Ambacho sikubaliani na wengi kuhusu Dr. Mwakyembe ni kuhusu ugonjwa wake. Kwanini watu hawakiri maradhi waliyo nayo na wanatafuta sympathy ya wananchi kwa kusema mara kalogwa, mara kategeshewa ajali, mara kawekewa sumu na mafisadi....kwa lipi? Karne ya 21 bado watu wanaamini kwenye tunguli! Watu na maradhi yao lkn wanaficha nyuma ya pazia la mkono wa mtu! Type ya viongozi kama akina Mwakyembe, Sitta, Membe, Nape ambao ni Ma-opportunists siwafagilii sana. Wana udhaifu mkubwa nyuma ya pazia! Ila Kama binadamu nimefurahi afya yake imeimarika na namuombea maisha marefu ili asahihishe pale alipojikwaa!