Mwakyembe: ATCL Kununua Ndege Mbili Mpya!

355555555555555555555555555
9888888888888888888888888
099999999999999999999900
222222222222223546\
5666666666666
76666666
87888
878

87
8

.
 
Naamini wanaweza kununua,ila Bei ya kununulia ndege mbili kununa ndege moja.Kama ilivyofanyika kwa ndege ya Rais.
 
Mwaka huu wa kuelekea uchaguzi mwakani tutashuhudia kauli nyingi sana. Zote hizo ni kampeni ya kupata kura tu
 
weweee mkuuu

upuuzi wa ufisadi tanzania uwezi fananisha na rwanda hata siku moja

iheshimu

of course hatuwezi tukalinganisha nchi ndogo kuliko mkoa wa kilimanjaro na TANZANIA! wewe ndio unatakiwa kuweka heshima.
 
Aliyekuambia Rwanda hakuna ufisadi nani?

Rwanda corruption tenders

Habari yako mkuu Jmali,nikirudi kwenye mada mkuu mimi nadhani sisi nchi yetu ni more corrupt kuliko hao Rwanda japo ni nchi ndogo.Kingine kiashiria kiioneshacho hawo wenzetu kuwa wapo chini yetu, angalia commitment za viongozi wao kuelekea kwenye rushwa tuweke suala la mambo ya tenda pembeni tuangalie na aina nyingine za rushwa.
 
Habari yako mkuu Jmali,nikirudi kwenye mada mkuu mimi nadhani sisi nchi yetu ni more corrupt kuliko hao Rwanda japo ni nchi ndogo.Kingine kiashiria kiioneshacho hawo wenzetu kuwa wapo chini yetu, angalia commitment za viongozi wao kuelekea kwenye rushwa tuweke suala la mambo ya tenda pembeni tuangalie na aina nyingine za rushwa.

Ni kweli Bongo rushwa kubwa sana, lakini hiyo sio sababu ya kagame kutudharau, kagame dharau zake ni za kikabila, mbali na sisi pia kagame pia anadharau SA, France etc, hivyo haiwezi kutokana na rushwa kama mdau alivyo-imply.
 
Ni kweli Bongo rushwa kubwa sana, lakini hiyo sio sababu ya kagame kutudharau, kagame dharau zake ni za kikabila, mbali na sisi pia kagame pia anadharau SA, France etc, hivyo haiwezi kutokana na rushwa kama mdau alivyo-imply.

Hapo mkuu nimekuelewa maana mimi mwenyewe jamaa simkubali kutokana na propaganda zake za kikabila kwa kutumia mgongo wa Genocide.Asante kwa ufafanuzi.
 
Vipi hajazungumzia wizi unaoendelea bandarini?

Alitudanganya kuwa amekomesha wizi wa mizigo,na kukwapua vitu kwenye magari ya wateja.

Lakini hivi karibuni jamaa zangu watatu wote waliopitisha magari yao bandari ya Dar es Salaam ,wamekuta sreen imenyofolewa,mmoja wamekomba jeki,mwingine wameina spare tyre na kumuwekea ambayo imesha kwisha.

Tanzania tumeoza kila kona,acha kagame atudharau.

Poleni mkuu mm mwezi uliopita walinipiga vile vile.
Ahad kama kawa ila utekelezaji ndio kiini macho
 
Mkuu MANI sijui utaratibu wa kuwasilisha kasma ya kila Wizara husika ukoje, ila niliwahi kusikia kwamba kasma ya kila Wizara inatolewa kwa miezi sita sita. Kasma ya July to December inatolewa mwanzoni mwa July na ile ya January to June inatolewa mwanzoni mwa January. Kwa Waziri ambaye si mnafiki akiona kasma yake imechelewa hivyo kuanza kuathiri mipango yake mbali mbali ya maendeleo katika mwaka husika wa fedha, basi anatakiwa amkoromoe Waziri wa Fedha kwa nguvu zote, lakini kama tujuavyo hii Serikali wanavyolindana. Waziri anabaki kimya mpaka Wabunge waje juu kuhusu ahadi mbali mbali za maendeleo kwa kuogopa kumwanga unga kwa shinikizo la Wabunge kwa Mkuu wao wa kazi ndio wanatoboa siri kwamba kasma niliyoomba sikupewa yote bali nilipewa 25% tu ya kiasi tulichoomba kama Wizara.

