Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Very SAD...sasa kama ni hivi mtu wa kawaida atapona kweli?!!! thisi is very dangerous na kitu kibaya kama hiki kinampata mtu ambaye ni waziri katika serikali na wala hakuna mtu yeyote anaechukuliwa hatua!!! matokeo yake anakufa anaacha watoto wake kwenye shida kubwa sana kisa fitna za watu ambao serikali inawajua kabissa!!!!!!!!!! hii ni kitu inatia hasira sana yani ni suala la wananchi sasa kuibana serikali mpaka iseme watu hawa nani anawahujumu!!! kama sivyo haifai
 
Very SAD...sasa kama ni hivi mtu wa kawaida atapona kweli?!!! thisi is very dangerous na kitu kibaya kama hiki kinampata mtu ambaye ni waziri katika serikali na wala hakuna mtu yeyote anaechukuliwa hatua!!! matokeo yake anakufa anaacha watoto wake kwenye shida kubwa sana kisa fitna za watu ambao serikali inawajua kabissa!!!!!!!!!! hii ni kitu inatia hasira sana yani ni suala la wananchi sasa kuibana serikali mpaka iseme watu hawa nani anawahujumu!!! kama sivyo haifai
 
Tunakuombea upone urudi nyumbani. Mungu atakusaidia.
 
Anaonekana ni mwenye furaha na matumaini ya kurudi salama.Mungu atampa afueni mapema.
 
Ninachomshukuru Mungu. Mwakyembe hatakufa kamwe kwa kifo cha mpango wa mwanadamu. I believe hata hawa mafisadi wameanza kuamini hili. Time will tell...
 
hata mafisadi wakimchukua msukule lazima wamrudisha,maana jamaa mbishi watakua wakipanga kazi ya kulima anakataa
 
Asante mkuu kwa utafiti makini.. sema bei ya hiyo sumu imenistua si mchezo. Watu wana mahela bana ya kununulia vifo vya wenzao.. So sad..
 
Ndio maana wengine mambo ya imani tulishayashtukia haya make sense long time ago. Mungu angekuwa ana nguvu ya kuponya mtu basi angekuwa na nguvu ya kuzuia mtu asiteseke in the first place. Na kwa nini mpaka aombwe? Hivi wewe ukiona mtoto wako anaumwa utasubiri jirani na ma stranger wengine waje wakuombe na kubembeleza ndio umsaidie? Sisi si tunaambiwa ni watoto wa Mungu? Mungu gani hana
huruma kuliko baba wa kibinadamu?

Kweli Mkuu mana hii Dunia siielewi kabisa Mungu kama yupo why hazuii haya mambo?!! hii kitu inachanganya sana...nadhani mashetani ndio yapo kama US,NATO,HIZI SERIKALI ZOTE NI MASHETANI TU
 
attachment.php
 
asante kaka kwa ufupi ikiwa mtu amepata kiasi kikubwa cha Thaliium-201 anaweza kutibiwa kwa kupewa PRUSSIAN BLUE ambayo kwa kitaalamu inapunguza "half life" ya hiyo mionzi kwa 50%.

TATIZO LINAKUJA PALE AMBAPO MTU AMEPEWA POLONIUM-210 KWA KWELI HAINA TIBA. VILEVILE INATEGEMEANA NA KIASI AMBACHO MTU AMEPEWA KWANI TATIZO KUBWA NI KUWA POLIUNM-2010 HUENDA KUKAA KATIKA SIFONGO ZA MIFUPA (BONE MARROW) NA KUZIHARIBU KABISA HIVYO MTU KUPOTEZA UWEZO WA KUZALISHA CHEMBECHEMBE HAI NYEKUNDU (RED BLOOD CELLS).

Alpha particles emitted from polonium-210 can disrupt cell structures, fragment nuclei, damage DNA, and cause cell death.

uchunguzi umeeishia wapi? tuanaomba tamko la serikali ili tujue tujilinde wenyewe au vipi????
 
EL na RA na mzee wa kutembea na kiti ndio waliomfanyia Mwakyembe haya

Unamaanısha huyu mzee anayeongoza kwa Mapete ya dhahabu vıdolenı!
Nasıkıa ndo mrıthı halalı wa kazı za shekh Yahaya!
Sı unaona hata ahadı zake haztekelezekı kazı kutukuza majını tu mpaka yanamzıdı mengıne yanampıga mweleka majukwaanı!
Ipo sıku hıcho kıtı chake kıtamuumbua, kıtakapogeuka kuwa nyoka mbele ya haraıkı!
Kama anabsha mwambıenı aendenacho Sumbawanga aone kama haya hayajatokea!
Twendenı vıtanı!
 
Back
Top Bottom