Mwakiyukayo ekilo kikulu

Nimeelewa Ekilo Kikulu, maana yake Usiku Mkuu, au usiku Mtakatifu, hilo lingine(Mwakiyukayo) "meti onyo"!...nahisi ni jina la mtu wa Mbeya!
 
Twakiyukao mwamii! Utani wa wahaya siku moja ulikuwa hivi. Babu mmoja mwenye umri mkubwa alikuta watu watoto,wazee kwa wamama wamekaa na alitoa hii <MWAKIYUKAO EKINIO KIKURU>.Badae kazee kalikamata ekilele norusheka kakaanza kunywa,huku wamama wakanuna na vijana wakicheka. Mwakiyukao boojo!
 
hi salamu kwa wana jf wote kwenye sikukuu hii ya xmass

Kidogo mtoa salamu hii nzuri kwa wana JF sajamuelewa naona kakosea kidogo, hivi neno lipi sahii kati ya haya " MWAKIYUKAYO au MWAKIHUKAO" mi nafikili neno sahii ni MWAKIHUKAO, au mtoa salamu amasemaje katika hilo.

Jambo la pili kwa kawaida salamu hizi huwa zinatolewa baada ya kumalizika XMAS nzima, baada ya kuwa na uhakika kwamba katika kusherehekea sikukuuu hiyo hapakutokea ugomvi, watu kuhumizana na vifo na ndiyo maaana halisi ya "MWAKIHUKAO", kutoa salamu kama hizi kwa wakati huu nadhani umewahi kidogo ndugu yangu.

Kheri ya XMAS.
 
twakiyukao mwamii! Utani wa wahaya siku moja ulikuwa hivi. Babu mmoja mwenye umri mkubwa alikuta watu watoto,wazee kwa wamama wamekaa na alitoa hii .badae kazee kalikamata ekilele norusheka kakaanza kunywa,huku wamama wakanuna na vijana wakicheka. Mwakiyukao boojo!
tetete.. It's ril good walangila, kwani nimejisikia km niko om wakuu, aksante muanzisha thread
 
Kidogo mtoa salamu hii nzuri kwa wana JF sajamuelewa naona kakosea kidogo, hivi neno lipi sahii kati ya haya " MWAKIYUKAYO au MWAKIHUKAO" mi nafikili neno sahii ni MWAKIHUKAO, au mtoa salamu amasemaje katika hilo.

Jambo la pili kwa kawaida salamu hizi huwa zinatolewa baada ya kumalizika XMAS nzima, baada ya kuwa na uhakika kwamba katika kusherehekea sikukuuu hiyo hapakutokea ugomvi, watu kuhumizana na vifo na ndiyo maaana halisi ya "MWAKIHUKAO", kutoa salamu kama hizi kwa wakati huu nadhani umewahi kidogo ndugu yangu.

Kheri ya XMAS.

kwa wahaya maneno mwakiyukaho na wakiyukayo wao hawajali bali ujumbe ufike.kumbuka mkoa huu una wanyambo<wa bugene na mabira matamshi ni tofauti>,kuna waziba,wayoza,wanyaiangiro<nogambaki nae,tisa wanaita omwende>,kuna wazinza,kuna wasubi/angaza<nkeiza nira nokuzazala ndazazaile>.inategemea ni mhaya wa wapi.wahaya hawajali ili na ndio maana wanaweza onge neno roma<loma>,pius<piyusi>,linus<rinus>,mara<mala> nk. Sikukuu ya xmas wanapongezana tangu tarehe 25 hadi 03/1 ya mwaka mwingine.kumbuka wahaya wanasema mkulima hana rikizo.kwa hiyo mwisho wa mwaka wanajipumzisha walau wk.leo ni siku mzee akibanwa na ushuzi hatoki nje bali anamuita mtoto mdogo,pind mtoto akiinama ili apewe ujumbe lile zee linajamba then linamsingizia huyo mtoto.mtoto atatolewa kwa kibao. Mwakora mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom