Mwaka wa Hasara kwa Team CHADEMA Mitandaoni

Mwaka wa Hasara kwa Team CHADEMA Mitandaoni

Hahahahahaaaaaaaaa! Poleni sana. Kwani si mlikuwa mnamlinganisha JPM na Trump? Sasa atamshughulikiaje swahiba wake?
Msijitete yule hana uswahiba na wadhulumishi na walaghai kama ccm.

Mjipange kushikishwa adabu na Trump.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Sipati picha hali ambayo hawa vijana wa CHADEMA waliyonayo hivi sasa.

1. Benard Rabiu Saanane aka Ben Rabiu wa Saanane
2. Nusrat Hanje
3. Asia Msangi
4. Peter Kibatala
5. Kumbusho Downson Kagine
6. Bob Chacha Wangwe
7. Christopher Cyrilo na wengineo wengi.

Hawa vijana walikuwa wanaanzisha mijadala kwenye mitandao ya kijamii wakimsifu, kumpamba na kumtukuza Mgombea wa Chama cha Democrat, Bi Hilary Clinton na kusema kuwa ndiye mgombea atakayeshinda Uchaguzi wa Marekani. Tena walienda mbali wakajimaliza kuwa Donald Trump hawezi kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani kwa sababu ni dikteta tena wakimfananisha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Walichokuwa wanafanya vijana hawa ni sawa na walichofanya kwa Edward Lowasa kwenye uchaguzi wa Oktoba 2015. Walimpamba sana Lowasa kupitia mitandao ya kijamii wakasahau kuwa wapiga kura wengi hawapo humu na wala hawafuatilii mijadala inayoanzishwa.

Kwa sasa hawa vijana wapo kwenye hali mbaya sana hasa kutokana na matokeo yanayoendelea kutangazwa kuonesha kuwa Donald Trump anaongoza. Kwa hakika huu nao ni mwaka wa hasara kwao.

Najua walikuwa wanamkumbatia sana Bi Hilary Clinton kwa sababu ni Moderate hasa kutokana na utawala wa Rais Obama kulifanya taifa la Marekani kuwa maficho ya vijana wengi wa Tanzania wanaoendelea kuwatukana viongozi wetu. Unaweza kurejea mijadala inayoanzishwa na Mange Kimambi anayeishi California ambaye sina hakika yupo hali gani mpaka sasa. Pia wapo akina Kalley Pandukizi ambao wameingia Marekani kwa njia za panya na hivyo Trump akitekeleza alichonadi kwenye kampeni, naona ishara za vijana hao kuikimbia Marekani.

Niwakumbushe tu ndugu zangu wa CHADEMA, siasa zina misingi yake. Si kila mnachokipenda mtakipata. Vingine mtaishia kula kwa macho tu.
Mkuu ni mwaka wa msiba chadema....wapiga ramli wao na media walizozinunua ndio anguko lao kama ambayo imetokea kwa Clinton.
 
Hahaha huyu abakie huku kwenye Local Politics tu.

Kwanza Republican ni sawa na CHADEMA kiitikadi.

Kwa hiyo jiangalie sana Lizaboni.

Pole!
 
Lizaboni hivi hauna kitu kingine cha kuongelea kwa ustawi wa nchi kwa ujumla?

Mambo kama ya kiuchumi na kijamii yasiyoonyesha utofauti wa kiitikadi ya kisiasa.
 
Kwani haya si mambo ya msingi? Mmepigwa Nje Ndani
Usiniweke ktk makundi ya siasa. Elewa nilicho kuambia mambo ya siasa za vijembe na kupashana hapa nchini ndio yanayorudisha maendeleo nyuma miaka na miaka mambo ya kinafki tu Ila is msingi hayana ufwatiliaji kabisa
 
Kwa hiyo huyu kamaa amekuja kutwambia kwamba hypocrites wa kile chama wanampenda Trump? Nitashangaa sana. Trump ni mtu asiyependa wala kuamini political correctness, hawawezi kuwa kipenzi cha wana CCM hata siku moja. Tumeshawahi ku-comment humu before, ukipenda siasa za kinafiki nafiki ni lazima unakuwa shabiki wa Democrats pia. Tatizo la sisi wabongo tunadanganywa sana ya CNN, tunafikiri inatwambia ukweli kumbe waongo watupu, na hatuna media outlet nyingine (Kama ilivyo FOX) ambayo tunaipata huku ili kupata views tofauti. Kwa hiyo wajinga wasiofanya research ya kutosha ndio waliokuwa wanaamini kwamba Democrats wangeshinda kama ambavyo CNN na Yahoo walikuwa wanawaaminisha kila siku.
 
