figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
mwakyembe anawashukuru wote mlio muombea. kapata nafuu kubwa na anasema ataendelea na kasi ileile. kwamba matatizo yake yamesababishwa na mafisadi.source itv. Mia
I expected a more detailed statement than that, and may be press release coz we were shocked and touched by his sickness.
mwakyembe anawashukuru wote mlio muombea. kapata nafuu kubwa na anasema ataendelea na kasi ileile. kwamba matatizo yake yamesababishwa na mafisadi.source itv. Mia
Eti ataendelea na kasi ile ile!!! Ana uhakika gani kama JK atamuacha aendelee na uwaziri kwenye mabadiliko ya mwezi huu?
Eti ataendelea na kasi ile ile!!! Ana uhakika gani kama JK atamuacha aendelee na uwaziri kwenye mabadiliko ya mwezi huu?
alikuwa na kasi hata kabla ya kuwa waziri. na uwaziri ameupata kutokana na kasi yake. Hata kama kikwete hataona umuhimu wake lakini sisi wananchi ataendelea kuwa moyoni mwetu. Mia
kwani wewe upeo wako wa kuelewa mambo umekuwezesha kuelewa ataendelea na kasi ile ile kwenye angle gani mpaka umuhusishe jk?uwaziri ama ubunge?mi nadhani kasi yake anayoizungumzia ni ile aliyoionyesha kwenye ubunge mpaka mzee mzima akapima na kuona ni busara kwake kuachia ngazi!Eti ataendelea na kasi ile ile!!! Ana uhakika gani kama JK atamuacha aendelee na uwaziri kwenye mabadiliko ya mwezi huu?
Eti ataendelea na kasi ile ile!!! Ana uhakika gani kama JK atamuacha aendelee na uwaziri kwenye mabadiliko ya mwezi huu?
kwani wewe upeo wako wa kuelewa mambo umekuwezesha kuelewa ataendelea na kasi ile ile kwenye angle gani mpaka umuhusishe jk?uwaziri ama ubunge?mi nadhani kasi yake anayoizungumzia ni ile aliyoionyesha kwenye ubunge mpaka mzee mzima akapima na kuona ni busara kwake kuachia ngazi!
Hamna kitu hapo; Mwakyembe, Lowassa na Sita ndio waliolea sana ufisadi. Wanatakiwa hata kuchomwa moto. Hawa ndio walioficha ufisadi eti wanakipigania ccm, ujinga gani huu wanawezaje kuwa na uchungu na chama badala ya taifa?ndio maana wenzio wanakwambia unakurupuka. Hivi kupigana vita vya ufisadi ni mpk uwe waziri?
Hamna kitu hapo; Mwakyembe, Lowassa na Sita ndio waliolea sana ufisadi. Wanatakiwa hata kuchomwa moto. Hawa ndio walioficha ufisadi eti wanakipigania ccm, ujinga gani huu wanawezaje kuwa na uchungu na chama badala ya taifa?
ndio maana wenzio wanakwambia unakurupuka. Hivi kupigana vita vya ufisadi ni mpk uwe waziri?
mwakyembe anawashukuru wote mlio muombea. kapata nafuu kubwa na anasema ataendelea na kasi ileile. kwamba matatizo yake yamesababishwa na mafisadi.source itv. Mia