Hivi kabla ya mwaka kwisha huwezi kuibana wizara ya fedha kama kasma yako haijafika na mwaka unaisha?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MANI sijui utaratibu wa kuwasilisha kasma ya kila Wizara husika ukoje, ila niliwahi kusikia kwamba kasma ya kila Wizara inatolewa kwa miezi sita sita. Kasma ya July to December inatolewa mwanzoni mwa July na ile ya January to June inatolewa mwanzoni mwa January. Kwa Waziri ambaye si mnafiki akiona kasma yake imechelewa hivyo kuanza kuathiri mipango yake mbali mbali ya maendeleo katika mwaka husika wa fedha, basi anatakiwa amkoromoe Waziri wa Fedha kwa nguvu zote, lakini kama tujuavyo hii Serikali wanavyolindana. Waziri anabaki kimya mpaka Wabunge waje juu kuhusu ahadi mbali mbali za maendeleo kwa kuogopa kumwanga unga kwa shinikizo la Wabunge kwa Mkuu wao wa kazi ndio wanatoboa siri kwamba kasma niliyoomba sikupewa yote bali nilipewa 25% tu ya kiasi tulichoomba kama Wizara.

Kwa hiyo unafiki ndio kikwazo au woga.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Vipi hajazungumzia wizi unaoendelea bandarini?

Alitudanganya kuwa amekomesha wizi wa mizigo,na kukwapua vitu kwenye magari ya wateja.

Lakini hivi karibuni jamaa zangu watatu wote waliopitisha magari yao bandari ya Dar es Salaam ,wamekuta sreen imenyofolewa,mmoja wamekomba jeki,mwingine wameina spare tyre na kumuwekea ambayo imesha kwisha.

Tanzania tumeoza kila kona,acha kagame atudharau.

Sasa kama nyie wenyewe hamtaki kuacha wizi na udokozi yeye afanye nini?
 
Unafiki wa kuanzia kwa Rais na Baraza lake lote la Mawaziri.

unafiki ni nature ya watz wote, manake wewe pia usingekuwa mnafiki ungeweka jina lako halisi na kutoa maoni yako bila kujificha nyuma ya hiyo ID.
 
Hahahahahaha lol!!!! Huna jipya weye!!!! Hapa 99.9% ya wanachama hawatumii majina yao na wamiliki wa JF wameruhusu hilo sasa sioni unafiki wangu kwa kufuata taratibu zilizowekwa na wamiliki wa jamvi hili. Uwe unafikiri kwa kina kabla ya kuandika pumba.

unafiki ni nature ya watz wote, manake wewe pia usingekuwa mnafiki ungeweka jina lako halisi na kutoa maoni yako bila kujificha nyuma ya hiyo ID.
 
Hahahahahaha lol!!!! Huna jipya weye!!!! Hapa 99.9% ya wanachama hawatumii majina yao na wamiliki wa JF wameruhusu hilo sasa sioni unafiki wangu kwa kufuata taratibu zilizowekwa na wamiliki wa jamvi hili. Uwe unafikiri kwa kina kabla ya kuandika pumba.

sheria zinaruhusu kutumia ID tofauti, hilo halina ubishi. Pia sheria/kanuni za JF hazizuii member kutumia jina lake halisi, hilo pia halina ubishi. Kama wewe sio mnafiki, na hii ndio point/hoja yangu, tumia jina lako halisi. Usiwatuhumu wengine kwa unafiki ilhali wewe mwenyewe tu umeficha jina. The same applies kwa hao 99.9% ya wanachama.
 
Acha upumbavu wewe!!!!! Hatuzungumzii taratibu za kutumia jina gani hapa JF ambazo mie sijazivunja tunazungumzia unafiki wa watendaji wa Serikali ambao wanapewa 25% ya bajeti zao na kukaa kimya mpaka wanapowekwa kwenye kiti moto ndio husema sababu za kushindwa kutimiza malengo ya Wizara zao. Kama huna jipya la kuhusiana na mjadala huu basi kaa kimya badala ya kutaka kubadili mwelekeo wa uzi huu.

Watu kama wewe ndio mnaharibu mtiririko wa majadiiano hapa kwa kuleta ajenda zenu binafsi. Kamwambie huyo Waziri mpya wa habari apige marufuku wanachama wote wa JF kutumia ID zenye majina ambayo si ya kweli. Kwa hii ID nitumiayo sasa sijafanya unafiki wa aina yoyote ile.

sheria zinaruhusu kutumia ID tofauti, hilo halina ubishi. Pia sheria/kanuni za JF hazizuii member kutumia jina lake halisi, hilo pia halina ubishi. Kama wewe sio mnafiki, na hii ndio point/hoja yangu, tumia jina lako halisi. Usiwatuhumu wengine kwa unafiki ilhali wewe mwenyewe tu umeficha jina. The same applies kwa hao 99.9% ya wanachama.
 
Back
Top Bottom