Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,451
Wasalaam.
Zimesalia siku 20 tu mwaka 2019 uishe. Ni siku chache kweli kweli na zinakwenda kasi haswa.
Wengi watakuwa wanatafakari namna miezi 12 ilivyokwisha na huku wangali:
- Hawajatimiza malengo waliyojiwekea.
- Maisha yameharibika na kuvurugika.
- Familia zimesambaratika.
- Kupoteza ndugu jamaa na marafiki (misiba)
- Kuachwa/kusalitiwa ama kuachana.
- Kutimiza malengo ya kiuchumi na kifamilia.
- Kununua gari/kiwanja.
- Kujiwekea akiba.
- Kupata ulemavu.
- Kupoteza ajira nk.
Bila shaka kwa namna moja ama nyingine wengi tunaweza kuangukia katika masuala kama haya na mengine mengi.
Kwa kuanza na wale waliofanikisha malengo ya hapa na pale hongereni sana, haitoshi juhudu ziongezwe angalau mwaka ujao muwe pazuri zaidi.
Na wale kina wenzangu tuliofanikiwa kusajili kitambulisho cha NIDA, tupeane pole, maisha ndivyo yalivyo tusikate tamaa kwani kitambulisho nacho si mafanikio pia.
Mwenzangu umefanikisha nini mwaka 2019?
Zimesalia siku 20 tu mwaka 2019 uishe. Ni siku chache kweli kweli na zinakwenda kasi haswa.
Wengi watakuwa wanatafakari namna miezi 12 ilivyokwisha na huku wangali:
- Hawajatimiza malengo waliyojiwekea.
- Maisha yameharibika na kuvurugika.
- Familia zimesambaratika.
- Kupoteza ndugu jamaa na marafiki (misiba)
- Kuachwa/kusalitiwa ama kuachana.
- Kutimiza malengo ya kiuchumi na kifamilia.
- Kununua gari/kiwanja.
- Kujiwekea akiba.
- Kupata ulemavu.
- Kupoteza ajira nk.
Bila shaka kwa namna moja ama nyingine wengi tunaweza kuangukia katika masuala kama haya na mengine mengi.
Kwa kuanza na wale waliofanikisha malengo ya hapa na pale hongereni sana, haitoshi juhudu ziongezwe angalau mwaka ujao muwe pazuri zaidi.
Na wale kina wenzangu tuliofanikiwa kusajili kitambulisho cha NIDA, tupeane pole, maisha ndivyo yalivyo tusikate tamaa kwani kitambulisho nacho si mafanikio pia.
Mwenzangu umefanikisha nini mwaka 2019?