Lizsbon unataka kutudanganya kwsmba ccm mlikuws mnamsapoti Trump? Trump slisema atakula sahani moja na viongozi wa Afriks wanaokandamiza haki za raia. Magu na rafiki yake Kagame watakuwa wa kwanza kwenye list.
 
Msiyempenda kaja. Koleo litaitwa koleo na si kijiko kikubwa.......Wale wapenzi wa 'political correctness' leo ni habari mbaya sana kwenu.
 
Mbona hata makada wa ccm walikuwa team Hilary
1. william malecela a.k.a le mutuz
2. Mange kimambi
3. mashaka Matata
4. Iene Mwamfupe
5. Nassoro Awadh
n.k
hivi wanawalipa hiyo buku saba kwa thread au comment?
 
Trump ni mtetezi wa wananchi wanaodhulumiwa na viongozi madikteta hasa Afrika.
Nakumbuka alisema hatakubali matokeo kama patakuwa na wizi wa Kura.
Trump,leta moto huo Afrika ili Chaguzi ziwe huru na haki.
Umemwelewa vibaya. Hana urafiki na vuongozi wabinafsi, wazembe, ombaomba, lialia, fisadi, na wa aina hiyo, hasa Afrika.

Hivyo kimtazamo wa uongozi hatofautiani na Rais Magufuli. Ni kuisoma namba tum
 
Ukiona mtu ana-attempt kumuua kiongozi wake kwa sumu jua huyo hana tofauti na mganga wa kienyeji, basi hata utabiri wake anatabiri kama witch doctor.Trump walikuwa wanamuwangia tu na siyo vinginevyo wao waendelee kutabiri LOWASSA atakuwa rais siku moja , ndiyo size ya UTABIRI WAO
 
Hata muwe wa kwanza kupongeza rungu lake litawaangukia miunguwatu na wabaka demokrasia popote pale walipo.
Trump ni rais wa Marekani siyo Afrika, muhimu ni kwamba Wapiga debe wa Clinton wote mmeaibika.
 
Hahaha huyu abakie huku kwenye Local Politics tu.

Kwanza Republican ni sawa na CHADEMA kiitikadi.

Kwa hiyo jiangalie sana Lizaboni.

Pole!
Hahahahahaaaaaa! Naona mmeanza kujipendekeza sasa. Mlisema CHADEMA ni chama cha Kidemokrasia sasa na Demokrat. Sasa mnasema Republican kinafanana kwa sera na CHADEMA. Hahahahahaaaaaa! Ngachoka mie
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Sipati picha hali ambayo hawa vijana wa CHADEMA waliyonayo hivi sasa.

1. Benard Rabiu Saanane aka Ben Rabiu wa Saanane
2. Nusrat Hanje
3. Asia Msangi
4. Peter Kibatala
5. Kumbusho Downson Kagine
6. Bob Chacha Wangwe
7. Christopher Cyrilo na wengineo wengi.

Hawa vijana walikuwa wanaanzisha mijadala kwenye mitandao ya kijamii wakimsifu, kumpamba na kumtukuza Mgombea wa Chama cha Democrat, Bi Hilary Clinton na kusema kuwa ndiye mgombea atakayeshinda Uchaguzi wa Marekani. Tena walienda mbali wakajimaliza kuwa Donald Trump hawezi kuchaguliwa kuwa Rais wa Marekani kwa sababu ni dikteta tena wakimfananisha na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli.

Walichokuwa wanafanya vijana hawa ni sawa na walichofanya kwa Edward Lowasa kwenye uchaguzi wa Oktoba 2015. Walimpamba sana Lowasa kupitia mitandao ya kijamii wakasahau kuwa wapiga kura wengi hawapo humu na wala hawafuatilii mijadala inayoanzishwa.

Kwa sasa hawa vijana wapo kwenye hali mbaya sana hasa kutokana na matokeo yanayoendelea kutangazwa kuonesha kuwa Donald Trump anaongoza. Kwa hakika huu nao ni mwaka wa hasara kwao.

Najua walikuwa wanamkumbatia sana Bi Hilary Clinton kwa sababu ni Moderate hasa kutokana na utawala wa Rais Obama kulifanya taifa la Marekani kuwa maficho ya vijana wengi wa Tanzania wanaoendelea kuwatukana viongozi wetu. Unaweza kurejea mijadala inayoanzishwa na Mange Kimambi anayeishi California ambaye sina hakika yupo hali gani mpaka sasa. Pia wapo akina Kalley Pandukizi ambao wameingia Marekani kwa njia za panya na hivyo Trump akitekeleza alichonadi kwenye kampeni, naona ishara za vijana hao kuikimbia Marekani.

Niwakumbushe tu ndugu zangu wa CHADEMA, siasa zina misingi yake. Si kila mnachokipenda mtakipata. Vingine mtaishia kula kwa macho tu.
1478683041887.jpg
 
Back
Top Bottom