Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Ndugu yangu Mwakiembe pole sana ni harakati zako pale uwanja wa ndege wa JKNIA ndizo zilizokuponza, wewe bila kujua uligusa maslahi za watu,mtandao wa wauza unga ni mkubwa sana unaanzia shamba(pakstani) ,china hadi brazil, sasa juhudi zako ziliutikisa mtandao huo ndio maana wamekushughulikia, huoni Mzee alisema ana majina ya wauza unga lakini hajawataja hadi leo. Huoni Amina Chifupa walivyomfanya.
Sasa unaenda kukaakijiweni, maana hiyo wizara uliyonda ni kijiwe no moja. Muulize mwenzio Sitta alimanda mpaka fegi akawa anagongea.
Uliye mpinga na wewe wote mko sahihi tofauti yenu ni hi, Mrema alitolewa wizara ya mambo ya ndani na kupelekwa wizara ya kazi na maendeleo ya vijana, kikao cha baraza la mawaziri kikawa na mjadara wa pesa zilizokopwa na bwana Chavda CRDB bank kwa maendeleo ya mkonge Tanga, issue ambayo Mrema aliishikia kidedea kweli kweli, kuja Bungeni akaropoka hayo ya barazani, PM wa wakati huo bwana Cleopa Msuya akampa za uso, nilishangaa sana wagombea wa urais wa mwaka 1995 na jina la David Cleopa Msuya nalo lilikuwepo. Siku pia nikikutana na mzee wa Kirarancha ntamuuliza tafsiri ya neno VIGOGO cause yeye ndio muasisi wa hili neno kwenye siasa za Bongo, ni mara baada ya kukamata mzigo wa dhahabu pale Dar airport!Rekebisha kumbukumbu zako kuhusu Mrema kuondolewa kwenye wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani...
Hakuondolewa kwa sababu hiyo unayoisema...rudia kuitafuta historia...
Pamoja na upuuzi wake mwingi alionao, Mrema anabaki katika histori ya Tanzania kama mtu pekee aliyewahi kukataa kukubaliana na uamuzi wa kipuuzi wa baraza la mawaziri na kuamua kuuweka upuuzi huo hadhatani...Hicho ndicho kilichomuondoa kwenya nafasi hiyo....
Tafakari...
Uliye mpinga na wewe wote mko sahihi tofauti yenu ni hi, Mrema alitolewa wizara ya mambo ya ndani na kupelekwa wizara ya kazi na maendeleo ya vijana, kikao cha baraza la mawaziri kikawa na mjadara wa pesa zilizokopwa na bwana Chavda CRDB bank kwa maendeleo ya mkonge Tanga, issue ambayo Mrema aliishikia kidedea kweli kweli, kuja Bungeni akaropoka hayo ya barazani, PM wa wakati huo bwana Cleopa Msuya akampa za uso, nilishangaa sana wagombea wa urais wa mwaka 1995 na jina la David Cleopa Msuya nalo lilikuwepo. Siku pia nikikutana na mzee wa Kirarancha ntamuuliza tafsiri ya neno VIGOGO cause yeye ndio muasisi wa hili neno kwenye siasa za Bongo, ni mara baada ya kukamata mzigo wa dhahabu pale Dar airport!
Possibly Yes!! Its likely! There is some truth in it!Everything is possible in Tanzania, you might be right or not!
Ni vema nikakupa ushindi hata kama hustahiri, maana umejibu kama unagombana vile...
Tafakari...
saa nyingine kukubali kushindwa ni uungwana kuliko kujibaraguza kiasi hiki, jamaa kakushika pabaya
Acha urongo!Rekebisha kumbukumbu zako kuhusu Mrema kuondolewa kwenye wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani... Hakuondolewa kwa sababu hiyo unayoisema...rudia kuitafuta historia... Pamoja na upuuzi wake mwingi alionao, Mrema anabaki katika histori ya Tanzania kama mtu pekee aliyewahi kukataa kukubaliana na uamuzi wa kipuuzi wa baraza la mawaziri na kuamua kuuweka upuuzi huo hadhatani...Hicho ndicho kilichomuondoa kwenya nafasi hiyo.... Tafakari...
Kula "LIKE"kubwa!Wewe ndiye huna kumbukumbu kabisaa, huo upuuzi unasema aliuweka hadharani ni baada ya kutoka wizara ya mambo ya ndani, Rai Mwinyi alitengua uteuzi wa uwaziri wa Mrema akiwa wizara ya kazi, kule ndiko alikotoa siri za baraza la mawaziri kutokana na frustration za kung`olewa mambo ya ndani.
Ha ha ha ha!we noma!Hayo hayo angeandika, yanaendana pia