UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,733
Tunamshukuru Mungu kwamba amepata nafuu na kurudi nyumbani. Tunamwombea aendelee kupona na kuungana nasi katika mapambano ya kulikomboa taifa letu toka mikononi mwa mafisadi, ambao ni chama chake - ccm!