Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Kwa kweli hawa Mafia wafie mbali.

Katika Jina la Yesu naomba uponyaji wa Dk. Mwakyembe. Mungu ukamfunike kwa Damu ya Yesu.Tunamuhitaji kwa ajili ya kukomboa wanawako wanaoangamia na serikali za UJASUSI. Sote tuseme. AMEN!
 
kwa kweli hawa mafia wafie mbali.

Katika jina la yesu naomba uponyaji wa dk. Mwakyembe. Mungu ukamfunike kwa damu ya yesu.tunamuhitaji kwa ajili ya kukomboa wanawako wanaoangamia na serikali za ujasusi. Sote tuseme. Amen!
ameni!

Na ole wenu nyie mnao tumia nguvu za ziada kuzidi kuwaibia wananchi kwa kuwaumiza wapigania haki na taifa letu
 
Malipo ni hapa hapa, wote waliohusika nao yatawakuta haya haya. Wangalie yaliyomkuta Gadafi na watoto wake, nao yatawakuta tu. Ugua pole Dr.

Ila pia nadahni magamba itakuwa ni mwishi kwao kukanyaga mkoa wa mbeya.
 
Aliporipoti polisi na kwenye vyombo vya habari kwamba maisha yake yako hatarini watu waliona ni porojo mpaka walipomdhuru na mpaka leo hakuna kauli toka polisi. Ni hao mnaotaka kuwapa madaraka 2015 ndiyo leo wanatumia kila hila kumaliza wenzao. Wanajua hawakubaliki lakini damu ya wazalendo hawa haitapotea bure.
 
MUNGU uko wapi kuwahukumu watu wanaowaangamiza wenzao kama hawa?
Ndio maana wengine mambo ya imani tulishayashtukia haya make sense long time ago. Mungu angekuwa ana nguvu ya kuponya mtu basi angekuwa na nguvu ya kuzuia mtu asiteseke in the first place. Na kwa nini mpaka aombwe? Hivi wewe ukiona mtoto wako anaumwa utasubiri jirani na ma stranger wengine waje wakuombe na kubembeleza ndio umsaidie? Sisi si tunaambiwa ni watoto wa Mungu? Mungu gani hana huruma kuliko baba wa kibinadamu?
 
Mwakumbuka yale ya Robert Ouko kilicho msibu basi ndio hichi cha kusema atai kisiwa cha Amani wakati wanao taka Urais ndio wanayafanya haya na kukimbilia makanisani kujifanya wao ndio watukufu olewenu nyie munao mwita Mungu Mungu adhabu yenu itakuwa kubwa sana maana ni wananfiki wakubwa hao.

Amini nawambieni mtaanza kutunguana mmoja baada ya mmoja humo CCM alafu mwasema vyama vya upinzani ni wananfiki hapo mtasema nani mnafiki sasa mna muua mmoja wenu kweli hili mungu analiona mtapuputika kama nzige siku zenu zaja. Na ndio maana mwaing'ang'ania katiba kuitengeneza ili msije kutwa na dhahama ya mambaya mliyo yatenda
 
Mungu amlinde Mwakyembe hata kule aliko
Mungu amponye Mwakyembe
Mungu awalinde watetezi wa watz wote
Mungu ashughulike na wabaya wote kama uarabuni
AMEN
 
kweli nimeamini JK ana kisasi! kumfanyia hivi binadamu mwezako ni hatari. Muumba wa vyo msaidie mja wako aje kuwaumbua.
--Ndipo utashangaaa hawa wanaojiita wazee wa intele-jinsia na usalama wa ccm walivyokuwa mzigo kwa taifa hili!!

Ndio maana Tanzania imeanza kuzalisha Alshaabab kutokana na mambo kama haya.
 
Duh!Pole Mhe. Mwakyembe. bora mtu ukajiondokea mapema kuliko kuendelea kuteseka namna hii.
 
Anyway huwezi kumuhukumu mtu kabla kupatikana na hatia lakini kama ni mtu au watu,alipamga au walipanga na kutekeleza hili mwenyezi mungu atawalaani watakufa kifo kibaya kuliko cha GHADDAFI.
 
Mh. Mwakyembe akiwa hospitalini, India
Mwakyembe_mgonjwa[1].jpg
 
kwisha kazi...khaaa mbona kawa hivi sura imekuwa kama sio yake..daaaah
 
Back
Top Bottom