tatizo ni kwamba hilo zoezi la bajeti kupitishwa na bunge kila mwaka limekuwa ni kwa mazoea tu lakini halina maana yeyote kwani wizara hazipatiwi fedha jinsi zinavyopitishwa na bunge na mhalifu mkuu wa kutibua bajeti za hizi wizara is none other than mkwereee kwani yeye hana nidhamu ya matumizi ya fedha ; ana panga safari mara miguu yake inapowasha na hazina hawana ubavu wa kumkatalia hivyo hukomba fedha za wizara nyingine na kumpatia ili atimize Uvasco Dagama wake!!!
Observation ya MANI ni nzuri kweli ila tatizo watu wanapanga bajeti huku hawana uhakika watakusanya kitu gani yaani kama vile sie at household level tunavyopanga mipango yetu huku tukijua kipato chetu ni kidogo, siku hizi kinachofanyika ni kuridhisha wananchi huku ikibakia miezi mitano mwaka wa fedha kuisha wanaandaa changamoto fake za kuja kuelezea bunge la mwaka mwingine wa fedha
 
Last edited by a moderator:
Mi niliendelea kidogo, swali likaulizwa mbona kwenye orodha ya matumizi ya wizara hizo ndege mbili hazipo? Sijui kama alijibu maana na mimi niliamua kuondoka nikatibie watanzania wenzangu leo shift ya mchana.
Kwa kuwa king'amuzi chako kina record bila shaka baadae utakuja na majibu
 
Hakuna, mwakyembe anafanya kujionyesha ana fanya kazi... Plan yake ya muda mrefu ni ipi?


Isitoshe hayupo focused, ni walewale tu, hebu atuimbie chorus ya TAZARA ili tujue aliyokuwa anajitapa nayo yalikuwa ya dhati
 
Back
Top Bottom